Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Mheshimiwa rais kwa upole nikuambie nchi imekushinda


Tanzania imekushinda, vitu vinapanda bei kwa amri yako

Tozo ni baraka zako

Vyakula vimepanda bei


Bado maluku naskia unapandisha

Hapo bado gasi zinapanda bei


Yaani mheshimiwa sikutarajia ungebadilika hivi....mheshimiwa utafanya watu wammis mwendazake wallah


Mama kiukweli umechemsha nchi imekushinda watanzania tumeshakuchoka


Samia must go.......
Aaaagh we una mavi kweli!
 
Museveni na Idd Amin hawajapishana sana... yote makatili ya roho za watu
Mheshimiwa rais kwa upole nikuambie nchi imekushinda


Tanzania imekushinda, vitu vinapanda bei kwa amri yako

Tozo ni baraka zako

Vyakula vimepanda bei


Bado maluku naskia unapandisha

Hapo bado gasi zinapanda bei


Yaani mheshimiwa sikutarajia ungebadilika hivi....mheshimiwa utafanya watu wammis mwendazake wallah


Mama kiukweli umechemsha nchi imekushinda watanzania tumeshakuchoka


Samia must go.......
 
Mheshimiwa rais kwa upole nikuambie nchi imekushinda


Tanzania imekushinda, vitu vinapanda bei kwa amri yako

Tozo ni baraka zako

Vyakula vimepanda bei


Bado maluku naskia unapandisha

Hapo bado gasi zinapanda bei


Yaani mheshimiwa sikutarajia ungebadilika hivi....mheshimiwa utafanya watu wammis mwendazake wallah


Mama kiukweli umechemsha nchi imekushinda watanzania tumeshakuchoka


Samia must go.......
kwa hiyo
mdude alikuwa sahihi?
samia must go,

like mwendazake-
 
Mheshimiwa rais kwa upole nikuambie nchi imekushinda


Tanzania imekushinda, vitu vinapanda bei kwa amri yako

Tozo ni baraka zako

Vyakula vimepanda bei


Bado maluku naskia unapandisha

Hapo bado gasi zinapanda bei


Yaani mheshimiwa sikutarajia ungebadilika hivi....mheshimiwa utafanya watu wammis mwendazake wallah


Mama kiukweli umechemsha nchi imekushinda watanzania tumeshakuchoka


Samia must go.......
kwa hiyo
mdude alikuwa sahihi?
samia must go,

like mwendazake-
 
Nenda ukanye huna hoja, pumbafu wee
Tutolee hapa akili za kutawazia huyu mama hakuwa mtu sahihi kushika nafasi ya Hayati Magufuli. Tangu ashike madaraka amekuwa ni mtu ambaye anafanya mambo kwa kukurupuka bila kufikiri. Apumzike kwa kweli.
 
Utaratibu wa Makamu wa raisi kuwa raisi akifa raisi haufai kabisa, sahihi watu warejee kwenye uchaguzi wapate chaguo lao
Uchaguzi na huo uteuzi wa makamu wa Rais, vyote vipo kwenye katiba ya nchi.

Muhimu ni watu weusi hasa vijana, mjue kuwa hii katiba ya nchi sio Katiba. Bali ni kitabu chenye mfumo wa utawala wa ukoloni maendeleo. Yeyote atakaye ukwaa urais na asiwe MTAWALA, atafeli na kuzidi kuididimiza nchi.

Hatuhitaji katiba mpya. Upya huu unatokana na uzamani UPI? Tulikuwa na mfumo kabla ya wazungu kutuvamia bara letu, wenye kufuata DESTURI. WAO wakaturithisha katiba isiyo na dini. Kwa katiba hii na hiyo mpya mnayo itaka, shida itakuwa pale pale.

Tukiri tu kwamba mtengeza chombo, ndiye hudaiwa kitabu cha maelezo. Je! Ikiwa Mungu ndiye aliye tuumba, tumemdai kitabu cha maelezo (katiba) Akashindwa kutupatia?

KATIBA YA KENYA MPYA:

Wanayo katiba mpya. Mara wakaanza kuuana cha kweli kabisa. Pili mipasuko katika vyama vya siasa imezidi mno. Uchumi wa umezorota. Kumbe katiba iitwayo mpya sio solution.

