Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Umechelewa sana kumchukia mbona alishaweka wazi hana haja ya kupendwa mke wake anampenda inatosha, alishaweka wazi hataki kua popular president so kunya boga you nothing to him
Sawa mtoa mada can be nothing to him ila haya maumivu ya watanzania iko siku atayalipia..... Kama Mungu anaishi basi atasikia kilio chetu dhidi ya huyu dikteta ila kama akibaki hadi 2025 basi siku akifa jehanamu ichochewe moto mara 50 ili ajute yote aliyoyafanya hapa duniani

Sijawahi kuwa na hasira kwa serikali zaidi ya awamu hii...... Sijui kwanni Tsvangirai asingebadilishana nafasi na huyu!!
 
Bujibuji MBONA CCM MNANG'ANG'ANIA SANA HOJA YA MBOWE KUKAA PEMBENI? AU MMESHAONA KUWA MBOWE AKIKAA BENCH ITAKUWA RAHS KUMALIZA UPINZAN? NAWASHAURI CDM WAENDELEE KUMKUMBATIA MBOWE MANA WAMEMWONA NI IMARA MNO KULINGANISHA NA WENYEVIT KAMA MREMA, LIPUMBA, CHEYO N.K

CDM MSIPOKEE USHAURI WA CCM, MBOWE AENDELEE KUWA MWENYEKT, MPK CCM WASAGE MENO..
Mbowe ndiye aliyeharibu upinzani wa kweli kwa kubadili gia angani, kisha vibaraka wake kina lissu wakafuata. Ni lazima upinzani huu watanzania tuukomeshe na utokomee kama tufamyavyo sasa. 42-1, utokomee kwa njia yoyote ile kwa faida ya taifa hili.
 
Sawa mtoa mada can be nothing to him ila haya maumivu ya watanzania iko siku atayalipia..... Kama Mungu anaishi basi atasikia kilio chetu dhidi ya huyu dikteta ila kama akibaki hadi 2025 basi siku akifa jehanamu ichochewe moto mara 50 ili ajute yote aliyoyafanya hapa duniani

Sijawahi kuwa na hasira kwa serikali zaidi ya awamu hii...... Sijui kwanni Tsvangirai asingebadilishana nafasi na huyu!!
Msitafute chaka la kutupia laana mlizoachiwa huko mlikopita, mtazibeba wenyewe!!
 
Namchukia sana Rais John Pombe Magufuli. Sijajua watanzania tulimkosea nini muumba tukapewa adhabu hii nzito kwa miaka hii kumi(kama hataamua kung'ang'ania madarakani)

Ndani ya utawala huu, tunashuhudia nchi ikiendeshwa kwa decrees kutoka ikulu, pasipo tena kuzingatia utawala wa sheria na katiba!!! Katiba imeainisha haki kadhaa ikiwemo haki ya kufanya shughuli za kisiasa , zinazo jumuisha mikutano, maandamano na mambo mengine. Cha ajabu, katika utawala huu, siasa zimepigwa marufuku hadi kipindi cha uchaguzi, na maandamano yana adhabu ya kifo kwa kupigwa risasi, kama wauza madawa ya kulevya nchini China.

Ni utawala ambao mbali na matakwimu ya kupika, maisha ya watanzania wengi yamekua ya dhiki kuu kiuchumi kwa kuvurugwa mifumo na utawala huu wa mhe Rais.

Nakumbuka wakati anaingia madarakani, alisema anatamani watanzania waishi kama mashetani, na naona anatimiza ahadi hii kwa kasi!!!!

Binafsi, namchukia mno Rais Magufuli(naamini kumpenda au kumchukia mtu sio kosa, hivyo sitegemei moderators kufuta Uzi wangu huu)
unahubiri democrasia huku ukitaka kura yako moja ndo mtoe rais madarakani. kummbuka hakupigiwa kura na wote na wewe ni mmoja wao mliodanganya mtangia ikulu saa 4 asubuhi hatimae mmmebaki na maasira yenu na chuki binafs.
pole sana kali la kinyumbu
 
Hehehe eti umchukie Magufuli kisa mikutano si useme tu ulikuwa teja biashara kaimaliza katika uchunguzi wangu watu wanaoongoza kumchukia Magufuli hasa vijana ni wale wauza ngada.

