Anataka kuwa mke bora baada ya kunidharau

Anataka kuwa mke bora baada ya kunidharau

Naunga mkono
Hakuna mwanamke anaweza kukuvumilia ujipange kumuoa kwa miaka 10 usimlaumu bure.

Shida tunawalaumu kina mama bila kuwaza upande wa pili. Wewe unaweza ona ndoa sio ishu kuuuuubwa ila kwa kina mama huwa ni kitu sensitive sana. Umekaa nae miaka 10 huo sio uchumba tena ni kitu kingine. Kwani lazima umuoe kwa harusi kubwa, ungefunga nae ndoa nakuhakikishia huyo mama angekuvumilia kwa tabu na raha zako.

Ukishakuwa na mwanamke ambae age inasogea ndoa huwa ni sensitive sana. Kama unampenda muoe kisha muendelee kutafuta maisha pamoja.
Naunga mkono hoja 📌🔨
 
Muache aishi maisha yake na wewe ishi yako usimlaumu kama unampenda oa uendelee pale mlipoishia miaka 10 umzeeshe na Bado pengine hukuwa na mpango naye, ungesema labda hata barua ya posa ulimtolea tungeamini alikuwa Kwenye mipango yako.

Ukiona unampenda endelea naye lakini lawama za aliniacha ziweke kando, kwanza wewe ndio umemchakata zaidi kuliko alikoenda kama ni asali umeichimba zaidi kuliko huko alikoenda, kwahiyo usione kama kukumisi anakosea.
Jamaa akisoma huu ujumbe na kurudia rudia ....

Kwa uandishi wake naona anaweza akarudiana nae.
 
Hakuna kuondoka mapema huyo wa kuondoka mapema nae hana akili,mwanamke makini lazima aijue na aikubali hali ya mwenzake akiambiwa subiri ni-set jambo fulani anasubiri.

Dawa ya wenye haraka ni kama hii,unamuacha anakufa huku anajiona hakuna masihara kwenye maisha na watakaokuja watajifunza kwake.
Umeongea kweli mkuu. Mimi kuna mmoja hivyo hivyo alinitishia hadi ikifika wakati fulani nisipomuoa lazima aolewe ata na mtu mwingine iliniuma lakini baadaye nikaamua kuachana nae na kupiga kimya, so far hakuna cha ndoa aliyopata amebaki kukumbuka wema wangu na mimi hivi sasa ninaendelea na maisha yangu.
 
Maisha yalivyo ya hovyo watu wameanza kumlaumu jamaa na kumuona mwanamke yupo sawa!!
Wanaume tupambane tu kuishi furaha yetu.
Achana na mwanamke anayetafuta kwa kuponea njaa zake.
Anataka kugeuza ndoa kama ajira ya kumfanya Aishi.
Point
 
Umeongea kweli mkuu. Mimi kuna mmoja hivyo hivyo alinitishia hadi ikifika wakati fulani nisipomuoa lazima aolewe ata na mtu mwingine iliniuma lakini baadaye nikaamua kuachana nae na kupiga kimya, so far hakuna cha ndoa aliyopata amebaki kukumbuka wema wangu na mimi hivi sasa ninaendelea na maisha yangu.
Hajapata hata mtoto
 
Katika kitu sitokuja kufanya ni kulea mtoto wa mwanaume mwenzangu tena ukilinganisha huyo mwanamke aliondoka kwako kwa dharau.

Kitendo cha kuishi naye miaka 10 bila kumsaliti kivyovyote kwa akili ya kawaida tu hakutakiwa kuwa na mashaka yoyote sababu ndoa ni kutamka maneno na vipande vya karatasi tu na hakuna kingine zaidi ya upendo wa kweli.

Huyo anakuona bwege bushoke ndio maana mwanzo alithubutu kuondoka kwako na alijua yakienda kushoto atarudi kwako na wewe bwege lake utampokea na kingine mwanamke mwenye mtoto hata ukioa tayari anakuwa na special connection na yule jamaa kama mzazi mwenzake na hapo lazima kuwe na usumbufu kwenye hiyo ndoa na probability ya yeye kulala tena na huyo jamaa ni kubwa mno.

