Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Naunga mkono hoja. Tumepigwa
 
Coming from an average mind, kama kweli Sa100 ni bora kuliko Magu kiutendaji hili ni taifa la wasio na akili.
Boss wewe ulikuwa hujui Tz majority ni sycopath, Samia ni garasha, kichwani maji mtupu, wenyewe wana jitutumua kutuaminisha kuwa ni mchapakazi in reality hawana choice, lazima waende nae hivyo hivyo.
 
Boss wewe ulikuwa hujui Tz majority ni sycopath, Samia ni garasha, kichwani maji mtupu, wenyewe wana jitutumua kutuaminisha kuwa ni mchapakazi in reality hawana choice, lazima waende nae hivyo hivyo.
Huo ugarasa wake ndo umefanya kwa mara ya kwanza tangu uhuru Tanzania tumeongoza kuuza bidhaa Kenya na Uganda kuliko wao walivyouza kwetu. Kweli kama hiyo ndo maana ya ugarasa basi hakuna kama Samia
 
huwezi kuona tatizo kwasababu umevimbiwa.
 
Vingi sana sasa tumepata masoko ya nyama uarabuni, tumepata soko la parachichi China na South Afrika. Hayo ni machache tu ambayo hao marais 5 hawakuwahi kufanikisha
Kwahy kumbe kabla ya Samia, Tz ilikuwa kama ipo msituni haifahamiki kimataifa, nimekuelewa Boss.
 
Mimi kazi yangu ni kuunga mkono hoja

Mitano tena kwa mama

Samahani Sukuma gang kama nimewakwaza
 
Magufuli is dead, dead for good
Like it or not, Samia ndiye rais na ni bora 100 times kuliko magufuli
Ni aibu tunapoongelea nguvu au ubora wa rais tunaleta ulinganifu wa Magufuli.
Mimi nasema wote Samia na Magufuli hawakufaa nafasi hii.

Samia ni dhaifu kuliko matais wote.
Lakini kupitia udhaifu wake kuna watu wananeemeka sana nchi hii.

Laiti ungejua yanayoendelea jikoni wala usingemtetea
 
Vingi sana sasa tumepata masoko ya nyama uarabuni, tumepata soko la parachichi China na South Afrika. Hayo ni machache tu ambayo hao marais 5 hawakuwahi kufanikisha
Akili yako imejaa maparachichi tuu, huwezi kujua kazi zilizofanywa na marais wengine.
 
Kwahy kumbe kabla ya Samia, Tz ilikuwa kama ipo msituni haifahamiki kimataifa, nimekuelewa Boss.
Hili ni swali lingine. Swali lako la awali umejibiwa au wewe niambie kama kuna Rais huko nyuma amewahi fanikisha kufungua masoko ya parachichi za Tanzania kwenye nchi za China na Afrika kusini?
 
Kaka/dada unao mawakili ?!. Wale jamaa wapo japo kama hawapo
 
Akili yako imejaa maparachichi tuu, huwezi kujua kazi zilizofanywa na marais wengine.
Sio maparachichi tu. Data hazidanganyi. Ni kipindi cha Samia ambapo kwa data za bank kuu za nchi za jirani za Kenya na Uganda takwimu zimeonesha Tanzania imeuza zaidi kwenye hizo nchi kuliko wao walivyouza kwetu na hilo halijawahi kutokea before.

Au nalo hilo unabisha?
 
Ni
Magufuli is dead, dead for good
Like it or not, Samia ndiye rais na ni bora 100 times kuliko magufuli
Ni usiku mkubwa kaka weza upumzike, naon pengine leo hukufungua saloon yk kisa hakuna umeme, najua umefik om wife hayupo kaenda kutafuta maji mpk ss ni saa 5 bado hajarudi, huerew km kutakucha salama ukihofia PANYA ROAD, pole mkuu kesho huna tumaini lolote ukiamin yote magum kaleta JPM. usijar lkn iko siku tozo zitafutwa wacha tumalize awamu kwanza
 

Rais anaefaa kwake Yule aliempoteza Ben Saanane na kumpiga risasi lissu na kumteka Roma na Mo...
 
Samia ni masters holder na ana uwezo wa akili na kupambanua mambo ikiwemo kujieleza vizuri kwa lugha ya malkia kuliko muhuni mmoja anaitwa jiwe ambaye hakuwa anajuwa hata kujieleza kiufasaha kwa lugha ya kiingereza pamoja na kuwa na phd
ana masters ya kitu gani? Ameisoma wapi na lini? Amewahi kufanya kazi gani ya kitaaluma ukiacha ukarani, kusambaza chai maofisini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…