Blaszczykowski
JF-Expert Member
- Dec 20, 2022
- 310
- 1,100
- Thread starter
-
- #201
Nashkuru kwa kunielewaUko sahihi,ukitaka kujua kua ndoa nimuunganiko wa familia mbili kaidi hilo halafu mkamatane tu me&ke bila hizo familia mbili kushiriki hilo suala ndio utaona lazima kuna namna tu mtawarudia kwenda kuwaomba au kutafuta msaada wao,kwahyo hoja yako iko sahihi mkuu.ndoa nimuunganiko wa familia mbili.
Atakimbilia kwetuNiko pamoja na wewe,lkn Kila mtu na uwezo wake wa kuhandle hasira.Wewe kinachokusumbua ni hiki
Kwanza umesema maneno maneno aliyokuzushia kwao
Pili Hadi kwao wanakudharau
Tatu watu watakuonaje,yaani kitendo Cha mkeo kurudi Tena kwako.
SASA MAAMUZI NI YAKO KWA SABABU MAJIBU ULIKUWA NAYO KABISAA,ULITAKA USHAURI WA NINI???
Sasa maisha ya kumwangalia flani flani nayo siyo mazuri.hutaoa.
Mfano mwanamke akifukuzwa saa nane usiku na mumewe akimbilie wapi????
Anarudi akumalize kabisa.
Mkubalie
Wapare kwenye ngasu ya Mshitu wana kipengele cha kuchagua dem na analetwa na kutakiwa kumtunza na kumjali..... shughuli yake ni jasho kutoboa ngozi.
Kamwe husifanye kosa la kumpokea mwanamke,atarudia Alichokifanya tena na tena.Ni miezi 4 sasa tokea mke wangu kukimbia na kuondoka na vitu na kuniacha kama nipo form one. Sasa anataka kurudi ili tuanze maisha mapya kwa sababu tulibahatika kupata mtoto mmoja.
Moyo wangu japo ninampenda ila nikikumbuka dharau, manyanyaso, maneno ya shombo kutoka kwa upande wa kwao nawaza sana. Maana ndoa si watu wawili tu yaani mke na mume, bali ni muunganiko wa familia mbili.
Nina maswali mengi sana ambayo hayana majibu;
~ Anarudi kwangu kwa ugumu wa maisha?
~ Anarudi kwangu kwa ajili ya kulea mtoto?
~ Anarudi kwangu amejifunza kuthamini mume?
~ Au anataka arudi kunimaliza kabisa?
Maana aliondoka kwa kishindo sana.
shughuli yake ni jasho kutoboa ngozi.Wapare kwenye ngasu ya Mshitu wana kipengele cha kuchagua dem na analetwa na kutakiwa kumtunza na kumjali..... shughuli yake ni jasho kutoboa ngozi.
Mengine ni siri ya Mshitu
Shida kila sehemu na mila zake na tabia zake na malezi yakeshughuli yake ni jasho kutoboa ngozi.
Mengine ni siri ya Mshitu[emoji1752]
Mtihani sana anakuja kwa sauti ya upoleUnakuja kimalizia jambo lake.hana jipya hawa bila msimamo.ni shida
Swali la mwisho ndio jibu. Kukumalizia kabisa.
Tafuta mke mwingine
Hamna mtu mwenye alama wala sijui nini, ila kila mtu anatabia yake. Hilo uliloliongelea sijui kusameheana na kuvumiliana mwenzako alishalishindwa na akavunja hadi ndoa na familia pamoja na kukuachia umasikini, sasa wewe unataka utudanganye nini tena hapa. Uvumilivu umemshinda akakimbia ndoa, na akaivunja, je hiyo ndio dhana ya uvumilivu au kutuletea maigizo kwenye ndoa. Unatuambia hiyo ndio ndoa ilivyo, πππ kwamba ndoa ndio mnavumiliana kwakuivunja na hata kusambaratisha familia kisha urudi mara ya pili. Hapo ndio kukosa uvumilivu sasa. Kwamba na mwanaume naye avumilie kwakuikimbia familia halafu kesho arudiπππ, hivi nyie kwanini hamkomboleki na mnajichimbia kaburi wenyewe. Point ni vumilia ila kamwe usijaribu kuivunja familia, otherwise huo ni utoto, ubinafsi na upumbavu, achana na ndoa kabisa haikufai.Kila mtu na mawazo yake na kichwa chake.ulivyowaza wewe NI tofauti na mwenzako.hata darasani somo NI moja lakini Kila mtu anapata alama zake.Mungu alishajua hili ndo Mana KWENYE Biblia wanasema kuchukuliana madhaifu yet,KUSAMEHEANA na kuvumiliana.Ungekuwa unaijua dini au wa Rohoni ungenielewa ZAIDI.
