Anayejua dawa ya kuua hawa wadudu anisaidie

Anayejua dawa ya kuua hawa wadudu anisaidie

Jeep rubicon

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2023
Posts
737
Reaction score
1,446
Salaam.

Kuna wadudu wako kama funza wakubwa wanaishi kwenye mbao, kwa Kizungu wanaitwa Powderpost beetles, wakila kama ni kochi au kiti utaona tu unga mlaini kama powder imedondoka chini na pia kuna wakati unasikia sauti yao jinsi wanavyotafuna kitu cha mbao.

Hawa wadudu wananitia wazimu, nina tufurniture twangu twa gharama nilituagiza Europe wanavishambulia. Nikisikia wanavyovitafuna hadi tuchozi tunanilenga.

Watu wa fummigation wamepiga dawa ila bado wapo.

Wakuu naomba msaada wa dawa au nini nifanye wafe?

Picha hiyo ni mfano wa jinsi wanavyoharibu.

waduduu.jpg
 
Kwanza epuka kununu furniture zenye mbao nyeupe.

Lakini katika mazingira hayo inabidi petrol au oil chafu ihusike,kama wanavyofanya ktk mbao za kenchi.

Ni wabaya saba unawezajikuta unakaa unapitiluza mpaka chini kumbe mbao iliishabaki frem tu.
 
Kwanza epuka kununu furniture zenye mbao nyeupe.

Lakini katika mazingira hayo inabidi petrol au oil chafu ihusike,kama wanavyofanya ktk mbao za kenchi.

Ni wabaya saba unawezajikuta unakaa unapitiluza mpaka chini kumbe mbao iliishabaki frem tu.
Hapo ndo shida ilipo.
Furniture zangu ni antique victorian so mbao kama zote halafi zina miaka mingiii kavuu.
 
Back
Top Bottom