Mbali na chuki zake kwa watanzania pia ni muongo sana huwezi kujua Tanzania ina samaki wangapi.Anabeba kila kitu ktk Roho yake kama Nyavu za kokoro ,ndio sababu hafanikiwi kwa kujiongezea Maadui kila kona.
Kafanyaje
Mbali na chuki zake kwa watanzania pia ni muongo huwezi kujua Tanzania ina samaki wangapi.
Hapa mimi napita kimyaaaa.
Mimi nilikuwa ccm trust me unarogwa ili ushangilie kila kitu hata vitu vya kijinga kabisa unashangiliaNa kuna Watu wanampigia Makofi na kumpongeza kwa ufuatiliaji mzuri wa Raslimali 😎
Mimi ninakuelewa sana mateMimi nilikuwa ccm trust me unarogwa ili ushangilie kila kitu hata vitu vya kijinga kabisa unashangilia
Anyway ni chama cha kichawi.
Kama LISU anajua idadi ya MASHOGA inakuwaje ngumu kujua idadi ya samaki!Mbali na chuki zake kwa watanzania pia ni muongo huwezi kujua Tanzania ina samaki wangapi.
Kuliko huyu na ndugu yake Iddi amini kamongo za victoria wamezila mpaka wamefanana nazoAngalau Mobutu na Jean Bedel Bokassa walikuwa na sura za kuvutia.
Basi mtakuwa mateka wa shetani!Mkuu wewe ulikuwa bado unamwombea?Mimi na mke wangu hatujawahi kumwombe na hatuta mwombea. Hatuwezi kumwagilia maji kisiki.
Mkuu wewe ulikuwa bado unamwombea?Mimi na mke wangu hatujawahi kumwombe na hatuta mwombea. Hatuwezi kumwagilia maji kisiki.
Boss samahani, maombi ni siri ya rohoni, usimsemee mtu na nafsi yake Ata kama ni mkeo. Siri yake Ni zaidi ya kupiga kura.Mkuu wewe ulikuwa bado unamwombea?Mimi na mke wangu hatujawahi kumwombe na hatuta mwombea. Hatuwezi kumwagilia maji kisiki.
Wewe tokea leo asubuhi na mashoga tu au unatutangazia biashara kiaina nini.Kama LISU anajua idadi ya MASHOGA inakuwaje ngumu kujua idadi ya samaki!
Ilishatangazwa siku nyingi huko ubelgiji kwenye jumba la shetani!Wewe tokea leo asubuhi na mashoga tu au unatungazia biashara kiaina nini.
Umekosa hoja huoni wenzako wamelala mbele.Ilishatangazwa siku nyingi huko ubelgiji kwenye jumba la shetani!
Unaweza kuta kwenye maombi anamwombea mchepuko!Boss samahani, maombi ni siri ya rohoni, usimsemee mtu na nafsi yake Ata kama ni mkeo. Siri yake Ni zaidi ya kupiga kura.
Ss mbona hamuelezi makosa yake. Yeye sio mkamilifu hata ww ulie post ukipewa hii nchi lazima watu watalalamika. Tuangalie aliyoyafanya ulinganishe na mabaya yake na utazame changamoto ya hii nchi