dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
petrol ni nyepesi kidogo kuliko oil, so inapenya vizuri ndaniKuwa serious basi bro kwamba amwagie petrol
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
petrol ni nyepesi kidogo kuliko oil, so inapenya vizuri ndaniKuwa serious basi bro kwamba amwagie petrol
Yaani kwa hasira unaweza jikuta unamwangamiza kwa kuchoma kochi lenyewepole mkuu.unatamani kulia, hasa ukute ni lile li beetle likubwa kama kidole, anatafuna mpaka unasisimka na kushikwa na hasira kali sana
kama yuko ndani sana ya mbao unaweza usifanikiwe
Ila si itaacha doa kwenye kitambaa cha kochi mkuu?petrol ni nyepesi kidogo kuliko oil, so inapenya vizuri ndani
ile sauti inakera sana aisee, yaani inaumiza, sasa ukute usiku kucha anatafuna na wewe uko bize kumsikiliza huku unasisimka ukiwa na machungu makali kabisaYaani kwa hasira unaweza jikuta unamwangamiza kwa kuchoma kochi lenyewepole mkuu.
dah, mkuu samahani, hoja zangu zote juu zina assume mbao iko exposed, yaani zinaonekanaIla si itaacha doa kwenye kitambaa cha kochi mkuu?
Ndo kilichobakia mkuu.Yaani kwa hasira unaweza jikuta unamwangamiza kwa kuchoma kochi lenyewepole mkuu.
Yaani kwa hasira unaweza jikuta unamwangamiza kwa kuchoma kochi lenyewepole mkuu.
Makoch yangu yana mimbao hadi kwa ndan,😭dah, mkuu samahani, hoja zangu zote juu zina assume mbao iko exposed, yaani zinaonekana
Sasa nisaidie kuumiza kichwa mkuu.dah, mkuu samahani, hoja zangu zote juu zina assume mbao iko exposed, yaani zinaonekana
mbao tupu ambayo iko uchi kabisa, huyo mdudu ni mtiti kufa, (maana mwili wake umefichwa na kava mithili ya shell ivi )Sasa nisaidie kuumiza kichwa mkuu.
Tufanyaje kwa mbao za ndan ya koch na juu yake kuna kitambaa?
Mwenzie nawaza ingekua kuna dawa ya kupuliza colorless au ya mvuke
Moto??petrol ni nyepesi kidogo kuliko oil, so inapenya vizuri ndani
Huyo ni wa kumwagiwa ddt, atafute means ya kumwagia.ile sauti inakera sana aisee, yaani inaumiza, sasa ukute usiku kucha anatafuna na wewe uko bize kumsikiliza huku unasisimka ukiwa na machungu makali kabisa
hiyo ni do or die scenario mkuu, ila kwa case ya jamaa ngoma ni kipengele, mbao hazionekani zimefichwa na kitambaa, kutibu kutumia ya oil/diesel/petrol inataka hasa mbao ionekaneMoto??
shida ya yule mdudu yuko katikati ya mbao , chukulia inchi moja toka sura ya mbaoHuyo ni wa kumwagiwa ddt, atafute means ya kumwagia.
Ddt jaribu kuipenyeza ikimkaribia ataelewa tu.shida ya yule mdudu yuko katikati ya mbao , chukulia inchi moja toka sura ya mbao
dawa ya kawaida ikifanikiwa kupita bado haitamdhuru maana mwili wake umefunikwa na gamba gumu mithili ya sheli
Jeep rubiconDdt jaribu kuipenyeza ikimkaribia ataelewa tu.