Ciprofloxacin.
JF-Expert Member
- Apr 15, 2015
- 1,583
- 2,702
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu, ni lazima tumwambie ukweli Rais wetu hata kama hataki kuusikia.
Haiwezekani tuwe watu wa kusifia tu kila jambo hata kama halina mantiki.
Rais wetu tangu aingie madarakani maisha yamekuwa magumu kupindukia,na bado kila kukicha yanakuwa magumu halafu eti tumsifie kwa lipi?
Sera yake ilikuwa kuua upinzani na siyo kujenga uchumi,hata sisi wauza nyanya tunaitwa wapiga dili,yaani kila anayeteseka na maisha akilalamika ni mpiga dili.
2020 Tumkatae kwenye sanduku la kura.
Hatupo tayari kuendelea na mateso haya.
Haiwezekani tuwe watu wa kusifia tu kila jambo hata kama halina mantiki.
Rais wetu tangu aingie madarakani maisha yamekuwa magumu kupindukia,na bado kila kukicha yanakuwa magumu halafu eti tumsifie kwa lipi?
Sera yake ilikuwa kuua upinzani na siyo kujenga uchumi,hata sisi wauza nyanya tunaitwa wapiga dili,yaani kila anayeteseka na maisha akilalamika ni mpiga dili.
2020 Tumkatae kwenye sanduku la kura.
Hatupo tayari kuendelea na mateso haya.