Takwimu zinaonesha ngada iliajiri zaidi ya watu elfu 20 Tanzania tu ambao walikua wanakula bata Ile mbaya sasa hivi hata mavi ya bata hawayaoni. Sasa utampendaje? Haya mambo ya siasa sijui mikutano ni kachumbari tu ila kiini cha chuki ni tofauti.
Una uhakika kila mtu anayemkosoa ni muuza madawa na fisadi?? Ina maana mafisadi walifika million 30!!

List ya madawa ya kulevya mliyotoa kwa takwimu zilizopo hakuna hata mmoja aliyehukumiwa kifungo 80% kesi zao zilifutwa sasa wauza madawa gani unaowaongelea kwamba wameshughulikiwa??? Mbowe gwajima au idd azzan!!

Shame
 
Hauko peke yako dada
Namchukia sana Rais John Pombe Magufuli. Sijajua watanzania tulimkosea nini muumba tukapewa adhabu hii nzito kwa miaka hii kumi(kama hataamua kung'ang'ania madarakani)

Ndani ya utawala huu, tunashuhudia nchi ikiendeshwa kwa decrees kutoka ikulu, pasipo tena kuzingatia utawala wa sheria na katiba!!! Katiba imeainisha haki kadhaa ikiwemo haki ya kufanya shughuli za kisiasa , zinazo jumuisha mikutano, maandamano na mambo mengine. Cha ajabu, katika utawala huu, siasa zimepigwa marufuku hadi kipindi cha uchaguzi, na maandamano yana adhabu ya kifo kwa kupigwa risasi, kama wauza madawa ya kulevya nchini China.

Ni utawala ambao mbali na matakwimu ya kupika, maisha ya watanzania wengi yamekua ya dhiki kuu kiuchumi kwa kuvurugwa mifumo na utawala huu wa mhe Rais.

Nakumbuka wakati anaingia madarakani, alisema anatamani watanzania waishi kama mashetani, na naona anatimiza ahadi hii kwa kasi!!!!

Binafsi, namchukia mno Rais Magufuli(naamini kumpenda au kumchukia mtu sio kosa, hivyo sitegemei moderators kufuta Uzi wangu huu)
 
Binafsi mtu akishakua CCM automatically tu nikimwona napata kichefu chefu.
Siwapendi CCM kutoka moyoni.
 
Pendekeza nini kifanyike? Mbowe angelifanya/ afanye nini sasa, leo au kesho with immeadiate effect!
Nafikiri upinzani unahitaji kiongozi ambaye ni "militant" zaidi. Nafikiri Mbowe amekaa kwenye nafasi hiyo kwa muda mrefu na kufanya kazi nzuri sana lakini kwa mazingira ya sasa ya kisiasa, yeye na katibu mkuu Mashinji, wanahitaji kustep down (NOT out) au wapate msaanda mkubwa wa kimkakati.

Chadema, inahitaji intervention ya umma wa watanzania na ili kuhamasisha umma huo inahitaji kiwango kikubwa cha "Lobbying" na relevant international cooperation or affiliation, itakayosaidia kuongeza pressure kwa regime hii mpaka play ground iwe level vizuri.

Agenda ya Chadema/ukawa inapasa kuwa katiba mpya na au mabadiliko mwakubwa katika sheria ya uchaguzi na kuhakikisha NEC inakuwa huru kweli kweli. Chadema/ ukawa inahitaji, sasa kuliko wakati mwingine wowote, msaada wa jumuia ya kimataifa.
 
Nimefanya kautafiti kadogo nimebaini kuwa watu walio wengi wanatamani ile ndoto ya Lema ingetimia.
 
Mimi na waza sector ya tourism mpaka nimechoka tax 4000 kwa kila mwaka naalisema atapunguza sasa kaua bendii.
 
Mimi na waza sector ya tourism mpaka nimechoka tax 4000 kwa kila mwaka naalisema atapunguza sasa kaua bendii.
 
Sawa mtoa mada can be nothing to him ila haya maumivu ya watanzania iko siku atayalipia..... Kama Mungu anaishi basi atasikia kilio chetu dhidi ya huyu dikteta ila kama akibaki hadi 2025 basi siku akifa jehanamu ichochewe moto mara 50 ili ajute yote aliyoyafanya hapa duniani

Sijawahi kuwa na hasira kwa serikali zaidi ya awamu hii...... Sijui kwanni Tsvangirai asingebadilishana nafasi na huyu!!
Hehehe Peleka unafiki huko dua la kuku hilo utakaa sana.

Hivi Magufuli kufikia hapa? Mbona watu mnasahau sana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom