Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
jumuia ni kichaka kipya cha kuibia maskini; wanachangisha kila siku ujenzi kwa miaka zaidi ya 20 na ujenzi hauishi.Sasa kuna taasisi isiyokuwa na sheria? Afu wanajumuia ni haohao masikini wakiwemo, kushiriki ibada za jumuia ndo kigezo kikubwa sasa