Anayejua kuhusu huyu Roboti wa Tanzania anisimulie vizuri. Naona mitandaoni amekua gumzo

Anayejua kuhusu huyu Roboti wa Tanzania anisimulie vizuri. Naona mitandaoni amekua gumzo

😂😂

Jana condester bungeni alikuwa anampiga SPANA nape kuhusu roboti “Eunice”

Nasikia tenda wamepewa vijana kutoka South Africa kutengeneza hicho kitu, na wanasema kuna operator ambaye anafanya kazi ya kujibu kwa remote maalumu. Kwa maana kwamba kazi iliyofanyika bado haina ufanisi.

Na wameishia kumuita mdoli wa Nape.

Mimi nipo hapa kuuliza kwa ndugu zangu Watanzania.

Huyu roboti anamsaidia vipi raia ambaye huduma za kijamii kama zahanati vijijini, barabara mbovu, maji na mengineyo kuyatatua?

Jamani Kaka yangu Pascal Mayalla naomba unisaidie nijifunze kitu.najua unashinda sana bungeni.

Nisaidie faida za huyu roboti katika maendeleo ya taifa.
Anasaidia kuwachangamsha wabunge akili na kutoa ajira kwa anaye muhudumia jibu rahisi ni matumizi mabaya ya pesa na rasilimali watu
 
Hadi mbunge mwenzake jana alimwambia wazi kwamba katupiga changa la macho ,kuna mtu alikuwa pembeni pale anafeed swali then anatoa jibu then Robot "YUNISI" anajibu ,yaani AI ya nape ni Zero kabisa , robot anaongelea tumboni hahaaaa ,robot mdomo hauchezi kabisa ,wajifunze kwa walioweza ,inatakiwa kusiwe na humani interaction ,robot ukiliuliza inatakiwa likujibu lenyewe ,kama BOT linavyojibu ukiliuliza.
Sijafuatilia ila kama ni hivyo basi hali ni tete tunaaibika huko duniani.
 
Nashukuru mkuu.

Japo nilikuwa nazungumzia vipaumbele. Kama bado kuna huduma za kijamii ni ndoto baadhi ya sehemu, Kwanini tusitangulize vipaumbele kwanza?

Ndio maana nikataka kujifunza roboti yule ana faida gani japo Tatu?
Maana serikali ipo kwa ajili ya wananchi wa Tanzania.

Ahsante kwa marekebisho.
Faida tatu ni nyingi sana,mimi nahitaji faida moja tu ya huyo robot hapo bungeni.
 
CCM matopeni tena, hela za nchi hii zinaliwa kifala sana na wahuni wachache waliohamua kushibisha matumbo yao kwa vimiradi vya kijinga kijinga.
 
Mbona wamesema ametengenezwa na vijana wa kitanzania kwa kushirikiana na wa Africa kusini?
Upo uwezekano kuna gunduzi nyingi africa ila kukosa ufualitiaji tunajikuta idea zimeporwa na badae tunakuja uziwa, hizi humanoid za kienyeji zipo, kuna ngongoti joycewowowo vibwengo chenge gadi, etc
 
Kishimba kila siku anaimba juu ya creativity tunaishia kumcheka tu, tunahitaji kutenga budget za idea creation na vijana kwa wazee wafanye presentation, watu kama dr livingstone walitumwa na vyuo kuja kufanya exploration africa.

Juzi mh kishimba alihoji kuishi kwenye nyumba ya nyasi ni umasikini? Jibu hakupata waliambulia kicheko tu
 
Kishimba kila siku anaimba juu ya creativity tunaishia kumcheka tu, tunahitaji kutenga budget za idea creation na vijana kwa wazee wafanye presentation, watu kama dr livingstone walitumwa na vyuo kuja kufanya exploration africa.

Juzi mh kishimba alihoji kuishi kwenye nyumba ya nyasi ni umasikini? Jibu hakupata waliambulia kicheko tu
ohooo
 
Upo uwezekano kuna gunduzi nyingi africa ila kukosa ufualitiaji tunajikuta idea zimeporwa na badae tunakuja uziwa, hizi humanoid za kienyeji zipo, kuna ngongoti joycewowowo vibwengo chenge gadi, etc
ni kweli kabisa
 
Back
Top Bottom