Tatizo wanawake wengi sku hiz wanataka kuisha Kama kina Iren uwoya ,,, no job Ila a drive aishi pazuriiii kwa nguv ya papuchii,,, fainali uzeeniHivi ni mm na ushamba wangu au mwanamke akiolewa anatakiwa achunge anachopost hasa kinachohusu wanaume wengine ambao si ndugu zake!
Hiki ndio kitu ambacho kinaniumiza sana Demi yaani wanaume baadhi wamekuwa wapumbavu sanaHawawezi kulearn ishakuwa too late, wanaume wasasa wengi hawajitambui sijui wakoje yaani
Ujengewe sanamuMwenzangu! Sio tu kuolewa, hata katika mahusiano sithubutu kupost picha na video za wanaume wengine hata kwa zile za kuchekesha!
Hiyo nguvu ya kupost chats na mwanaume mwingine, tena nikiwa namsifia napata wapiiiiii?
Kidume hana kauli kwenye ndoa sasa hapo kuna mwanamume kweli au wote ndani kwenye ndoa ni mashostiKwanza unaruhusu vipi mkeo/mpenzi kumpost mwanaume ambae sio ndugu yako?
Na huyo bidada anajiamini kwamba jamaa hatafanya lolote
Tatizo ni kichwa cha familia ✍️Kikawaida kabisa hakuna mke mwenye uthubutu kama wa huyo mwenzetu. Tatizo ni kichwa cha familia..
Mimi naomba usiniweke kwenye hilo kundi wa watakaolia sana.Na bado mtalia sana. Maana mabinti wa sasa sio wa kama wa zamani tena.
Huyo anakwambia hautoshi, wewe sio mwanaume kamili kiaina. Ilitakiwa akupe support, akutie moyo, mpambane pamoja.Mens niko kwenye ndoa miaka 3,tangu mwaka jana nimekua kwenye hali isiyo nzuri financially,sasa majuzi nacheki status naona wife kapost mwanaume rika langu kanunua ndiga akapost na chattings zao za kupongezana.
Sikuona wivu kwamba jamaa rika langu kavuta chuma mimi sina ila nilifedheheka baada ya kupita kitaa mashost wa wife wanaongea kwa kebehi kwamba "mke wake anapost wanaume wenye magari ilihali mumewe hana" asee nimejikuta nina hasira za ajabu na msongo,natokaje kwenye huu mtego msaada tafadhalini..
Ipo siku yako tu we subiri, mi nimekaa paleeeeeMimi naomba usiniweke kwenye hilo kundi wa watakaolia sana.
Katika maisha yangu mwanamke hawezi kuniendesha hata kidogo
Hilo kwangu sahau hawa viumbe najua kudeal nao A-ZIpo siku yako tu we subiri, mi nimekaa paleeeee
Hujui lolote trust me.Hilo kwangu sahau hawa viumbe najua kudeal nao A-Z
Sawa, sijawahi kusumbuliwa na mwanamke yeyote kwenye maisha yanguHujui lolote trust me.
Kuna mtu alisema ukiona umeanza kuwaelewa wanawake ujue unakaribia kufa
Huyo hata ukiwa na pesa haridhiki ...utafikiria baba yake tajiri kimbia hapo unachoma nyota huyuMens niko kwenye ndoa miaka 3,tangu mwaka jana nimekua kwenye hali isiyo nzuri financially,sasa majuzi nacheki status naona wife kapost mwanaume rika langu kanunua ndiga akapost na chattings zao za kupongezana.
Sikuona wivu kwamba jamaa rika langu kavuta chuma mimi sina ila nilifedheheka baada ya kupita kitaa mashost wa wife wanaongea kwa kebehi kwamba "mke wake anapost wanaume wenye magari ilihali mumewe hana" asee nimejikuta nina hasira za ajabu na msongo,natokaje kwenye huu mtego msaada tafadhalini..
Siku zote mwanamke unayemchukua kwaajili ya sex tu hawezi kukusumbua, maana lengo ni kutombeka.Sawa, sijawahi kusumbuliwa na mwanamke yeyote kwenye maisha yangu
Ukiona mwanamke anampost mwanaume asie mumewe, jua huna mke.Mens niko kwenye ndoa miaka 3,tangu mwaka jana nimekua kwenye hali isiyo nzuri financially,sasa majuzi nacheki status naona wife kapost mwanaume rika langu kanunua ndiga akapost na chattings zao za kupongezana.
Sikuona wivu kwamba jamaa rika langu kavuta chuma mimi sina ila nilifedheheka baada ya kupita kitaa mashost wa wife wanaongea kwa kebehi kwamba "mke wake anapost wanaume wenye magari ilihali mumewe hana" asee nimejikuta nina hasira za ajabu na msongo,natokaje kwenye huu mtego msaada tafadhalini..
hata kaka yako ?Mwenzangu! Sio tu kuolewa, hata katika mahusiano sithubutu kupost picha na video za wanaume wengine hata kwa zile za kuchekesha!
Hiyo nguvu ya kupost chats na mwanaume mwingine, tena nikiwa namsifia napata wapiiiiii?
Kaka zangu sio wanaume wengine…hata kaka yako ?
Mbona nimeshafanya nao maisha wengi tuSiku zote mwanamke unayemchukua kwaajili ya sex tu hawezi kukusumbua, maana lengo ni kutombeka.
Wewe hujawahi kuwa serious na mwanamke, pona yako ndo hiyo.
Kufanya maisha wengi huoni kama una tatizo?Mbona nimeshafanya nao maisha wengi tu