Naunga mkono hoja1. Vipimo gani vya hospitali vilivyoonyesha specifically kuwa mtuhumiwa alikuwa akimuingilia?- What if alishabikiriwa na watu wengine?.
2. Inawezekana vipi serikali immediately iwe on time kumfumania mtuhumiwa, what if mtuhumiwa ametengenezewa setup na maadui zake ili kumbambikizia kesi?
Hapa uchunguzi ufanyike, tena wa kina.
Kimasichana nipo nyumba ya kulala wageni, saa Saba usiku nasikia puu paapalalllaalalaa! Kumbe jiwe limerushwa juu ya bati. Baadaye, nikaamka na kumfuata mlizi, na kumuuliza Kulikoni?Kijiji Moja Maarufu Sana Kwa wilaya ya tunduru kinaitwa LIGUNGA
Tunaodeal na mishangazi tuko safe sana, hatuwezi kukutana na fedhea kama hizi.Bora wee umesemaa ukwelii.
Duuuh! Kuna kazi nzuri aisee 😋Kwa hiyo watamuingiza vidole kwa mparange ili wajue vinaingia vingap na kwa kiwango gani km walivyomfanyia afande wa unguja???
Huko ndio kwa wastaarab wanaojua kuwakarim wagenKimasichana nipo nyumba ya kulala wageni, saa Saba usiku nasikia puu paapalalllaalalaa! Kumbe jiwe limerushwa juu ya bati. Baadaye, nikaamka na kumfuata mlizi, na kumuuliza Kulikoni?
Nikaambiwa utakuwa umegundulika umelala chumbani kwako peke yako bila mwenzako wa jisia tofauti!!! Hapa wakazi wamejiwekea utaratibu wageni lazima wawe na wenzi wao ili kulala maeneo haya vinginevyo utoke Nje umtafute mwezi wako wa kulala naye!! Nilishituka sana.
====
Mungu tusaidie tuwalee watoto wetu vizuri kimaadili. Amen.
Ni mwanamke ndie kaandika hii!!?Waachwe waoane tu mtu mpaka anaenda mwenyewe na anakana kumtetea jamaa maana yake penzi lao liko moto hajabakwa ameridhika
Hii kesi imekaa kimchongo mchongo, ni Kama mtego hiviKumbe ningesemaje rafiki? Wadada wakubwa wapo kibao hakuwaona hadi akakale na katoto? Huo ni ubakaji wacha akapate stahiki yake.
Sisemi kama alilofanya huyo jamaa ni zuri sana, Ila mimi nashangaa, sijawahi sikia mwanaume akifungwa miaka 30 kisa ni shoga, na mbona hawatengenezagi mitego ya kukamata wanaume wanaokulana wenyewe kwa wenyewe?Jamaa anaenda kunyea debe kama masikhara vile.
Kesi ya kimchongo hii1. Vipimo gani vya hospitali vilivyoonyesha specifically kuwa mtuhumiwa alikuwa akimuingilia?- What if alishabikiriwa na watu wengine?.
2. Inawezekana vipi serikali immediately iwe on time kumfumania mtuhumiwa, what if mtuhumiwa ametengenezewa setup na maadui zake ili kumbambikizia kesi?
Hapa uchunguzi ufanyike, tena wa kina.
Serikali, wazazi hadi systemNani alaumiwe?
Sasa hapo uislamu umeingia vipi? Kama ni kusoma au kuolewa mapema hizo ni mila zao na hizo ziko sehemu zote hapa nchini. Kila kabila lina mila zake.Tunduru au kusini mwa Tanzania ni hovyosana uislamu na umila umewamaliza mno watoto wadogo ,darasa latatu Hana bikra yaani ,anabeba mwanaume mama Ake mzazi anamuogopa