Anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kukutwa na mwanafunzi chumbani kwake saa tano usiku

Dah mazoea na vibinti chuchu konzi ni kuacha
 
Wazee kuweni makini na vitoto vya siku hizi miaka 12 unakuta ni booonge la mtu, zigo hilooo!🤣

Sasa ukiwa mtu mzima na ukashindwa kuballance tamaa zako yatakukuta ya huyo njemba.
 
Mtoto wa miaka kumi na mbili gesti?Ni wa kuzibua mibao mpk akili ikae sawa.Ila kwa upande mwingine wa kulaumiwa ni wazazi wake.Pia jitu zima kama hilo anakosa wanawake huko mpk ahangaike na vitoto kidogo?peleka jela atajielezea hukohuko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…