Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni hivi,ulitakiwa wewe uende kwao, hata Kama yeye ALITANGULIA maana umesema ni MKE KABISA taratibu zote ulifata.Je kwa nini hukwenda???Sababu alishanipakazia kwa maneo ya uwongo kwa familia yake na wakamuamini mpaka anarudi kwao akuna ata mmoja alieniuliza what happen ila walikaaa kimya na kumpokea hiyo situation inaniumiza kichwa
CHOMBEZA TIME.SIAJABU HATA NDOA HUNANiliambiwa vitimbwi vya mwanamke ni hatari kuliko ata vya shetani
Kama yeye kawaambia NDUGU zake na wewe waambie NDUGU zako Kama hujamkoseaAliniomba turudiane na kuniambia tuweke pamba masikioni maana anajua kitakachotokea nikiwaeleza ndugu zangu
No kweli anaweza kuwa bora.lkn vyombo arudishe.Anaweza kuwa Bora kuliko mwanzo.KUOA OA MARA LEO HUYU KESHO YULE SIO VIZURI.NGUZO YA NDOA NI KUSAMEHEANA NA KUVUMILIA.Mpe nafasi wengine wajifunza wakiwa nje ya gemu kama atakua na tabia zilezile arudi kwao ila Mpe nafasi kuoa oa napo sio vizuri.
Nakukubali mkuu.Amrudishe na ampe masharti na sheria,akileta za kwake AMRUDISHE.LKN NADHANI ATABADILIKAJapo huwa siwaamini Wanawake sana
But mchukue tu mlee mtoto.
But kuwa mwangalifu na hakikisha this time una take over madaraka yako kikamilifu utakaloamua hakuna kubishana atake asitake.
This time uwe mbabe maana inaonesha ulimpa uhuru sana Wanawake ukiwapa democracy wanakuwa vichaa ghafla.
Familia imeshamtenga🤣🤣🤣🤣🤣Roho yangu bado simuamini .Yes ni mtu wa hasir
Familia yake pia ilichangia naona alivyotegemea tofauti maana kila mtu now ana deal na maisha yake
Inategemea kwa mwanaume ni wapi.wengine wako mbali na ukweni.We ni mwanaume?
Mwanamke akishakimbilia kwao achana naye.
Kama angekuwa na lengo zuri angekimbilia kwenu.,
hahahaaaa ila wewe majibu yako daahanataka arudi kukumaliza kabisa.
Sasa hivi hatokuacha kama form one. Atakuacha kama vidudu
Ndo maisha ya ndoa hayo.mume kwa nini asimpokee mkewe???Kosa moja haliachi mke.🤣 wanawake wengine ni magaidi kabisa, kuna mmoja mmewe kasafiri siku mbili akaita fuso ikabeba kila kitu ikapeleka kwao huko mbulu. Jamaa anafika anakuta uwanja wa mpira kweupee hakuna hata buibui. Kakaa kajipanga upya baada ya miezi 7 mwanamke karudi na alimpokea.
😯😯😯Mimi sina ushauri ila kama utarudiana naye nialike nile pilau la ndoa mrudiano .Pia kama akirudi na kukumaliza kabisa nialike mapema msibani.
#Kidongemlongakweli
Sio rahisi kiasi hichoNdo maisha ya ndoa hayo.mume kwa nini asimpokee mkewe???Kosa moja haliachi mke.
Sio sogea tuishi /waliookotana
Ndio uhalisia 😂hahahaaaa ila wewe majibu yako daah
Usijarb kufuata huu ushaurUgumu wa maisha ndio unamrudisha..kama unampenda msamehe na mpokee mlee familia yenu kwa pamoja
Wewe TU kwako ndo vigumu.lakini akitafakari makosa aliyomtendea mkewe kwa nini asimsamehe na akamrudisha maisha yaendeleeSio rahisi kiasi hicho
Sawa ni ushauri wangu kwa upeo wangu.Wewe TU kwako ndo vigumu.lakini akitafakari makosa aliyomtendea mkewe kwa nini asimsamehe na akamrudisha maisha yaendelee