Rais nae huwa anakosea na ndio maana huwa tunamkosoakwako wewe rais kusema uongo wa wazi unaona ni jambo dogo? unadhani akiitwa mahakamani kuthibitisha hilo itakuwaje?
😍Subiri hukumu au uiamini Mahakama? Rais ni binaadamu kama wengine tu anaweza kusema neno na ulimi ukateleza(kukosea) alisema kuna magaidi wamefungwa Tanzania je tunamfungwa walau mmoja wa ugaidi katika Nchi hii?
Usipindishe maneno. Wala usitake kumsemea, ulimi umetelezaje? Kakuambia? Amewahi kukanusha wapi? Clip zipo, wewe unatetea ujingaSubiri hukumu au uiamini Mahakama? Rais ni binaadamu kama wengine tu anaweza kusema neno na ulimi ukateleza(kukosea) alisema kuna magaidi wamefungwa Tanzania je tunamfungwa walau mmoja wa ugaidi katika Nchi hii?
acha kutetea ujinga, huwezi kutoa maelezo ya vile kwa kitu usichokijua.Rais nae huwa anakosea na ndio maana huwa tunamkosoa
1.Tozo
2.Tozooo
3.Tozoooooo
4.Appointed Jan Makamba for Tanesco shittt!!!
Kaka, hata nyumbani kwako huwezi badiri Kila kitu kwa wakati mmoja.
Na hili ndilo kosa alilofanya Magufuli alipoingia madarakani.
Ndani ya miaka mitano alitaka haya,
1. Serikali kuhamia dodoma,
2. Kujenga bwawa na umeme
2. Kununua ndege
3. She
4. Ukuta mererani
5. Daraja kigongo
6 Airport chato
7. Ujenzi wa kivuko na Meri nk nk
HII NI AKILI?
Akasababisha maisha ya watu kuwa magumu afadhari ya wafungwa huko jela.
Maana mfungwa anachojua no kazi na muda wa kulala, hajui mwanamke, kusomesha, na kutunza familia, hajui Kodi ya nyumba Wala ardhi.
Mimi siyo muumini wa ccm islani, lakini no muumini wa viongozi toka Zanzibar, wanaharikia kwenye ccm tu.
MWACHENI MAMA AFANYEKAZI TARATIBU MSIMUINGILIE KWENYE MJUKUMU YAKE
Anajifanya mcha MUNGU kumbe ni mtu hatari snHuwezi kuwa ccm halafu usiwe katili au kigagula , haijawahi kutokea
Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani.
Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari.
Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi.
Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena.
Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
Kaka! Glasgow.We jamaa hii ilitakiwa iwe topic/uzi. Aisee nakussuport 100%
KAti ya comment nilizokua nazisubiria ni hizi
Aki resign atakula wapi? We unawaona vile tuPM Majaliwa huu Utawala wa Samia unaenda kukuharibia sifa ya kiuongozi/kisiasa huko mbele ya safari.
Ukweli ni kwamba huna tena uwezo wa kuhoji hata yale yaliyo kinyume na maadili ya kiuongozi yanayofanywa ama yatayofanywa na mawaziri wateule wa Samia hasa wale waliotumbuliwa na JPM na kurejeshwa na Samia.
Brother M gutuka na ikiwezekana resign kwa maana tofauti na hapo unaenda kuchafuka.
Kama ana ndoto ya kuwa kiongozi wa Nchi huko baadae huu Utawala utamharibia sana sifaAki resign atakula wapi? We unawaona vile tu
Alishajiharibia mwenyeweKama ana ndoto ya kuwa kiongozi wa Nchi huko baadae huu Utawala utamharibia sana sifa
PM Majaliwa huu Utawala wa Samia unaenda kukuharibia sifa ya kiuongozi/kisiasa huko mbele ya safari.
Ukweli ni kwamba huna tena uwezo wa kuhoji hata yale yaliyo kinyume na maadili ya kiuongozi yanayofanywa ama yatayofanywa na mawaziri wateule wa Samia hasa wale waliotumbuliwa na JPM na kurejeshwa na Samia.
Brother M gutuka na ikiwezekana resign kwa maana tofauti na hapo unaenda kuchafuka.