zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Sawa mtoa mada can be nothing to him ila haya maumivu ya watanzania iko siku atayalipia..... Kama Mungu anaishi basi atasikia kilio chetu dhidi ya huyu dikteta ila kama akibaki hadi 2025 basi siku akifa jehanamu ichochewe moto mara 50 ili ajute yote aliyoyafanya hapa dunianiUmechelewa sana kumchukia mbona alishaweka wazi hana haja ya kupendwa mke wake anampenda inatosha, alishaweka wazi hataki kua popular president so kunya boga you nothing to him
Mbowe ndiye aliyeharibu upinzani wa kweli kwa kubadili gia angani, kisha vibaraka wake kina lissu wakafuata. Ni lazima upinzani huu watanzania tuukomeshe na utokomee kama tufamyavyo sasa. 42-1, utokomee kwa njia yoyote ile kwa faida ya taifa hili.Bujibuji MBONA CCM MNANG'ANG'ANIA SANA HOJA YA MBOWE KUKAA PEMBENI? AU MMESHAONA KUWA MBOWE AKIKAA BENCH ITAKUWA RAHS KUMALIZA UPINZAN? NAWASHAURI CDM WAENDELEE KUMKUMBATIA MBOWE MANA WAMEMWONA NI IMARA MNO KULINGANISHA NA WENYEVIT KAMA MREMA, LIPUMBA, CHEYO N.K
CDM MSIPOKEE USHAURI WA CCM, MBOWE AENDELEE KUWA MWENYEKT, MPK CCM WASAGE MENO..
Msitafute chaka la kutupia laana mlizoachiwa huko mlikopita, mtazibeba wenyewe!!Sawa mtoa mada can be nothing to him ila haya maumivu ya watanzania iko siku atayalipia..... Kama Mungu anaishi basi atasikia kilio chetu dhidi ya huyu dikteta ila kama akibaki hadi 2025 basi siku akifa jehanamu ichochewe moto mara 50 ili ajute yote aliyoyafanya hapa duniani
Sijawahi kuwa na hasira kwa serikali zaidi ya awamu hii...... Sijui kwanni Tsvangirai asingebadilishana nafasi na huyu!!
unahubiri democrasia huku ukitaka kura yako moja ndo mtoe rais madarakani. kummbuka hakupigiwa kura na wote na wewe ni mmoja wao mliodanganya mtangia ikulu saa 4 asubuhi hatimae mmmebaki na maasira yenu na chuki binafs.Namchukia sana Rais John Pombe Magufuli. Sijajua watanzania tulimkosea nini muumba tukapewa adhabu hii nzito kwa miaka hii kumi(kama hataamua kung'ang'ania madarakani)
Ndani ya utawala huu, tunashuhudia nchi ikiendeshwa kwa decrees kutoka ikulu, pasipo tena kuzingatia utawala wa sheria na katiba!!! Katiba imeainisha haki kadhaa ikiwemo haki ya kufanya shughuli za kisiasa , zinazo jumuisha mikutano, maandamano na mambo mengine. Cha ajabu, katika utawala huu, siasa zimepigwa marufuku hadi kipindi cha uchaguzi, na maandamano yana adhabu ya kifo kwa kupigwa risasi, kama wauza madawa ya kulevya nchini China.
Ni utawala ambao mbali na matakwimu ya kupika, maisha ya watanzania wengi yamekua ya dhiki kuu kiuchumi kwa kuvurugwa mifumo na utawala huu wa mhe Rais.
Nakumbuka wakati anaingia madarakani, alisema anatamani watanzania waishi kama mashetani, na naona anatimiza ahadi hii kwa kasi!!!!
Binafsi, namchukia mno Rais Magufuli(naamini kumpenda au kumchukia mtu sio kosa, hivyo sitegemei moderators kufuta Uzi wangu huu)
Una uhakika kila mtu anayemkosoa ni muuza madawa na fisadi?? Ina maana mafisadi walifika million 30!!Hehehe eti umchukie Magufuli kisa mikutano si useme tu ulikuwa teja biashara kaimaliza katika uchunguzi wangu watu wanaoongoza kumchukia Magufuli hasa vijana ni wale wauza ngada.
