Anayefahamu sifa za mabinti wa Kinyaturu

Status
Not open for further replies.
kuna mmoja nilikuwa nae alikuwa anaitwa sheila,vituko alivyokuwa ananifanyia,mungu ndo anayejua,na nilimpenda sana,akawa ndo anatumia kuniumiza,alaf kama wana majini vile,vituko vyote vile,lakn mpaka leo bhado nampenda japo,tumeachana,alimpata mjanja mmoja,akamtorosha akawa ana kaa nae,mara nikasikia wameachana amerud kwao singida,hawafai hao,ila ni wazur,warefu,weupe,waongeaji sana,anapenda akutawale,kuna wakat uwa wanapenda kweli,ila akikuchoka utajuta,hayo ndo niliyaona kwa sheila,mengine siri yangu,
 
ni wanawake wavumilivu... anaweza akawa na ww hata kama huna senti atakuvumilia... ni wanawake wapambanaji.... wana bidii sana katika kazi ukienda nae sawa anaweza akakusikiliza wewe kuliko wazaz wake...
anaweza akalisha familia hata kama huna kaz....
wakarimu sana na wana moyo wa huruma unapomweleza. kitu cha kugusa hisia.....
 
Pole me hapa nimetoka job.nilicho fanyiwa mungu ndio anajua nauguza vidonda hawafai hiyo kabila
 
Kwani si ndio yule miss tz wetu au?. Siwezi kuongea mengi lakini niko na Rafiki wawili ila hawana msimamo katika mapenzi na wanapenda sana sex yaani kama mko mikoa tofauti lazima awe na mchepuko na wako rahisi kufall in love easily rafiki ana mimba ya mchepuko na mume wake hajui.. Huyo mwingine ana wanaume watatu Dar, mwanza na mzungu mbabu (anakujaga tz mara chache chache) inshort kwao pussy ain't nothing to care about...
 
Najua wana Papuchi kama mabinti wengine mkuu
 
Usiingie kichwa kichwa mazee pichu zao zimetoboka apo kati ukigusa tu huhangaiki kushusha
 
ndugu yangu kimbiaaaaa hawafai hao hata bure,

ogopa wanawake hawa. Wapare. Wameru, na wanawake kutoka Singida. na wazaramo wakimbie hao usijaribu kuoa labda uwale tu na kuwaacha,

nakushauri mkuu kwa moyo mnyenyekevu
Duh!sasa kabila gani lenye unafuu,maana kila kabila unaambiwa hawafai..naomba unisaidie mkuu
 
aise kwa hizi character natamani ku-pause movie
Mkuu sasa hivi hakuna kabila ambalo ni jema we angalia vigezo unavyohitaji lakini ukisema kwa uhuni hakuna kabila ambalo hakuna wahuni. Na hicho sio kipimo... Samaki mmoja akioza sio wote...
 
We ndio unawajua watu wa singida aisee big up mkuu.
 
Mm nimeoa mnyaturu, tunamiaka 20 ndani ya ndoa, mambo safi, hakuna shida, ni wamama wazuri sana sana, wanajua kulea watoto, ni wachacharikaji ilimradi apate mume anayejiamini na mwenye kuonyesha njia
 
mkuu muombe radhi mungu wako, huu ni uongo na uzushi wa karne,nakuombea kwa mungu akusamehe. Kama hujui kitu kuhusu kitu flani bora ukae kimya. Hakuna watu wakarimu,wastaarabu na wenye uvumilivu kama wanyaturu.
nikweli kabisa mi nimeoa mnyaturu wko poa kabisa ni wakarimu na busara wanazo..
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…