Anayejua dawa ya kuua hawa wadudu anisaidie

Anayejua dawa ya kuua hawa wadudu anisaidie

Kuna vitu watu huwa wanapuuzia ila vina wacost sana katika ujenzi. Ndugu zangu oil chafu ukichanganya na chumvi ya mawe hamna mdudu atagusa mbao zao iwe ni kenchi au lolote. Unajenga nyumba ha mamilioni ya pesa unashindwa kwenda gereji kuchukua oil chafu uchanganye na chumvi upake kwenye kenchi zako😁
 
Salaam.

Kuna wadudu wako kama funza wakubwa wanaishi kwenye mbao, kwa Kizungu wanaitwa Powderpost beetles, wakila kama ni kochi au kiti utaona tu unga mlaini kama powder imedondoka chini na pia kuna wakati unasikia sauti yao jinsi wanavyotafuna kitu cha mbao.

Hawa wadudu wananitia wazimu, nina tufurniture twangu twa gharama nilituagiza Europe wanavishambulia. Nikisikia wanavyovitafuna hadi tuchozi tunanilenga.

Watu wa fummigation wamepiga dawa ila bado wapo.

Wakuu naomba msaada wa dawa au nini nifanye wafe?

Picha hiyo ni mfano wa jinsi wanavyoharibu.

View attachment 2529186
'yuropu' ya keko hiyo.
 
Salaam.

Kuna wadudu wako kama funza wakubwa wanaishi kwenye mbao, kwa Kizungu wanaitwa Powderpost beetles, wakila kama ni kochi au kiti utaona tu unga mlaini kama powder imedondoka chini na pia kuna wakati unasikia sauti yao jinsi wanavyotafuna kitu cha mbao.

Hawa wadudu wananitia wazimu, nina tufurniture twangu twa gharama nilituagiza Europe wanavishambulia. Nikisikia wanavyovitafuna hadi tuchozi tunanilenga.

Watu wa fummigation wamepiga dawa ila bado wapo.

Wakuu naomba msaada wa dawa au nini nifanye wafe?

Picha hiyo ni mfano wa jinsi wanavyoharibu.

View attachment 2529186
Paka rangi ya kuzuia kutu redoxide, pia hifanya mbao iwe ngumu.
Ukinunua fanicha usinunue mbao nyeupe ua ubao wenye michirizi myeupe, hawa wadudu hupenda mbao laini, mbao nyeupe ni laini.
 
Back
Top Bottom