Takwimu zinaonesha ngada iliajiri zaidi ya watu elfu 20 Tanzania tu ambao walikua wanakula bata Ile mbaya sasa hivi hata mavi ya bata hawayaoni. Sasa utampendaje? Haya mambo ya siasa sijui mikutano ni kachumbari tu ila kiini cha chuki ni tofauti.
Wachaga Wamekufanya nini wewe popoma?We ni nani? Katika watanzania 44million tukiondoa baadhi ya Wachaga?
Mae-nae bado polepole anakazi kuelimisha vichwa panziHaki aliyonayo yeye ya kuchukia ndio haki hiyo hiyo niliyonayo mimi ya kusema nilichomwambia, mae aniambie atakacho kuhusu mimi.
Namchukia sana Rais John Pombe Magufuli. Sijajua watanzania tulimkosea nini muumba tukapewa adhabu hii nzito kwa miaka hii kumi(kama hataamua kung'ang'ania madarakani)
Ndani ya utawala huu, tunashuhudia nchi ikiendeshwa kwa decrees kutoka ikulu, pasipo tena kuzingatia utawala wa sheria na katiba!!! Katiba imeainisha haki kadhaa ikiwemo haki ya kufanya shughuli za kisiasa , zinazo jumuisha mikutano, maandamano na mambo mengine. Cha ajabu, katika utawala huu, siasa zimepigwa marufuku hadi kipindi cha uchaguzi, na maandamano yana adhabu ya kifo kwa kupigwa risasi, kama wauza madawa ya kulevya nchini China.
Ni utawala ambao mbali na matakwimu ya kupika, maisha ya watanzania wengi yamekua ya dhiki kuu kiuchumi kwa kuvurugwa mifumo na utawala huu wa mhe Rais.
Nakumbuka wakati anaingia madarakani, alisema anatamani watanzania waishi kama mashetani, na naona anatimiza ahadi hii kwa kasi!!!!
Binafsi, namchukia mno Rais Magufuli(naamini kumpenda au kumchukia mtu sio kosa, hivyo sitegemei moderators kufuta Uzi wangu huu)
Nachojua hatoishi milele...... nafurahi pia kujua hatowahi kanyaga mbinguni na mahirizi yakeMsitafute chaka la kutupia laana mlizoachiwa huko mlikopita, mtazibeba wenyewe!!
Nafikiri upinzani unahitaji kiongozi ambaye ni "militant" zaidi. Nafikiri Mbowe amekaa kwenye nafasi hiyo kwa muda mrefu na kufanya kazi nzuri sana lakini kwa mazingira ya sasa ya kisiasa, yeye na katibu mkuu Mashinji, wanahitaji kustep down (NOT out) au wapate msaanda mkubwa wa kimkakati.Pendekeza nini kifanyike? Mbowe angelifanya/ afanye nini sasa, leo au kesho with immeadiate effect!
Ndo mashabiki wa ChadomoWachaga Wamekufanya nini wewe popoma?
Wewe Mchawi MKUU, umesharoga wangapi?.Pole!! Kuna kitu naweza semaa!! Kitatimia but naogopa.....
Ref:ID yangu
Soma ID yake.We ni nani? Katika watanzania 44million tukiondoa baadhi ya Wachaga?
Hehehe Peleka unafiki huko dua la kuku hilo utakaa sana.Sawa mtoa mada can be nothing to him ila haya maumivu ya watanzania iko siku atayalipia..... Kama Mungu anaishi basi atasikia kilio chetu dhidi ya huyu dikteta ila kama akibaki hadi 2025 basi siku akifa jehanamu ichochewe moto mara 50 ili ajute yote aliyoyafanya hapa duniani
Sijawahi kuwa na hasira kwa serikali zaidi ya awamu hii...... Sijui kwanni Tsvangirai asingebadilishana nafasi na huyu!!