Serikali ya Magufuli ilianza vizuri kwa kufuatilia rushwa, kurekebisha sheria mbaya na kuchagua watu wapya lakini sasa imeanza kufanya vitu vya kitoto. Polisi na Jeshi wakati huu wa kubana matumizi wanapoteza muda kukimbizana na viongozi wa upinzani na kutafuta wapinzani kwenye kumbi hadi za hotel, kesi zinapelekwa mahakamani kwasababu ya kumtukana raisi kwenye whatapp au facebook, maanadamano na mikutano kupigwa marufuku kwa sababu za kitoto ambazo huwezi kumdanganya hata mtoto wa darasa la saba. Raisi amekuwa na waongeaji kila kona kuanzia wakuu wa mkoa, polisi ... bila kufuata sheria yeyeote. Hii imeshusha uimara na muonekano wa Magufuli kwa wananchi wengi sana kuliko wanavyo fikiria. Hata mimi nilikuwa namuona Magufuli na jitihadi ni nzuri sasa najiuliza kama Magufuli ana busara! nasikitika sana