Hizi ni fikra za mvulana,mwanaume hawezi kuwa na fikra kama hiziHamna mtu mwenye alama wala sijui nini, ila kila mtu anatabia yake. Hilo uliloliongelea sijui kusameheana na kuvumiliana mwenzako alishalishindwa na akavunja hadi ndoa na familia pamoja na kukuachia umasikini, sasa wewe unataka utudanganye nini tena hapa. Uvumilivu umemshinda akakimbia ndoa, na akaivunja, je hiyo ndio dhana ya uvumilivu au kutuletea maigizo kwenye ndoa. Unatuambia hiyo ndio ndoa ilivyo, πππ kwamba ndoa ndio mnavumiliana kwakuivunja na hata kusambaratisha familia kisha urudi mara ya pili. Hapo ndio kukosa uvumilivu sasa. Kwamba na mwanaume naye avumilie kwakuikimbia familia halafu kesho arudiπππ, hivi nyie kwanini hamkomboleki na mnajichimbia kaburi wenyewe. Point ni vumilia ila kamwe usijaribu kuivunja familia, otherwise huo ni utoto, ubinafsi na upumbavu, achana na ndoa kabisa haikufai.
Niaibishe nitukane navingine I don't know ππππ, maana ndio njia ya mwanamke akikosa hoja. Ila msimamo ni mmoja, hutatui tatizo kwakulikimbia tatizo bali kwakutulia na kupata suluhu. Ndoa na familia sio maigizo au u boyfriend na u girlfriend. Ni kiapo, umeamua na umeapa nieither utulie na ujenge familia yako au vunja kabisa na usitafute sababuHizi ni fikra za mvulana,mwanaume hawezi kuwa na fikra kama hizi
Kama uliapa ina maana walifundishwa mafundisho ya ndoa miezi mitatu.na wakaambiwa KABISA mko wawili,mwenzio akidondoka wewe mshike mkono umuinue.Mkeo kadondoka,kinachokusumbua usimshike mkono kumwinua ukampangusa vumbi Kisha mkatizama kill kilichomuangusha halafu maisha yakaanza upya ni nini???Niaibishe nitukane navingine I don't know ππππ, maana ndio njia ya mwanamke akikosa hoja. Ila msimamo ni mmoja, hutatui tatizo kwakulikimbia tatizo bali kwakutulia na kupata suluhu. Ndoa na familia sio maigizo au u boyfriend na u girlfriend. Ni kiapo, umeamua na umeapa nieither utulie na ujenge familia yako au vunja kabisa na usitafute sababu
za kuonea huruma. Ndoa naiheshimiwe na watu wote, ilishaandikwa. Huwezi ukaheshimu kitu ukakifanya kama tambala la deki kwamba unaitumia utakapo. Sawa mtu mzima!
Nenda kwa Yes tu ukatue zigo lako la Rohoni,acha kumuweka mtu Rohoni.Niaibishe nitukane navingine I don't know ππππ, maana ndio njia ya mwanamke akikosa hoja. Ila msimamo ni mmoja, hutatui tatizo kwakulikimbia tatizo bali kwakutulia na kupata suluhu. Ndoa na familia sio maigizo au u boyfriend na u girlfriend. Ni kiapo, umeamua na umeapa nieither utulie na ujenge familia yako au vunja kabisa na usitafute sababu
za kuonea huruma. Ndoa naiheshimiwe na watu wote, ilishaandikwa. Huwezi ukaheshimu kitu ukakifanya kama tambala la deki kwamba unaitumia utakapo. Sawa mtu mzima!
