Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,403
- 12,775
Nafikiri anajua ila kwa mbinu anazotumia itatuchukua miaka mingi sana kufika kama safari ya Mussa kwenda Kanani.
Kwa mfano suala la elimu haliwezi kufanikiwa ikiwa utaahidi elimu ya bure bila kuwa na Quality,Equity na huku ukiwa na Poor Governance!
Mwl Nyerere aliwahi kusema "hatuwezi kuwa na rais ambaye hatujui kesho ataamka amefikiria nini au ameshauriwa nini na mke wake". Kwa wakati ule kilionekana ni kijembe kwa mzee Mwinyi lakini leo kauli yake inaonyesha maana.
Hatujui mwelekeo wa nchi kiukweli hatujui kesho atafukuzwa na nani au ziara ya rais au waziri mkuu itakuwa wapi. Hatujui kama tutaamka tunafagia barabara au tutaingia ofisini kwetu kama kawaida. Hatujui tunaanza na nini, kujenga viwanda au kuboresha miundombinu na kuimarisha kilimo ili tupate malighafi.
Hatujui tatizo la sukari kwa mfano linaondoka kwa kurekebisha viwanda vyetu na kuongeza uzalishaji wa miwa au kuruhusu sukari ya nje au tuvamie magodauni ya watu
Ukimuangalia usoni na ukasikia anachotamka unakiri ana nia kabisa ya kututoa hapa. Swali ni je? anajua jinsi ya kututoa? Anajua anakotupeleka? Nimejitahidi kuangalia bunge ili nione labda mawaziri wake wanaweza kuonyesha mwelekeo, huko nikachanganyikiwa zaidi. Mwanamtandao mmoja alisema unaweza kuwa na dereva mzuri anayefuata sheria zote za barabarani lakini hajui anaenda wapi!
na vyuo vikuu nk nk. Mtu akileta mada ya maana muijadili kwa uzito una stahili!Naona hiyo sukari ndio ajenda pekee iliyobaki ya chadema.
Mwl Nyerere aliwahi kusema "hatuwezi kuwa na rais ambaye hatujui kesho ataamka amefikiria nini au ameshauriwa nini na mke wake". Kwa wakati ule kilionekana ni kijembe kwa mzee Mwinyi lakini leo kauli yake inaonyesha maana.
Hatujui mwelekeo wa nchi kiukweli hatujui kesho atafukuzwa na nani au ziara ya rais au waziri mkuu itakuwa wapi. Hatujui kama tutaamka tunafagia barabara au tutaingia ofisini kwetu kama kawaida. Hatujui tunaanza na nini, kujenga viwanda au kuboresha miundombinu na kuimarisha kilimo ili tupate malighafi.
Hatujui tatizo la sukari kwa mfano linaondoka kwa kurekebisha viwanda vyetu na kuongeza uzalishaji wa miwa au kuruhusu sukari ya nje au tuvamie magodauni ya watu
Ukimuangalia usoni na ukasikia anachotamka unakiri ana nia kabisa ya kututoa hapa. Swali ni je? anajua jinsi ya kututoa? Anajua anakotupeleka? Nimejitahidi kuangalia bunge ili nione labda mawaziri wake wanaweza kuonyesha mwelekeo, huko nikachanganyikiwa zaidi. Mwanamtandao mmoja alisema unaweza kuwa na dereva mzuri anayefuata sheria zote za barabarani lakini hajui anaenda wapi![/QUOTE
Mimi ni miongoni mwa wanaojua anatupeleka wapi. Ili na wewe ujue ninakushauri kwanza ujue katukuta wapi.
Ameamua kusimama upande wa haki.Anayestahili haki apewe haki na mkosefu aadhibiwe.
Asiyefanya kazi halali asile ndiyo msimamo wake.Kaamua watu wenye nguvu na uwezo wa kufanya kazi wafanye kazi wasile bure,ndiyo sababu kazuwia vijana kucheza "pool table " asubuhi huku wanaendelea kula,kuvaa na kulala kwa kutegemea nguvu za wazazi wao.