AKILIIIII! KICHWANI na sio matakoni........... Ushogaaa ushoga. Eti hiyo ni agenda!!!!!

Vijana kaeni chini. Nchi ni yenu. Mjipange .......about'urn. Mgeuke 180 digiriiz.

Haya!
 
Uchaguzi na huo uteuzi wa makamu wa Rais, vyote vipo kwenye katiba ya nchi.

Muhimu ni watu weusi hasa vijana, mjue kuwa hii katiba ya nchi sio Katiba. Bali ni kitabu chenye mfumo wa utawala wa ukoloni maendeleo. Yeyote atakaye ukwaa urais na asiwe MTAWALA, atafeli na kuzidi kuididimiza nchi.

Hatuhitaji katiba mpya. Upya huu unatokana na uzamani UPI? Tulikuwa na mfumo kabla ya wazungu kutuvamia bara letu, wenye kufuata DESTURI. WAO wakaturithisha katiba isiyo na dini. Kwa katiba hii na hiyo mpya mnayo itaka, shida itakuwa pale pale.

Tukiri tu kwamba mtengeza chombo, ndiye hudaiwa kitabu cha maelezo. Je! Ikiwa Mungu ndiye aliye tuumba, tumemdai kitabu cha maelezo (katiba) Akashindwa kutupatia?

KATIBA YA KENYA MPYA:

Wanayo katiba mpya. Mara wakaanza kuuana cha kweli kabisa. Pili mipasuko katika vyama vya siasa imezidi mno. Uchumi wa umezorota. Kumbe katiba iitwayo mpya sio solution.

AKILIIIII! KICHWANI na sio matakoni........... Ushogaaa ushoga. Eti hiyo ni agenda!!!!!

Vijana kaeni chini. Nchi ni yenu. Mjipange .......about'urn. Mgeuke 180 digiriiz.

Haya!
Wanasiasa wameshindwa kutukomboa,tutafute namna nyingine
 
Alianza kwa matumaini makubwa. Lakini haya yameanza kumuondolea imani waliyokuwa nayo wengi juu yake mwanzoni
1. Kupanda kwa bei ya mafuta
2. Tozo kwenye miamala
3. Kutangaza wazi kuwa kuna vikundi vya kigaidi nchini kwa kupambana na kuwafungulia kesi za kigaidi wapinzani katika mambo wanayoruhusiwa kufanya kikatiba na kisheria
Tuendako si salama sana.
 
Alianza kwa matumaini makubwa. Lakini haya yameanza kumuondolea imani waliyokuwa nayo wengi juu yake mwanzoni
1. Kupanda kwa bei ya mafuta
2. Tozo kwenye miamala
3. Kutangaza wazi kuwa kuna vikundi vya kigaidi nchini kwa kupambana na kuwafungulia kesi za kigaidi wapinzani katika mambo wanayoruhusiwa kufanya kikatiba na kisheria
Tuendako si salama sana.
Hizo fikra zako umepata wapi mamlaka ya kuwasemea watanzania.
 
Hahitaji kuwa na mvuto,Bali anahitaji UONGOZI BORA kwa misingi ya katiba.Nchi hii hatuna katiba inayoelekeza kiongozi atawale.Jeshi pekee laweza tawala
 
Mimi siku ile eti wanasema mama amesikia kilio cha watu na ameunda tume sijui kamuagiza waziri mkuu kukaa na mawaziri wa fedha na mawasiliano ili kufuta Tozo nilicheka sana.

Afute tozo ambayo ameshasaini mwenyewe kuwa sheria? Na kabla ya kusaini alikuwa nayo na kuipitia?

Watanzania tuko poa sana, hatuna makuu sisi. Nyie CCM na serekali tufanyeni tu mnachotaka wala hatuna ishu sisi.
 
Badala ya kuwaunganisha watanzania wawe wamoja kwa ku address key issues hasa za kibaguzi na ustawi wa demokrasia..ili kwa pamoja sasa tujenge uchumi yeye ameanza kutonesha madonda kwa kuyakanda ya maji ya moto yenye pilipili.

Awe makini sana na ushauri anaopewa na CCM.
 
Back
Top Bottom