Keshakufa, hatorudi hata mfungue nyzi 1000. Kubalini kuwa Rais ni SSH. Weka ushahidi wa uwepo wa wizi na ujambazi just as from March. IGP ni yule yule, Wizara ya ndani ni ile ile unamlalamikia nani sasa'?Sasa kama wao walikomesha hali hiyo kwa nini asishirikiane nao ili kukoma kwa hali ile iendelee?
...swali bado lile lile kwa nini asishirikiane nao kukomesha hali hiyo?!Awamu iliyopita awamu ya tano walikuwepo kama Watu wasiojulikana,leo sukuma gang hawamtaki mama kwa namna yoyote ile hivyo figisu figisu ni nyingi.
Povu!Keshakufa, hatorudi hata mfungue nyzi 1000. Kubalini kuwa Rais ni SSH. Weka ushahidi wa uwepo wa wizi na ujambazi just as from March. IGP ni yule yule, Wizara ya ndani ni ile ile unamlalamikia nani sasa'?
IGP ni yule yule,Mkuu wa usalama wa taifa ni yule na vyombo vya ulinzi na usalama ni vile vile waulize hao au Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi na Bunge la Job Ndugai....swali bado lile lile kwa nini asishirikiane nao kukomesha hali hiyo?!
Watu mmejisahau sana, hizo silaha mnatakiwa muwataje wanapozitoa, wajuzeni polisi haya mambo.Hizo ghasia na matukio ya aina hiyo ni wazi yalibaki historia kwa kipindi cha miaka 5 iliyopita.
Ajabu kwa muda mfupi kuanzia mwezi wa tatu mwaka huu mambo hayo mabaya yameanza kurejea/kurejeshwa tena.
Sasa ni lipi tatizo ama mapungufu ya mamlaka zinazo husika hadi uharamia huo urejee kwa kasi ya ajabu namna ile?!
...unamaanisha hao wote ni Sukuma gang,siyo?!IGP ni yule yule,Mkuu wa usalama wa taifa ni yule na vyombo vya ulinzi na usalama ni vile vile waulize hao au Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi na Bunge la Job Ndugai.
HAMNA cha ajabu, katika nchi ya demokrasia, inayo fuata rule of law na haki za binadamu - lazima majambazi, waporaji, wauza dawa za kulevya, watumiaji dawa za kulevya, mimba za utotoni na kurudi shuleni baada ya kujifungua na udhalimu wa kila aina lazima uwepo. Pia na migomo kila kukicha.Hizo ghasia na matukio ya aina hiyo ni wazi yalibaki historia kwa kipindi cha miaka 5 iliyopita.
Ajabu kwa muda mfupi kuanzia mwezi wa tatu mwaka huu mambo hayo mabaya yameanza kurejea/kurejeshwa tena.
Sasa ni lipi tatizo ama mapungufu ya mamlaka zinazo husika hadi uharamia huo urejee kwa kasi ya ajabu namna ile?!
Hii inatia wasi wasi kidogo, kinacho shangaza mbona IGP bado ni yule yule kwa zaidi ya miaka mitatu na matukio haya yalikuwa yamebaki ni historia - now a million dollar question to Ministry of home affairs is: why a U-turn all of a sudden?? Are they trying Madam President's patience or something.Hizo ghasia na matukio ya aina hiyo ni wazi yalibaki historia kwa kipindi cha miaka 5 iliyopita.
Ajabu kwa muda mfupi kuanzia mwezi wa tatu mwaka huu mambo hayo mabaya yameanza kurejea/kurejeshwa tena.
Sasa ni lipi tatizo ama mapungufu ya mamlaka zinazo husika hadi uharamia huo urejee kwa kasi ya ajabu namna ile?!
Awamu ya tano hata corona haikuwepo Tanzania lakini dunia nzima ilikuwepoUharamia haufichiki hoja yako ni mfu ndg.
Rejea mauaji ya Rufiji.
...Kwamba, Samia,CDF,IGP,DGIS na wengine wote waliokuwa wateule wa Magufuli ni timu Sukuma gang siyo?!SUKUMA GANG, yes
Hata humu JF nako hatukua huru?Hakuna ujambazi ulio ongezeka.tofauti ni kwamba miaka mitano nyuma vyombo vya habari havikuwa huru kuripoti..na sasa vipo huru .mwendazake alikuwa raisi wa hivyo kabisa
Subiri ya kukute boys wee,unaleta utani ktk city seriousKeshakufa, hatorudi hata mfungue nyzi 1000. Kubalini kuwa Rais ni SSH. Weka ushahidi wa uwepo wa wizi na ujambazi just as from March. IGP ni yule yule, Wizara ya ndani ni ile ile unamlalamikia nani sasa'?
Mkuu watanzania hatujazaliwa leo tuna akili timamu za kubaini usanii/maigizo - ni hivi ukitaka kutuletea tena adithi za kutunga next time jipange vizuri, safari hii umenoa kweli kweli mkuu.Jana nilikua maeneo flani sokoni hapa Morogoro, ghafla kinamama wafanya biashara wakaanza kukimbia na mboga mboga zao vichwani. Kumbe kuna migambo basi ikawa tafrani pale migambo kuchukua vibeseni vya samaki, viazi ulaya karoti wanapeleka kwenye gari lao nikasema tusharudi kuleeeee. mzanzibari ni dhaifu sana
UNANIWEKEA MANENO MDOMONI,....Kwamba, Samia,CDF,IGP,DGIS na wengine wote waliokuwa wateule wa Magufuli ni timu Sukuma gang siyo?!