Kazuwia njia za kukwepa kodi ili biashara ifanyike kwa haki na serikali itoe huduma za viwango vinavyostahili kwa raia wake bila kutegemea wajomba kama vijana wetu wa "pool table" wanavyotegemea wazazi wao daima.
Tumelalamika sana vijana hawana ajira maana tumefundishana kutegemea ajira na si kujiajiri naye kaamua kufanya jitihada za kutubadilisha kwa kututaka tufanye kazi kwa bidii na ameamua kufufua baadhi ya viwanda vyetu na kushawishi wenye uwezo waazishe viwanda vipya.
Anatuelekeza kama Taifa tuwe na ndoto ya Taifa linalojua uwezo wake,raslimali tulizonazo,tuzitumie badala ya wategemezi wa wengine.Ameamua kiume tuwe a maamuzi ya kiume na siyo kutegemea waaume wenzetu.
Yategemea lengo la mjadala ni nini. Kama ni kujua mwelekeo wa serikali iliyopo nimeeleza kiwango kidogo ninachokijua lakini kama lengo ni ushindani wa kisiasa hoja haijajibiwa hadi niujue mwelekeo wa mbadala wa CCM.
mbona unatokwa na povu, wewe ni mmojawapo nini?Jitambue ndugu hiyo haikusaidi ni ujinga tu.
sema wewe muhusika jibu ni nini? maana nakuona mapovu yanavyokutoka!Hilo ndio jibu?
Maadam dunia inazunguka jua na pia inazunguka kwenye mhimili wake, na wewe pia unazunguka na mikono yako inazunguka, hilo halikwepeki.tunaelekea katika mabadiliko ya kweli sasa ww endelea kuzungusha mikono
Mwl Nyerere aliwahi kusema "hatuwezi kuwa na rais ambaye hatujui kesho ataamka amefikiria nini au ameshauriwa nini na mke wake". Kwa wakati ule kilionekana ni kijembe kwa mzee Mwinyi lakini leo kauli yake inaonyesha maana.
Hatujui mwelekeo wa nchi kiukweli hatujui kesho atafukuzwa na nani au ziara ya rais au waziri mkuu itakuwa wapi. Hatujui kama tutaamka tunafagia barabara au tutaingia ofisini kwetu kama kawaida. Hatujui tunaanza na nini, kujenga viwanda au kuboresha miundombinu na kuimarisha kilimo ili tupate malighafi.
Hatujui tatizo la sukari kwa mfano linaondoka kwa kurekebisha viwanda vyetu na kuongeza uzalishaji wa miwa au kuruhusu sukari ya nje au tuvamie magodauni ya watu
Ukimuangalia usoni na ukasikia anachotamka unakiri ana nia kabisa ya kututoa hapa. Swali ni je? anajua jinsi ya kututoa? Anajua anakotupeleka? Nimejitahidi kuangalia bunge ili nione labda mawaziri wake wanaweza kuonyesha mwelekeo, huko nikachanganyikiwa zaidi. Mwanamtandao mmoja alisema unaweza kuwa na dereva mzuri anayefuata sheria zote za barabarani lakini hajui anaenda wapi!
Hakika unastahili kua hata mkuu wa wilaya naomba MAGUFULI AKUONE.Watanzania bado tuna safari ndefu sanaAkupeleke kwani wewe umekuwa zombie? Raisi Magufuli hayuko hapa kukupeleka wewe popote pale, bali wewe ndiyo unatakiwa ujipeleke mahali kwingine, wewe ndiyo unatakiwa ujitoe hapo ulipo na kwenda sehemu nyingine, wewe ndiyo unatakiwa ujifungue minyonyoro uliyofungwa na fisadi Lowasa, Mbowe & Co. na kuwa mtu huru Raisi Magufuli hawezi kulifanya hilo na wala siyo kazi yake!
mkuu huwezi kumjadili JPM kwa sasa wakati hata bajeti yake haijapitishwa na kuona utekelezaji wake.........tusubiri tuone aliyoyapanga kwenye bajeti yake......kikwete aliwahi kuulizwa hivi.....''unataka wananchi wakukumbuke kwa lipi katika utawalawako huu wa miaka 10??''...akajibu..''nataka wanikumbuke kuwa niliwatoa hapa na kuwapeleka pale''...kwa huyu wa sasa anatupeleka hapa....sio pale..
