Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
606bae480c2522cc989dc4f9a43d1d08.jpg
 
sisi (wananchi) ni specimen. nchi ni prototype.

industrial engineers mmenielewa!
 
Kama serekale imeshindwa kuleta maendeleo na mabadiliko ya kiuchumi katika miaka 25 ya utawala wake Ambapo nchi hii haikuwa na wala haitakuwa na mizozo kisiasa kiuchumi.. na imeshindwa pia kutumia nafasi hiihii ya ushwari uliopo katika kipindi kingine cha miaka 25- kwa50 na zaid iliyonayo mpaka sasa imeshindwa kuifanya nchi iwe inayojitegemea bila kuwa OMBAOMBA kwa zaidi ya miaka 50na.
USHAHIDI: Si mumeona bakuli lilivyotembezwa kuomba msaada wa maafa ya wanakagera.
halafu kilichotokea si mumekionaaa??? HAKUNA MSAADA KWA WAATHIRIKA.. JIHUDUMIENI WENYEWWWW🙄🙄
SIAMINI NA SINTOAMINI KUPATA MABADILIKO KATIKA MIAKA 25 IJAYO MAANA UBONGO WA UTAWALA HUU UTAKUWA HAUFAI KWA MATUMIZI YA BINAADAM. MAANA KILA KITU KINA EXPIRE TIME.
NASHANGAA KUONA........... malizia mwenyeww😵
 
Actus ina maana kitendo au vitendo bila dhamira; Mens Rea ina maana DHAMIRA bila kitendo/vitendo. Haya ni maneno ya kilatin. je Rais wetu katika hii mizani yuko wapi? anaongoza kwa matendo au Dhamra? naomba kuwasilisha.
 
nini tofauti ya kuongoza kwa matendo na dhamira? kwa kawaida dhamira hupelekea kwenye tendo ili uweze kuitimiza hio dhamira yako, sasa mtoa mada hujaeleweka kwangu mm, labda ufafanue kidogo
 
1. Watu wanalalamika kuhusu michango ya tetemeko.
2) Watu wanalalamika kuhusu ugumu wa maisha mtaani.
3) Kuna shutuma za rushwa ya milioni kumikumi
4) Kuna wanafunzi leo wameandamana kukosa mikopo
5)Watu wanalalamika kuhusu kuminywa demokrasia
6) Kuna watu wa imani fulani wanalalamikia teuzi
7)Watu wanalalamika ajira serikalini hakuna
8)Watu wanalalamika ugumu wa mikopo benki
9)Watu wanalalamika trafiki kuwakamua kwelikweli
10) Watu wanalalamika chanjo hospitalini hakuna

Je tumekosea wapi? Na tufanye nini tuweze kusogea?
 
1. Watu wanalalamika kuhusu michango ya tetemeko.
2) Watu wanalalamika kuhusu ugumu wa maisha mtaani.
3) Kuna shutuma za rushwa ya milioni kumikumi
4) Kuna wanafunzi leo wameandamana kukosa mikopo
5)Watu wanalalamika kuhusu kuminywa demokrasia
6) Kuna watu wa imani fulani wanalalamikia teuzi
7)Watu wanalalamika ajira serikalini hakuna
8)Watu wanalalamika ugumu wa mikopo benki
9)Watu wanalalamika trafiki kuwakamua kwelikweli
10) Watu wanalalamika chanjo hospitalini hakuna

Je tumekosea wapi? Na tufanye nini tuweze kusogea?
wote hao watapiga kura 2020

ccm ijiandae kwakweli
 
Hao wanaolalamikiwa washazoea lawama
na lawama kwao sio mzigo na walijipanga kulaumiwa
hawaogopi lawama maana wanafanya ili walaumiwe
kwa kuwa lawama ameumbiwa binadamu wacha lawama ziwaendee
 
Hakuna mahali tumekosea " nji inakwenda mbere kwa mbere muniombee " anaogopa kifo huyo nabii Lema sijui leo atapewa mdhamana

Hivi kama kwenda mbele kwa mbele ndio ufanisi kwanini gari liliwekwa Reverse Gear ?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom