Lucas Mganda
JF-Expert Member
- Mar 13, 2016
- 250
- 178
Nitafute rukwa wilaya ya kalambo kuna heka 150 special kwa mahindi, maharage na mazao mengine bei ni 100000 per heka weka ya udalili 50000 per hekaGreat thinkers.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu in case unafahamu kijiji chochote ambapo mashamba yanapatikana Kwa bei tajwa tujuzane.
Ukitaka mali utaipata shambami. arifhi ni.mtaji. zingatia kutaja sehemu husika Vizuri na namna ya kufika huko..
Kuna mtu alinitajia kuna kibindu njía ya kwenda Tanga baada ya Tuliani. Sehemu nyingine ni miono baada ya msata sijui kama ni kweli
Karibuni
Asanteni.
Kongwa, Mpwapwa,Bahi,Chemba kote yapo Mwashambwa.Kwa mpunga-Bahi.karibu.Dodoma wilaya Gani huko mkuu?
Njoo pm upate kumiliki kipande Cha ardhiGreat thinkers.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu in case unafahamu kijiji chochote ambapo mashamba yanapatikana Kwa bei tajwa tujuzane.
Ukitaka mali utaipata shambami. arifhi ni.mtaji. zingatia kutaja sehemu husika Vizuri na namna ya kufika huko..
Kuna mtu alinitajia kuna kibindu njía ya kwenda Tanga baada ya Tuliani. Sehemu nyingine ni miono baada ya msata sijui kama ni kweli
Karibuni
Asanteni.
Hapo bahi ninayo tena mwanzoni tu pale Daraja la mwanzo baada ya Bahi sokoni, Nataka sehemu ambayo sio Mbuga ambayo naweza weka na makazi ya mtu kabisa. Lile eneo la Chigongwe pameisha pimwa kote?Kongwa, Mpwapwa,Bahi,Chemba kote yapo Mwashambwa.Kwa mpunga-Bahi.karibu.
Kalambo sehemu gani mbona mie nipo matai natafuta mashamba ziyapati kwa bei hiyoNitafute rukwa wilaya ya kalambo kuna heka 150 special kwa mahindi, maharage na mazao mengine bei ni 100000 per heka weka ya udalili 50000 per heka
Wapi hapo boss Kwa bei gani?Njoo pm upate kumiliki kipande Cha ardhi
Mpui Wilaya na mkoa gani mheshimiwaKaribu Mpui unapata hata kwa 50,000....ulizia Mwenyekiti Chengwa
Xwanga...kama unatokea Mbeya..pale Laela kwa mbele...Mpui Wilaya na mkoa gani mheshimiwa
Asante boss. Shida ya lindi vijana wa KAZI mashambani ni wavivu sanaNenda Lindi walaya ya Liwale, ongea na serikali ya kijiji chochote watakupa pori bure uligeuze kuwa shamba, utalima mazao ya biashara kama ufuta, mpunga, mbaazi na korosho. Mashamba yanafikika kwa gari au hata boda boda hivyo ni juhudi zako tu ndo zitaamua utoboe kwa kiasi gani
Wadau wanasema isimani pako Vizuri sanaWakuu vipi mkoa wa iringa?
Kama unaelekea kiponzelo, wasa,ihomasa uko maeneo bei yake inasimamaje?
Sio lazima utumie wa hapo, unaweza chukua vibarua mikoa mingine hasa dom na kigoma ukawapeleka wakafanya kazi yako vizuri tuAsante boss. Shida ya lindi vijana wa KAZI mashambani ni wavivu sana
Uko wanalima nini?Wadau wanasema isimani pako Vizuri sana
Mshauri atafute Suzuki Escudo old model. Akipata manual trans itakuwa poa zaidi. Popote atakapopita mtu wa Cruza basi ile gari inapita bila wasi wasi 4WD yake sio mchezo.Ukihangaika utapata hata kwa laki 1 ila kuna vitu inabidi uzingatie
Mashamba huwa yako mbali saana hivyo si Ashlabu ukakutana na changamoto za
1. Accessibility
2.Wanyama Wakalli
3. Wizi/Usalama
Kuna jamaa kanunua eka 50 laki 3 kwa ekari jumla 15m. Lakini ni takriban km 35 kutoka Kilwa road, na hivi vi Baby Walker vyetu tunavyotanua navyo Magomeni havimalizi hata km 10 kwa jinsi njia ilivyo mbovu, katika miezi 12 ana uwezo kuingia shambani kwa muda wa miezi 8 tu, miezi 4 iliyobaki hakuingiliki shambani