Tatizo vijana wengi waliomo humu hususani wale wa mavazi ya kijani uelewa wao ni mdogo sana na kubaki kushabikia hata nchi inapokwenda mrama.wamewruhusu watun wengine wafikirie kwa niaba yao. Leo hii huwezi kuzungumzia viwanda pasipo kuweka mikakati na fedha za kutosha kwa kilimo ili kupata matirial za kutosha. mathalani wanasema watafufua general tares kule arusha Jambo lakujiuliza maligafi wanazo? au mnawekeza kwenye mashine wakati mashamba ya mpira kule Kigoma yamegeuka pori la akiba.My President let be serious na kilimo kwanza tukishafanikiwa hapo viwanda vitafwatia.Hiii ndio home of great thinkers kweli? mtu ameuliza swali kwa points nzuri tu watu wanamwita mzungusha mikono, wengine nyumbu Moderator wa JamiiForums okoeni reputatio yenu kwa kuondoa watu kama hawa
Kama hujui unapokwenda...basi umeshapoteakama hujui unapokwenda... basi huwezi kupotea.
Ruhusu akili yako itumike zaidi tumeshaona budget za viwanda kilimo nk zimepitishwa lkn hatujaona hizo budget zikibeba ajenda ya kuvifufua viwanda vyetu zaidi ya maneno ya kila siku kama tuko kwenye mchakato, nitatembelea na kujionea,hilo swala limefika mezani,kuna wawekezaji wako hapa ndani nyie wateneeni tu ardhi. HIZO NDIO SERA unaona zinatoa dira ya tunapoelekea.mkuu huwezi kumjadili JPM kwa sasa wakati hata bajeti yake haijapitishwa na kuona utekelezaji wake.........tusubiri tuone aliyoyapanga kwenye bajeti yake......
Yawezekana wakawa na ushauri mzuri kwa mkuu wa kaya lkn je yuko yatari kuupokea? Au nao wamegeuka wapiga makofi na kua sehemu ya ndio mzee kama wafanyavyo mawazri wake ambao wameshindwa kabisa kumshauri raisi wetu na kua waoga hivyo kuendelea kulikosesha taifa dira.In short run, mpaka sasa kama taifa hatuna uelekeo.., hivi hawa ma Dr na prof ambao waliteuliwa kuwa makatibu wakuu , ndo ilitakiwa akili zao zitumike huko na watueleze tunaelekea wapi..!! Mi ningekuwa JPM ningewauliza hili swali kwa makatibu wakuu wa nchi..
Kwan hujanielewa sms yangu?Rais wenu hawezi kuwa na ujinga?
Inasikitisha ana kuona bado taifa letu lina vijana wanaowaza kama wewe.Jaribu kutumia sehemu ndogo sana ya ubongo wako unaweza kuja na mawazo mbadala.Tatizo na wewe hutaki kuona wala kuelewa. Kwani kushughulika na watumishi hewa ni nini? Ama kupunguza matumizi yasiyo na tija (mfano; safari, posho, matamasha, n.k..) wewe unaona ni kitu gani kwani?
Msilete hoja/mada za kishabiki humu halafu mkijibiwa kishabiki muone wanaowajibu kuwa ni punguani.
Maendeleo gani unayotaka kuyafikia bila kuchukua hatua za udhibiti, kurekebisha maadili na uwajibikaji?
Wewe mwenyewe ukiulizwa dira yako ni ipi, hata majibu huna halafu unataka serikali ije na dira?!!! Toa boriti jichoni mwako ndipo uone kibanzi kwa mwenzako.
Nakushauri ongeza juhudi kufanya kazi, lipa kodi shauri na familia yako yote ifanye hayo, jirani zako, ukoo wako nao pia kisha rudi hapa kuuliza tena hayo maswali yako.
Haha hakika!!!kama hujui unapokwenda... basi huwezi kupotea.