Anataka kuwahamishia watoto wake olympio. Walikua shule ya private. Anauliza apange nyumba sehemu gani ili iwe rahisi kwa watoto wake kwenda shule

Anataka kuwahamishia watoto wake olympio. Walikua shule ya private. Anauliza apange nyumba sehemu gani ili iwe rahisi kwa watoto wake kwenda shule

Huyo ni kituko.

Haiwezekani anaishi nyumba ya kupanga then akapeleka watoto private school
Wahindi wanapanga maisha yote ba wanasomesha watoto wao shule bora na vyuo bora

Sio kila mtu lazima ajenge nyumba atapanga nani? Hata uende ulaya na Marekani kuna watu asilimia kubwa maisha yao yote huishi nyumba za kupanga na hawaoni shida

Mtu kupanga sio kuwa maskini hana hela
Ni maamuzi tu hataki kujenga uswahilini anapanga mjini hata kama ana pesa namna gani
 
Angalia kipato Chako ,kama umeyumba Sio lazima ukampeleka English medium ya mjini changamoto za usafiri ni kubwa angalia shule ambayo mtoto ukimuhamishia haitakupa gharama kubwa za Wewe kupanga na usafiri Kwa watoto.
 
Wahindi wanapanga maisha yote ba wanasomesha watoto wao shule bora na vyuo bora

Sio kila mtu lazima ajenge nyumba atapanga nani? Hata uende ulaya na Marekani kuna watu asilimia kubwa maisha yao yote huishi nyumba za kupanga na hawaoni shida

Mtu kupanga sio kuwa maskini hana hela
Ni maamuzi tu hataki kujenga uswahilini anapanga mjini hata kama ana pesa namna gani
Umechangia ukiwa hujui ipi ilikuwa point yangu,muhusika anataka kuhama anakoishi (currently akiwa analipia ada watoto wake private schools) ili ahamie karibu na mji ahamishie wanae Olympio Pre School Kayumba ya serikali iliyochangamka huyu kwako ni tajiri?

Assuming angekuwa na hela hizo anazoenda kupangisha nyumba (obviously ni bei kubwa) karibu na mjini kwa nini asingeendelea kulipia hao wanae huko private akaendelea kuishi alipo sasa?maana hajataka kuhamia karibu na mjini ili apeleke wanae Feza School amehama ili awapeleke government.
 
Umechangia ukiwa hujui ipi ilikuwa point yangu,muhusika anataka kuhama anakoishi (currently akiwa analipia ada watoto wake private schools) ili ahamie karibu na mji ahamishie wanae Olympio Pre School Kayumba ya serikali iliyochangamka huyu kwako ni tajiri?

Assuming angekuwa na hela hizo anazoenda kupangisha nyumba (obviously ni bei kubwa) karibu na mjini kwa nini asingeendelea kulipia hao wanae huko private akaendelea kuishi alipo sasa?maana hajataka kuhamia karibu na mjini ili apeleke wanae Feza School amehama ili awapeleke government.
Ni kweli lakini hayakuhusu ni maamuzi yake kama mzazi hangaika na wanao watoto.wa watu wengine achana nao koma kabisa kama ulivyokoma kunyonya ziwa la mama yako mzazi
 
Ni kweli lakini hayakuhusu ni maamuzi yake kama mzazi hangaika na wanao watoto.wa watu wengine achana nao koma kabisa kama ulivyokoma kunyonya ziwa la mama yako mzazi
Aaah!

Kama mkurugenzi mkuu wa GPSA Tabora uwongo?
 
Back
Top Bottom