Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Ingelikuwa zama za Magufuli, Kalemani angekaa kimya tangia ili sakata limeanza?kuna better way ya kuongoza nchi. si lazima style ya ayati.
mfumo wake ulikuwa una mazuri yes but ulikuwa unaacha damage kubwa behind.
watanzania sio punda. punda style sio solution kwa kila kitu
Nyie ndio mnampoteza mama....Yaani kuwa watu humu walidhani Rais wa awamu ya sita ataleta mabadiliko ya ghafla kama ilivyokuwa kifo cha mwendazake. Mleta mada na wote wanaokuunga mkono ni vema mkajua kuwa Rais hatakidhi matamanio ya wote na kwa sasa hajzkidhi matamanio yenu. Hakuna kiongozi makini anayeweza kukidhi matamanio ya wote.
Kuna busara katika kuwa watulivu na wavumilivu wakati Mama anapoweka mambo sawa hata kama si kwa kasi tuipendayo.
Nchi hii ni yetu sote.
Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app
Jiwe ameharibu akili za wapuuzi wengi kila kitu Rais atoe tamko.Kwanini Rais Samia ahangaike na TANESCO wakati waziri yupo? Nini maana ya kuwa na wasaidizi sasa?
Thanks Mr. Geniusvery low thinking capacity
Mama lazima atupiwe lawama, yeye ndie mkuu wa nchi, awawajibishe ambao wana mamlaka na wameshindwa simamia shirika mpaka sasa, kwa nini hao watu hawapo na pia hata kama hawapo mbona kabla yake mambo yalikua freshi..Mnamtupia mama lawana kila kitu hilo shirika halina manager, hamna waziri anayesimamia hilo shirika, hamna katibu mkuu, acheni upopoma!
Mama tunaandamana apewe 5 tena! Ukijickia kichefu chefu ndimu itakusaidia
Unakurupuka, Waziri ameshatoa tamko na hatua zimechukuliwaIngelikuwa zama za Magufuli Kalemani angekaa kimya tangia ili sakata limeanza?
Au Mwinyi ndio angekuwa raisi wa bara angevumilia ili, swala lishakua tatizo sugu kiongozi kama aoni vile.
Uongozi huu wa kutofuatilia mambo na kuwaachia too much freedom ya kwenye utendaji ndio iliomfanya JK aonekane ovyo, ilhali he had good intentions.
Tunarudi kule kule tulipokukataa hadi CCM ikaona ilete mtu kama Magufuli huu mwanzo tu.
Ipe muda ipo siku akili zako zitakaa sawa tu utaelewa uongozi sio lelemama maslahi yako yataguswa tu kwa namna moja au nyingine ndio utazinduka.Hebu tuondolee upumbavu wako! Madudu yote haya ya kesi 147 za kubambikiwa na watu kuporwa mabilioni yao na huyo jambazi Sabaya huyaoni? Au umeamua kujitoa ufahamu kuhusu yule dhalimu na dikteta magufuli!?
Kila zama na kitabu chake. Uongozi wa mwalimu Nyerere haukuwa sawa na wa mzee Mwinyi.Nyie ndio mnampoteza mama....
ilitakiwa aendelee kwa speed pale alipoishia Magufuli....
You have just been 'insulted' and you are thankful, what a humble man...Thanks Mr. Genius
Tena atakomaakichelewa lubadilisha wataendele ku rig mpaka aone nchi chungu. futa wote.
Kama umekerwa jinyongehuyo mama yupo hapo kikatiba tu ila amna kitu
Mama ni MUOGA sana anakiogopa kiti chake angalia issue ya Biswalo.
Yes mkuu. Rais ana deal na waziri na sio DG wa TANESCOHawa "gang" walizoea MICROMANAGEMENT ya Jiwe badala ya Rais kusimamia kila kitu wasaidizi wake wanatakiwa wawajibike!! Kwa Mfano kumlaumu Rais kuhusu mambo ya LUKU ni ujinga usio kifani; kwani Waziri wa Nishati Kalemani ameteuliwa kufanya nini? Yeye moja kwa moja ndio anatakiwa kuwajibika akishindwa anaondolewe. Hapo mama Ndio anapotakiwa kuwa mkali kwa wale wanaoshindwa kuwajibika.
Wafuasi wa magufuli wana shida sana. Walishazoea kuona kila kitu kinafnywa na mtu mmoja tu. Yaani uzembe wa watu wachache, mpaka Rais atolee tamko!Kwanini Rais Samia ahangaike na TANESCO wakati waziri yupo? Nini maana ya kuwa na wasaidizi sasa?
Kama atakua na mentality ya kucheka cheka na kuonea huruma watampoteza na atachukiwa na wananchi. Kashika rungu ila anacheka cheka tu. sipendi sana viongozi dhaifu...Samia Suluhu anafanyiwa Zengwe na hao Die hard Tagaz dawa ni apige chini Wachawi wote apange safu ya watu wapole wenye kupiga kazi kimyakimya bila kutafuta sifa kwa wananchi kwasababu ni wajibu wao
Kwani nchi hii haina waziri wa nishati? Hiyo wizara haina katibu mkuu?Haiwezekani, nchi inafikia hatua ya kupanga foleni kununua LUKU mkuu wa nchi upo kimya tu huna uamzi wwte unaotoa,
ilianza TRA imefata LUKU what next?
mweshmiwa unachotakiwa ujue ni kua hii nchi imejaa watu wenye viburi sana na wameshika nyadhifa kwaiyo ukiendeleza lugha za kilembo imekula kwako, minne itakutosha
nimeboeka[emoji57]
Waziri ndio huyo eti kasimamisha mtu siku 10 yaan huyu ni muhujumu namba moja watu wamefanya uzembe halafu unamsimamisha siku 10 sijawahi ona hii kituKwanini Rais Samia ahangaike na TANESCO wakati waziri yupo? Nini maana ya kuwa na wasaidizi sasa?
Dunia hii tunapita tu mkuu, hivyo sioni umuhimu wa kubishana bishana kwa minor issues kama za huyo jamaa hapo juu.You have just been 'insulted' and you are thankful, what a humble man...
Kwanini unapenda kutukana wenzio wanaotoa maoni yao unaita pumbavu....!!?Hebu tuondolee upumbavu wako! Madudu yote haya ya kesi 147 za kubambikiwa na watu kuporwa mabilioni yao na huyo jambazi Sabaya huyaoni? Au umeamua kujitoa ufahamu kuhusu yule dhalimu na dikteta magufuli!?
Who is magufuli? Kila rais na style yake ya uongozi. Na hata huyo magu wako hakufwata style ya jk na hamna aliye lalamika.Nyie ndio mnampoteza mama....
ilitakiwa aendelee kwa speed pale alipoishia Magufuli....