Njoo kwa YESU,HUTAJUTA.HUTALALAMIKA,ATAKUFUNDISHA KUVUMILIA NA KUCHUKULIANA.Niaibishe nitukane navingine I don't know ππππ, maana ndio njia ya mwanamke akikosa hoja. Ila msimamo ni mmoja, hutatui tatizo kwakulikimbia tatizo bali kwakutulia na kupata suluhu. Ndoa na familia sio maigizo au u boyfriend na u girlfriend. Ni kiapo, umeamua na umeapa nieither utulie na ujenge familia yako au vunja kabisa na usitafute sababu
za kuonea huruma. Ndoa naiheshimiwe na watu wote, ilishaandikwa. Huwezi ukaheshimu kitu ukakifanya kama tambala la deki kwamba unaitumia utakapo. Sawa mtu mzima!
Mungu kawakutanisha wore mna mapungufu.kazi yako no kuyaondoa mapungufu ya mwenzako au kuyapunguza.Njoo kwa Mwanaume wa wanaume,njoo kwa Mfalme was wafalme,njoo utolewe moyo wa JIWE uwekwe wa nyama.Hamna mtu mwenye alama wala sijui nini, ila kila mtu anatabia yake. Hilo uliloliongelea sijui kusameheana na kuvumiliana mwenzako alishalishindwa na akavunja hadi ndoa na familia pamoja na kukuachia umasikini, sasa wewe unataka utudanganye nini tena hapa. Uvumilivu umemshinda akakimbia ndoa, na akaivunja, je hiyo ndio dhana ya uvumilivu au kutuletea maigizo kwenye ndoa. Unatuambia hiyo ndio ndoa ilivyo, πππ kwamba ndoa ndio mnavumiliana kwakuivunja na hata kusambaratisha familia kisha urudi mara ya pili. Hapo ndio kukosa uvumilivu sasa. Kwamba na mwanaume naye avumilie kwakuikimbia familia halafu kesho arudiπππ, hivi nyie kwanini hamkomboleki na mnajichimbia kaburi wenyewe. Point ni vumilia ila kamwe usijaribu kuivunja familia, otherwise huo ni utoto, ubinafsi na upumbavu, achana na ndoa kabisa haikufai.
Ni miezi 4 sasa tokea mke wangu kukimbia na kuondoka na vitu na kuniacha kama nipo form one. Sasa anataka kurudi ili tuanze maisha mapya kwa sababu tulibahatika kupata mtoto mmoja.
Moyo wangu japo ninampenda ila nikikumbuka dharau, manyanyaso, maneno ya shombo kutoka kwa upande wa kwao nawaza sana. Maana ndoa si watu wawili tu yaani mke na mume, bali ni muunganiko wa familia mbili.
Nina maswali mengi sana ambayo hayana majibu;
~ Anarudi kwangu kwa ugumu wa maisha?
~ Anarudi kwangu kwa ajili ya kulea mtoto?
~ Anarudi kwangu amejifunza kuthamini mume?
~ Au anataka arudi kunimaliza kabisa?
Maana aliondoka kwa kishindo sana.
Ni miezi 4 sasa tokea mke wangu kukimbia na kuondoka na vitu na kuniacha kama nipo form one. Sasa anataka kurudi ili tuanze maisha mapya kwa sababu tulibahatika kupata mtoto mmoja.
Moyo wangu japo ninampenda ila nikikumbuka dharau, manyanyaso, maneno ya shombo kutoka kwa upande wa kwao nawaza sana. Maana ndoa si watu wawili tu yaani mke na mume, bali ni muunganiko wa familia mbili.
Nina maswali mengi sana ambayo hayana majibu;
~ Anarudi kwangu kwa ugumu wa maisha?
~ Anarudi kwangu kwa ajili ya kulea mtoto?
~ Anarudi kwangu amejifunza kuthamini mume?
~ Au anataka arudi kunimaliza kabisa?
Maana aliondoka kwa kishindo sana.