Anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kukutwa na mwanafunzi chumbani kwake saa tano usiku

Anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kukutwa na mwanafunzi chumbani kwake saa tano usiku

Kijana David Ruya mkazi wa Tunduru Mjini – Ruvuma anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kukutwa na Mwanafunzi chumbani kwake saa tano usiku.

Baada ya kukamatwa mwanafunzi huyo mwenye umri wa miaka 12 alikana kuingiliwa kimwili na mtuhumiwa huyo, lakini baada ya vipimo ilibainika kuwa walisema uongo huku simu waliyokutwa nayo ikigundulika kuwa na picha mbalimbali walizorekodi wakiwa chumbani.

Chanzo: Azam TV
Bila shaka aliwekewa mtego na inaonekana mambo hayo anayo muda mrefu, sidhani mtu kama mkuu wa wilaya tena wakili akurupuke tu saa 5 za usiku kwenda kwenye tukio kama hilo.

Pole yake akichomoka hapo akatambike.
 
Kesi nzito sana hizi ila siku hizi nako zimeingizwa uhuni pia.

Kuna mchezo mpya siku hizi mama mwenye nyumba huwa anawafundisha maksudi mabinti wawe wanaingia vyumba vya wapangaji wa kiume.

Wakiingia vyumbani tu hata kucheki muvi, mama mwenye nyumba anamstua mtendaji wake na polisi wake waje.

Hapo kuchomoka uwe na zaidi ya laki 3, kama wanajua una kazi utatema hata milioni.

Wengine hawaitaji pesa wanakunyoosha tu ukaozee jela

haya mazoea niliyakataa kabisa kipindi napanga uswahili huko... chumba changu hakina urafiki na mtu, hata mademu nilikuwa naendaga kumaliza kwenye maguest huko.
 
Back
Top Bottom