🤣🤣🤣 wasukuma hadi muda wa kufunga hawataki mtu ufunge wao wanataka kucheza tu wanaweza wakakesha nalo aiseeInategemea na eneo unapoweka mimi nimeweka Simiyu Wasukuma wanapenda sana Mabonanza napiga hela nzuri.
Wanakesha kama siku za minada wanacheza sana na Energy drinks wanakunywa kwa wingi kwahyo kukesha nje nje.🤣🤣🤣 wasukuma hadi muda wa kufunga hawataki mtu ufunge wao wanataka kucheza tu wanaweza wakakesha nalo aisee
Changamoto zake ni Usalama kulitunza, Usimamizi wake mimi nakushauri usimamie mwenyewe.faida wameniambia 9000 capital 60. unaweza niambia changamoto zake
kwa Simulizi nilizonazo fedha imo, ila Operating Mechanism yake ongea na wachina vizuri... [emoji851]Habari wakuu,
kuna wazo moja nimepata la kuweka haya madude ya wachina kwenye moja ya frame nilionayo, nataka kuanzisha haya ma bonanza kidogo walau paweze kuchangamka maana pamedorora kweli. Kwa anayejua faida yake na hasara zake, na kama kuna changamoto tofauti na wateja pia naomba kujua.
NB: Mmoja wa vijana kaniambia kuwa zinalipa sana na mwingine kaniambia kuwa hazina faida hata kidogo, huwa zina kuwa na hasara. Hapo nipo njia panda.
Sasa kama wewe una A-B-C tafadhali naomba unipe ufafanuzi, shukran.
Fedha imo ila mashine hazipatikanishida hawaji
Nicheki mkuudah haya madude yanapesa sana we hujafikilia kwa nini mchina katoka china kaja kuzulula kijijini? nichek DM nikupe nondo
Hasara unaweza kuipata pale wakipita wahuni na vitochi wakimulika mashine inamwaga pesa zote.Habari wakuu,
kuna wazo moja nimepata la kuweka haya madude ya wachina kwenye moja ya frame nilionayo, nataka kuanzisha haya ma bonanza kidogo walau paweze kuchangamka maana pamedorora kweli. Kwa anayejua faida yake na hasara zake, na kama kuna changamoto tofauti na wateja pia naomba kujua.
NB: Mmoja wa vijana kaniambia kuwa zinalipa sana na mwingine kaniambia kuwa hazina faida hata kidogo, huwa zina kuwa na hasara. Hapo nipo njia panda.
Sasa kama wewe una A-B-C tafadhali naomba unipe ufafanuzi, shukran.