Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Subiri hukumu au uiamini Mahakama? Rais ni binaadamu kama wengine tu anaweza kusema neno na ulimi ukateleza(kukosea) alisema kuna magaidi wamefungwa Tanzania je tunamfungwa walau mmoja wa ugaidi katika Nchi hii?
😍
 
Subiri hukumu au uiamini Mahakama? Rais ni binaadamu kama wengine tu anaweza kusema neno na ulimi ukateleza(kukosea) alisema kuna magaidi wamefungwa Tanzania je tunamfungwa walau mmoja wa ugaidi katika Nchi hii?
Usipindishe maneno. Wala usitake kumsemea, ulimi umetelezaje? Kakuambia? Amewahi kukanusha wapi? Clip zipo, wewe unatetea ujinga
 

Uliza China ili kufika pale walipo sasa walikufa wangapi kwa ugumu wa maisha…hakuna maendeleo bila kufunga mikanda…maendeleo kwa spidi hii mnayotaka Tanzania itasubiri sana…tulimuhitaji mwamba kwa miaka mingine 20 ili Tanzania itoboe…sio wewe ila watoto na wajukuu zako wangekuwa pazuri…maana tungekuwa na discipline ya uwajibikaji na akili ya kujitegemea…sio taifa la kuomba omba na upigaji…

Mfano rahisi…Kuna watu wameweka kwao vizuri na kusomesha wadogo zao kwa boom la chuo…wali sacrifice anasa wengine wanakula mlo mmoja..anamaliza chuo familia ipo pazuri na nguvu ya uchumi kwa familia imekua…angekufa je kwa stress za kujinyima?!.. kwake ingekuwa uzalendo kwa ajili ya wadogo zake na jamii iliomzunguka..lazima kuwe na starting point na maumivu hayakwepeki…

Sasa taifa zina v8 za kutosha halafu shuleni hakuna vyoo na madawati..wanasema tunasubiria wazungu watupe msaada, sijui hatupo kisiwani kwenye dunia yetu tunawahitaji…sijui tunafundisha watoto wetu nini…
 

tunapotea mara mbili?​

 
We jamaa hii ilitakiwa iwe topic/uzi. Aisee nakussuport 100%
KAti ya comment nilizokua nazisubiria ni hizi
Kaka! Glasgow.

Wako huko kutafuta suluhu ya Tabia ya nchi kutugeuka walimwengu.

Hili ni suala la muumba na muumbwaji. Nini tumemkosea, ili aachia majanga kutifikia?
 
PM Majaliwa huu Utawala wa Samia unaenda kukuharibia sifa ya kiuongozi/kisiasa huko mbele ya safari.

Ukweli ni kwamba huna tena uwezo wa kuhoji hata yale yaliyo kinyume na maadili ya kiuongozi yanayofanywa ama yatayofanywa na mawaziri wateule wa Samia hasa wale waliotumbuliwa na JPM na kurejeshwa na Samia.

Brother M gutuka na ikiwezekana resign kwa maana tofauti na hapo unaenda kuchafuka.
 
Aki resign atakula wapi? We unawaona vile tu
 

Umekula bwana mdogo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…