NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyu ndiyo muathirika, siyo mie, nimem tag aoneNi nini
Poa poa.huyu ndiyo muathiriki, siyo mie, nimem tag aone
Oa weweeza dukani hazifui dafu, atanyamaza ndani ya mwezi tu, huyo unamsikia tena
unawezapiga ngumi ukutani
Braza Maghayo kakumindJitahd kila uamkapo Asubuhi panda juu uwakojelee .
Mkojo unaofaa Ni wa Asubuhi
nimemuoa BabyCare 😘😘😘 , zao la Mamujee, zote kwa njia toka TangaOa wewee
Ni mdudu kamili anaishi humo au ni funza wanakula mbao kama chakula katika ukuaji wao?shida ya yule mdudu yuko katikati ya mbao , chukulia inchi moja toka sura ya mbao
dawa ya kawaida ikifanikiwa kupita bado haitamdhuru maana mwili wake umefunikwa na gamba gumu mithili ya sheli
ni lifunzaNi mdudu kamili anaishi humo au ni funza wanakula mbao kama chakula katika ukuaji wao?
Mimi watoto wao wapo wanatafuna kitanda changu tu hapadumuzi larva hao
usiombe uwasikie kwenye paa wanavyotafuna mbao, chozi linakutoka
mwagia Diesel au Petrol inapenya mpaka ndani
zile sauti hazikukeri kweli ?Mimi watoto wao wapo wanatafuna kitanda changu tu hapa
Kwahiyo liki mature wanapandana, wanataga Mayai na mzunguko unaendelea, wanakuwa wengi kwenye ubao na ndio makazi yao kama Swala pale Mikumi.ni lifunza
Nikikipaka sasa hiv kimeshaathirika kuna ubaya!!?zile sauti hazikukeri kweli ?
mie kitanda nilikiwahi, nikakipaka oil chafu chote, kimekunywa hasa kimekua cheusi, mbwai mbwai tu
hewaaa, na watu wengi sana hawawajui kama ni adui, wanajua ni vimende tu,Kwahiyo liki mature wanapandana, wanataga Mayai na mzunguko unaendelea, wanakuwa wengi kwenye ubao na ndio makazi yao kama Swala pale Mikumi.
petrol ndiyo itapenya kirahisi mpaka ndani, oil chafu sidhaniNikikipaka sasa hiv kimeshaathirika kuna ubaya!!?
😭😭mbao tupu ambayo iko uchi kabisa, huyo mdudu ni mtiti kufa, (maana mwili wake umefichwa na kava mithili ya shell ivi )
sasa hapo mbao imefunikwa na vitambaa 😀 kazi unayo
Kama bado ni imara, paka dawa wakifa peleka kwa fundi azibe matundu, then utaamua upige rangi au strong vanish.Nikikipaka sasa hiv kimeshaathirika kuna ubaya!!?
Hamna namna.zile sauti hazikukeri kweli ?
mie kitanda nilikiwahi, nikakipaka oil chafu chote, kimekunywa hasa kimekua cheusi, mbwai mbwai tu