Anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kukutwa na mwanafunzi chumbani kwake saa tano usiku

Anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kukutwa na mwanafunzi chumbani kwake saa tano usiku


Kijana David Ruya mkazi wa Tunduru Mjini – Ruvuma anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kukutwa na mwanafunzi chumbani kwake saa tano usiku.

Baada ya kukamatwa mwanafunzi huyo mwenye umri wa miaka 12 alikana kuingiliwa kimwili na mtuhumiwa huyo, lakini baada ya vipimo ilibainika kuwa walisema uongo huku simu waliyokutwa nayo ikigundulika kuwa na picha mbalimbali walizorekodi wakiwa chumbani.
du!!! jamaa kaisha aisee!!!
 
Halafu nasikia jela huko ukienda kwa makosa ya kubaka watoto wadogo kwanza wanaanza kubaka wewe.

Kijana handsome la kutisha,nkajiharibia maisha yake kijinga kabisa, kuna wanawake wengi kuliko wanaume wantafauta wanaume mpaka kwa waganga wa kienyeji.

Huyo ni shetani, hafai kuwepo kwenye jamii.
Lengo lake lilikua kutafuta inayobana apunguziwe adhabu
 
Kumbe nyinyi Wanawake huwa mnaanza Mambo ya Ngono mkiwa bado wadogo sana,miaka kumi na mbili huyo bado ni Mtoto sana, Umasikini isiwe ndiyo ruhusa ya kufanya kila Jambo la kijinga!!

Mimi pia nimebaki kushangaa statement ya huyo mdau!

Ila pia nimeelewa kwanini tupo tulipo leo hii, mtoa statement ni future parent/caregiver or maybe they already are. Kazi ipo.
 
Back
Top Bottom