uhaale
JF-Expert Member
- Sep 25, 2012
- 303
- 153
Hivi DDT bado inapatikana?Jaribu kumwagia ddt kwa wingi kunako maeneo athirika lakini harufu sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi DDT bado inapatikana?Jaribu kumwagia ddt kwa wingi kunako maeneo athirika lakini harufu sasa.
Ndio kwa maduka ya pembejeo, baadhi lakini.Hivi DDT bado inapatikana?
Nilijaribu kuitafuta kariakoo sokoni kabla halijaungua, lakini sikuipata.Ndio kwa maduka ya pembejeo, baadhi lakini.
Niajaribu kumuuliza mtu fulani.Nilijaribu kuitafuta kariakoo sokoni kabla halijaungua, lakini sikuipata.
Finally nimepata matumaini.fanya steaming treatment (kufukisha) , unawaua wadudu wote na mazalia yao.
'yuropu' ya keko hiyo.Salaam.
Kuna wadudu wako kama funza wakubwa wanaishi kwenye mbao, kwa Kizungu wanaitwa Powderpost beetles, wakila kama ni kochi au kiti utaona tu unga mlaini kama powder imedondoka chini na pia kuna wakati unasikia sauti yao jinsi wanavyotafuna kitu cha mbao.
Hawa wadudu wananitia wazimu, nina tufurniture twangu twa gharama nilituagiza Europe wanavishambulia. Nikisikia wanavyovitafuna hadi tuchozi tunanilenga.
Watu wa fummigation wamepiga dawa ila bado wapo.
Wakuu naomba msaada wa dawa au nini nifanye wafe?
Picha hiyo ni mfano wa jinsi wanavyoharibu.
View attachment 2529186
Hii mmeisikia hebu elezeaOil chafu changanya na dizeli, unaweza tumia bomba la sindano kuweka kwenye matundu waliyotengeneza.
Yurupo ni yuropu hata kama ya Buza mkuu.'yuropu' ya keko hiyo.
Paka rangi ya kuzuia kutu redoxide, pia hifanya mbao iwe ngumu.Salaam.
Kuna wadudu wako kama funza wakubwa wanaishi kwenye mbao, kwa Kizungu wanaitwa Powderpost beetles, wakila kama ni kochi au kiti utaona tu unga mlaini kama powder imedondoka chini na pia kuna wakati unasikia sauti yao jinsi wanavyotafuna kitu cha mbao.
Hawa wadudu wananitia wazimu, nina tufurniture twangu twa gharama nilituagiza Europe wanavishambulia. Nikisikia wanavyovitafuna hadi tuchozi tunanilenga.
Watu wa fummigation wamepiga dawa ila bado wapo.
Wakuu naomba msaada wa dawa au nini nifanye wafe?
Picha hiyo ni mfano wa jinsi wanavyoharibu.
View attachment 2529186
Hii treatment inafanyikaje mkuu? Labda itaokoa jahazi hawa wadudu wanashambulia dari langu wananipasua kichwafanya steaming treatment (kufukisha) , unawaua wadudu wote na mazalia yao.