Anatropia Lwehikila awashukia wabunge waliodai kunyanyaswa kingono, asema wanajidhalilisha kutojua wapi pa kupeleka malalamiko yao

Watu wazima !!! ingekuwa WAMEBAKWA ! hilo ni suala lingine lkn mtu mzima kama ni kweli kumbuka UMETONGOZWA , ukakubali maisha yakaendelea.

Watu wamekutana shuleni, vyuoni, makazini na hata Bungeni, wakatongozana , wakakubaliana maisha yakaendelea!.

Kuja hadharani na kusema , maisha yaliendelea kule japo mimi sikupenda hali ile baada ya miaka 5 kupita huo siyo UUNGWANA nyamazeni .

Ni kujidhalilisha na kudhalilisha utu wa MWANAMKE , kuonesha mwanamke ni chombo tu hata awe MBUNGE hawezi kujisimamia pale anapoona POSHO.
 
Acha kuwabeza wenzako. Njaa ni hatari na inaua kuliko corona isipodhibitiwa. Suala la rushwa ya ngono (sextortion) ni la kimataifa fanya utafiti utajua sababu zake au wasiliana na watakupa uelewa. Bado CUF tunatafakari mchezo uliochezwa Ukawa Segerea
 
Awanyanyase nani sasa? Wenyewe sura nzito vizee waende zao bwana.Watu wazima ovyoo
 
Anatropia ni kimada wa John Mrema ambaye yuko makao makuu CHADEMA. Na yeye ni mnufaika wa ubunge wa 'VITU MAALUM' wa CHADEMA. Alilamikiwa sana mwanzoni alipopitishwa lakini nani angesikiliza na kumwondoa kiburudisho cha Mrema.

Achunge kauli, hakuna ambaye angeamini kwamba Sussane Masele ambaye ni mke wa Tumaini Makene angeweza kusepa na kuiponda CHADEMA.
 
Walidhalalishwajwe kingono na wenyewe wana Mabwana zao?.
 
Wameolewa wale Mkuu, na Wana Watoto.
 
Mishankupe yenyewe sasa inayosema imenyanyaswa kingono..hadi unacheka..

Ni Sawa na bar maid aseme kashikwa mkono na mteja..
 
Mbunge mzima unatumikishwa kwa kipindi cha miaka mitano, upo kimya mtu ambaye jamii tunaelewa unauelewa mbona wa Mambo ya kisiasa, kiuchumi na kisheria, mtu ambaye unahusika na kutunga Sheria za nchi, dah hii ni aibu na kujidhalilisha kiwango kikubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NCCR ipi hiyo unayoiongelea?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo hili limeota mizizi Chadema hata Lissu aliripoti twitter badala ya kuripoti polisi!
 
Mdee sio mtu mzuri kabisa!
 
Kwa hiyo hawa wanawake tayari weshaliwa kinguvu na wakatoa ushirikiano katika tendo hilo?
Wamepoteza sifa za kuolewa kama bado na kama wapo kwenye ndoa ni aibu ya familia na ukoo walio olewa.
Kwa jamii sisi tushawaelewa kwamba ni watu wasioweza kutetea haki zao wenyewe hivyo za wengine ndio kabisaaa kuingia choo cha jinsia tofauti.
Niwaaase kaeni mle hizo za kununuliwa na ni maandalizi yenu ya kupotea karika siasa za nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unawasahihisha au unawasemea tena ujinga acheni waondoke tu hata nikibaki mie nitakuepo. Bungeni nating
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zamani kidogo nilikuwa nilifikiri ni mtu ukishakuwa mbunge automatically utakuwa na akili.

Unakubali katumika kirahisi hadi unatia kinyaa
Siku hizi jamii imechagua upumbavu kuwa style ya maisha.
Wapumbavu ndiyo wanachaguliwa na kushabikiwa kisiasa , kijamii, kitamaduni na hata kidini.
Mijadala hapa JF inajadiliwa kipumbavu zaidi kuliko hoja zenye mashiko ya kiakili nzuri, busara na hekima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…