dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
chumba kizima kilijaa oili chafu, nilipanda juu ya kenchi kule nikamwaga kwa hasira sana, mpaka ilivujia kwenye bodiHamna namna.
😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chumba kizima kilijaa oili chafu, nilipanda juu ya kenchi kule nikamwaga kwa hasira sana, mpaka ilivujia kwenye bodiHamna namna.
😆
Bora uliwawahi.chumba kizima kilijaa oili chafu, nilipanda juu ya kenchi kule nikamwaga kwa hasira sana, mpaka ilivujia kwenye bodi
haha waliniwahi mzee, maana walishaanza kulia ( wale dumuzi wadogo siyo wale wakubwa )Bora uliwawahi.
Unaweza jikuta inaingia gharama za kuezeka upya.
Szile sauti hazikukeri kweli ?
mie kitanda nilikiwahi, nikakipaka oil chafu chote, kimekunywa hasa kimekua cheusi, mbwai mbwai tu
Wale wapi jamani!!Acha tu mkuu.
Yaani unakaa umeshika tama huku ukiwasikiliza wanavyotafuna.
Sawa nashukuru nitajaribu hiyo.petrol.
daah wanakata stim kinyama aisee,S
Unaweza kuta uko zako sebulen unachek movie kwa raha zako ghafla unawasikia.Raha yote inakata.
Pole sana mkuu.haha waliniwahi mzee, maana walishaanza kulia ( wale dumuzi wadogo siyo wale wakubwa )
nikamwaga oil nyingi sana, nilinunua dumu za lita 20 nne nikakodi na compressor lile ya kupakia rangi magari
nikapandisha juu kule, walinitia hasara sana pumbav hao
nadhani zile mbao zilikuja tayari zina mayai yao huko zilikotokaPole sana mkuu.
Ila kama ishazibwa na magypsum wanaweza kufikia kenchi kweli?
Wasikie tu mkuu.Wale wapi jamani!!
Tumia sabuni zenye acid zile za kuoshea chooni kwenye tile zilizo fubaa... Zipo madukani. Weka kwenye chupa au kifaa kinachoweza ku spary kama unavyo spray perfume...Salaam.
Kuna wadudu wako kama funza wakubwa wanaishi kwenye mbao.Kwa kizungu wanaitwa Powderpost beetles.
Wakila kama ni kochi au kiti utaona tu unga mlaini kama powder imedondoka chini.Na pia kuna wakati unasikia sauti yao jinsi wanavyotafuna kitu cha mbao.
Hawa wadudu wananitia wazimu.Nina tufurniture twangu twa gharama nilituagiza europe wanavishambulia.
Nikisikia wanavyovitafuna hadi tuchoz tunanilenga
Watu wa fummigation wamepiga dawa ila bado wapo.
Wakuu naomba msaada wa dawa au nini nifanye wafe.
Picha hiyo ni mfano wa jins wanavyoharibu
Ipo haja ya kupiga midawa ya kutosha kabla ya kuezeka.Na zile za blandaring ziwe treated kuepuka hiz stressnadhani zile mbao zilikuja tayari zina mayai yao huko zilikotoka
na mayai yao huanguliwa mpaka miezi 6 huko,
ikumbukwe hao wadudu wanaruka, anatoka nyumba ya jirani anakuja kwako, anataga mayai.
zile treated zao siyo za kuamini hata kidogo, ni vyema ukanunua ambazo siyo treated kupunguza gharama then ukamwagia oil yako safi kabisaIpo haja ya kupiga midawa ya kutosha kabla ya kuezeka.Na zile za blandaring ziwe treated kuepuka hiz stress
Asante kwa ushaur mkuuTumia sabuni zenye acid zile za kuoshea chooni kwenye tile zilizo fubaa... Zipo madukani. Weka kwenye chupa au kifaa kinachoweza ku spary kama unavyo spray perfume...
Then spray kwenye hizo sehem.
Me nilifanya hivyo kwenye mlango ulikuwa unaliwa na mchwa.... Walipotea wote ghafla... Puliza kwa wingi Kila siku ulete majibu.
Kila nikiiona avatar yako, mie roho kwatuuu!Tumia sabuni zenye acid zile za kuoshea chooni kwenye tile zilizo fubaa... Zipo madukani. Weka kwenye chupa au kifaa kinachoweza ku spary kama unavyo spray perfume...
Then spray kwenye hizo sehem.
Me nilifanya hivyo kwenye mlango ulikuwa unaliwa na mchwa.... Walipotea wote ghafla... Puliza kwa wingi Kila siku ulete majibu.
Nikadhan wako kwangu tu kumbe tuko wengiNadhani baada ya kunguni ni huyu mwamba anayefuatia kwa kero unaweza kuvunja mali yako kwa hasira hawa wamba ni kichomi..
Nimewahi kuwasikia tu sijawahi kupigana vita yao mkuu.Nikadhan wako kwangu tu kumbe tuko wengi
fanya steaming treatment (kufukisha) , unawaua wadudu wote na mazalia yao.Hapo ndo shida ilipo.
Furniture zangu ni antique victorian so mbao kama zote halafi zina miaka mingiii kavuu.