farfat
JF-Expert Member
- Jun 10, 2021
- 258
- 498
Alooo nyie[emoji23][emoji23]Bigg Yes
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alooo nyie[emoji23][emoji23]Bigg Yes
Kweli kabisa mtoa mada ukapime huyo anaweza akaja na mapenzi moto moto kumbe ni njia ya kukubambikia mimba.Kama utamsamehe hakikisha mnapima ujazito kama anao.Ukimruhusu tu anakuja kukubambikia mimba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]anataka arudi kukumaliza kabisa.
Sasa hivi hatokuacha kama form one. Atakuacha kama vidudu
Ndyo maana wanasemaga mume na mke wataacha familia zao nao watakuwa kitu kimoja.Familia mbili kivipi?
Ndoa ni muunganiko wa Watu wawili tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kashaachwa na aliyekuwa anampa kiburi, mwamba kapiga katosheka. Anataka kurudi apendeze tena kisha akupe pigo mwana ukome.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anarudi maana majukumu yamemzidia. Ya kulea mtoto ofcoz[emoji23]
Huyo karogwaa sio bureee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787] wanawake wengine ni magaidi kabisa, kuna mmoja mmewe kasafiri siku mbili akaita fuso ikabeba kila kitu ikapeleka kwao huko mbulu. Jamaa anafika anakuta uwanja wa mpira kweupee hakuna hata buibui. Kakaa kajipanga upya baada ya miezi 7 mwanamke karudi na alimpokea.
Dawa ilimuingia ikafika mahala pakeHuyo karogwaa sio bureee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Afuate huu ushauri vinginevyo ataingizwa mkengeKweli kabisa mtoa mada ukapime huyo anaweza akaja na mapenzi moto moto kumbe ni njia ya kukubambikia mimba.Kama utamsamehe hakikisha mnapima ujazito kama anao.
Roho yangu bado simuamini .Yes ni mtu wa hasira sana tena sana
HASIRA TU HIYOOO,HAKUNA CHA KUMMALIZA WALA NINI.TENA ATAKUWA NA ADABU HUYO,HADI ATAMSHANGAA.AMUWEKEE SHERIA TU,AKIVUNJA ATEMBEEEBhs alifanya maamuzi kwa hasira anajutia. Mpe nafasi mlee mtoto.
Hapo sw.uyo ni mtu hatare mnooo. Anaongozwa na tamaa.piga chini kabisaSababu ya kuondoka maisha kubadilika
Watanzania inabidi sasa tufikie hatua tuijue sheria. Utanung'unika hapa ilihali kuna sheria ambazo zitakuruhusu kumuona mwanao bila kutaka kuonewa huruma. Tujifunze ni tatizo hili sasa.Nawaza sana apo maana yeye ataki niwasiliane na mtoto au niwe karibu na mtoto mpaka ilo lengo litimie
Offcourse maana hawa viumbe sioSwali la mwisho ndio jibu. Kukumalizia kabisa.
Tafuta mke mwingine
Uko sahihi,ukitaka kujua kua ndoa nimuunganiko wa familia mbili kaidi hilo halafu mkamatane tu me&ke bila hizo familia mbili kushiriki hilo suala ndio utaona lazima kuna namna tu mtawarudia kwenda kuwaomba au kutafuta msaada wao,kwahyo hoja yako iko sahihi mkuu.ndoa nimuunganiko wa familia mbili.Ndoa mke na mume ila ndoa itakuwa ngumu kama upande wa mke au mume kutakuwa na utofauti ivyo ndivyo ninavyo amini mimi