Mkuu kuna watoto wazuri na wabichi kabisa hapa duniani tafuta mwingine uanzishe familia yako mwenyewe halali hakuna kugeuka nyuma au utakuja kulia zaidi, na next time jifunze kuwa na mamlaka kama mwanaume na sio kuwa mpole na yes man au wanawake watakuendesha sana na kukudharau.

No offense kwa maneno makali lakini huo ndio ukweli mkuu.
Ni kweli mkuu, maana alifikia hatua kanambia anampeleka mtoto kwa bibi yake moshi aje kwangu
 
Wanawake wengi ni wapuuzi sana, wanajifanyaga wana move on, end of the day wanajifanya wanapost maisha mazuri wapo outing wapo ktk nyumba nzuri, kumbe mavi matupu, wakiona upo kimya wanakutafuta the moment wanakutafuta wanakukuta upo na maisha mazuri kuliko mabwana zake wote... Unaishia kucheka kile kicheko cha Magu "Anhaaaa Ihiiiiiiiiiiiiiiiiii...." Achana na hiyo ng'ombe iendelee kuteseka na maisha ya usingo maza...
Halafu hawa single maza ni wakuchezewa tu, unampiga show unalala mbele, kwasabab 90% ya single maza waliletea dharau wanaume ambao wangeweza kuwaoa na kuwatunza kimaisha, wakajifanya wanakimbilia wanaume wenye kigari mwsho wanaambulia mimba na hawaolewi... Halafu wakipigika ndio wanaanza kutafuta mwanaume wa zaman ambae alimpenda kweli...
 
Hicho kipande cha tikiti sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niwakumbushe wanawake kwa mkazo......mwanaume hajawahi kuaibika, akianguka anasimama na anajikung'uta anatafuta chaka mpya bora zaidi....mkuu achana naye aendelee kula ustawi wa jamii
Labda kama kufa ndo kujikung'uta kwenyewe
 
Yaani watu wakiona mtu ana mtoto sijui huwa mnamchukuliaje???
 
Hivi kwanini huwa wanarudi kwa watu waliowacha tena wakati mwingine hata kwa dharau?
Wakati mwingine ni udhaifu tuu.

Kingine ,kupata mtu sahihi wa kuishi nae sio jambo dogo so inafikia wakati mtu anachuja wengiiii anaamua kuchagua mwenye mapungufu yanayovumilika.

Mfano kwa huyu jamaa hapa hatumjui kitabia lkn tupo na utetez kwake. Haishindikani huyu anayeona ni mwanamke mzuri kwake kumzidi huyo wa miaka 10 ...akawa mbaya zaidi.

Kuna vitu havipo SAWA ....hajaelezea vizuri hiyo miaka kumi ilianza wapi hadi wapi hata Kwa miaka tuu
 
Swala sio kwenda Kwa aliyebora chief,hapo ni swala la karma kuingia kwenye system mkuu.hata kama ulikuwa juu mawinguni itahakikisha inakushusha chini sakafuni ugaregare huko.

*tujifunze kuachana Kwa wema
Lkn pia jamaa alizingua, uchumba miaka 10?
 
Swala sio kwenda Kwa aliyebora chief,hapo ni swala la karma kuingia kwenye system mkuu.hata kama ulikuwa juu mawinguni itahakikisha inakushusha chini sakafuni ugaregare huko.

*tujifunze kuachana Kwa wema
Tatizo lenu mkidanganywa na me mpya unaanza dharau za waziwazi kwa mtu wako.
Mna udhaifu mbaya sana
 
Wanawake wengi hawapendi au kujishughulisha na kitu cha kuingiza hela mpaka either aolewe halafu aachike au azalishwe na mwanaume na kumkimbia hapo ndo atakumbuka ma ex wote na anaweza akafanya biashara ila ukimkuta ndo bado ni slay queen wanakuwa na dharau na nyodo pamoja na tamaa yakiwakuta wanashtuka kumekucha walikuwa wanaota.
 
Back
Top Bottom