Anayejua kuhusu huyu Roboti wa Tanzania anisimulie vizuri. Naona mitandaoni amekua gumzo

Anayejua kuhusu huyu Roboti wa Tanzania anisimulie vizuri. Naona mitandaoni amekua gumzo

Robot kama robot anaweza asiwe na faida zenye mantic kubwa ila akawa ni taswira ya uwezo wa kitechnologia wa nchi husia kilipo fikia !! Hii inatoa picha ya matumizi na uwezo wa technologia ya maeneo mengine.

kama robot n mdoli wa vile nadhan umepata picha jinsi gan technologia duni iliyopo kwene idara zingine kama maji na umeme hata utendaji kazi uliopo ndo uko ivo ivo wa kuunga unga! hakuwezi kua na maajabu
labda angetengenezwa na watanzania kuonyesha kazi ya vijana wetu ni sawa tuna la kujivunia
 
Mimi leo nimeshacheka hadi basi, bora angekuwa robot wa mtaani ila sio wa kwenda kupelekwa hadi bungeni.
Hii nchi sijui tunaweza kufanya nini kwa usahihi, sanamu ya Nyerere tu ilitushinda!
Aisee angekua mtu binafsi ingekua sawa lakini si serikali ya 78B GDP
 
Kifupi si kila technologia lazima iwe ina uhusiano na maji na umeme!

Naomba nikuweke sawa hapa!!
Ingawa wameboronga lakini kila kitu kuhusianisha na mwananchi wa kijijini au wa huko nachingwea au namtumbo si sawa
Hivi kwa nini mnapenda kutudhihaki sisi wa Namtumbo(kwa mama) na Nachingwea?(kwa baba)
 
Sijavutiwa na huyu robot Eunice kama nilivyokuwa navutiwa na kile kikaragosi cha miaka ile kilichokuwa kikichezeshwa huku kikiwa na bonge la msambwanda na kikijulikana kama Joyce Wowowo.
 
Sijavutiwa na huyu robot Eunice kama nilivyokuwa navutiwa na kile kikaragosi cha miaka ile kilichokuwa kikichezeshwa huku kikiwa na bonge la msambwanda na kikijulikana kama Joyce Wowowo.
sijakiona hicho
 
Back
Top Bottom