😂😂
Jana condester bungeni alikuwa anampiga SPANA nape kuhusu roboti “
Eunice”
Nasikia tenda wamepewa vijana kutoka South Africa kutengeneza hicho kitu, na wanasema kuna operator ambaye anafanya kazi ya kujibu kwa remote maalumu. Kwa maana kwamba kazi iliyofanyika bado haina ufanisi.
Na wameishia kumuita mdoli wa Nape.
Mimi nipo hapa kuuliza kwa ndugu zangu Watanzania.
Huyu roboti anamsaidia vipi raia ambaye huduma za kijamii kama zahanati vijijini, barabara mbovu, maji na mengineyo kuyatatua?
Jamani Kaka yangu
Pascal Mayalla naomba unisaidie nijifunze kitu.najua unashinda sana bungeni.
Nisaidie faida za huyu roboti katika maendeleo ya taifa.