Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina maana alitudanganya ili apate kura. Ndio maana alisema mengine ila anaanza na mengine.Mbona kampeni hakuombea kura hayo
mkuu asili moja unamaanisha ninSishangai huyo jamaa na Kagame asili yao ni mmoja. Kwa hiyo anajaribu kumuiga dikteta mwenzake. Ila asisahau mwenzake ni mwanajeshi.
Does it hurt you?! you must be having inner problems that you need to deal with. Sorry!well you can reserve the correction to yourself, with all due respect that is.......
Angalau tangu apate muujiza wa kushikan mkono na Lowassa naona kapunguza kutoa matamko,maana ilikua kwa siku anatoa matamko zaidi ya matatu...His exllency head of state, mwacheni kwanza ana mambo mengi ya kufanya, wanafunzi wamamsumbua mikopo, ajira bado anakuna kichwa, watumishi hewa bado wanamuumiza kichwa, UKUTA ndo huo umeshajengwa bado kuzinduliwa ,Kwa hiyo embu muachen kidogo tafadhal
Angalau tangu apate muujiza wa kushikan mkono na Lowassa naona kapunguza kutoa matamko,maana ilikua kwa siku anatoa matamko zaidi ya matatu...His exllency head of state, mwacheni kwanza ana mambo mengi ya kufanya, wanafunzi wamamsumbua mikopo, ajira bado anakuna kichwa, watumishi hewa bado wanamuumiza kichwa, UKUTA ndo huo umeshajengwa bado kuzinduliwa ,Kwa hiyo embu muachen kidogo tafadhal
HUO NI UNAFIKI TANGU AMALIZE ZIARA YAKE HAKUNA TAMKO LOLOTE ALILOLITOA HUU NI NDIO UNAFIKI/UZABZABINA "...maana ilikua kwa siku anatoa matamko zaidi ya matatu..."Angalau tangu apate muujiza wa kushikan mkono na Lowassa naona kapunguza kutoa matamko,maana ilikua kwa siku anatoa matamko zaidi ya matatu...
Jibu hoja acha maneno ya kanga dadaWEWE UNAIPELEKA WAPI FAMILIA YAKO? MH. RAISI AMEINGILIA NINI KATIKA SHUGULI ZAKO ZA KILA SIKU? ACHA UVIVU NA KULALAMIKA KAMA MWANAMKE FANYA KAZI USTAWISHE FAMILIA YAKO ACHA KUTAFUTA SABABU WEWEEEE!
Katika hayo sijaona kuhamia Dodoma wa kupiga marufuku siasa. Msaada pleaseKuna thread humu inaelezea ahadi za Magufuli nenda kaisome....
Halafu kuna Ilani ya CCM nenda kaisome pia.
Halafu rudi hapa uje kutuuliza ambacho hujakielewa..
USHANIELEWA NDIOMANA UMEKOSA CHAKUJIBU!Jibu hoja acha maneno ya kanga dada
WATANZANIA HANGAIKENI NA MAENDELEO YA FAMILIA ZENU SIASA, KUHAMIA DODOMA WEWE VINAKUHUSU NINI?Katika hayo sijaona kuhamia Dodoma wa kupiga marufuku siasa. Msaada please
His exllency head of state, mwacheni kwanza ana mambo mengi ya kufanya, wanafunzi wamamsumbua mikopo, ajira bado anakuna kichwa, watumishi hewa bado wanamuumiza kichwa, UKUTA ndo huo umeshajengwa bado kuzinduliwa ,Kwa hiyo embu muachen kidogo tafadhal
Huna cha kujibiwa,ndio maana nimekuambia acha maneno ya kanga jibu hojaUSHANIELEWA NDIOMANA UMEKOSA CHAKUJIBU!