Anayejua dawa ya kuua hawa wadudu anisaidie

Anayejua dawa ya kuua hawa wadudu anisaidie

shida ya yule mdudu yuko katikati ya mbao , chukulia inchi moja toka sura ya mbao
dawa ya kawaida ikifanikiwa kupita bado haitamdhuru maana mwili wake umefunikwa na gamba gumu mithili ya sheli
Ni mdudu kamili anaishi humo au ni funza wanakula mbao kama chakula katika ukuaji wao?
 
Back
Top Bottom