Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Write your reply....Hakuna Ndoa isiyokuwa na changamoto....Halikathalika Urais mbona hukusema na uzuri umeo gelea .madhaifu tu.?
 
Kweli yeye hana sifa hizo sema tu yupo kwa mjibu wa katiba.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Tatizo la taifa hili limejaa ujinga sana tunaleta siasa mpaka kwenye vitu vya msingi.
Yani leo ukikosoa hata kitu kinaonekana kwa macho ya kawaida tu usishangae kuitwa sukuma gang au chadema kumbe wengine hatuna hata chama tuna uzalendo wa nchi tu.
 
Tokea dunia imeumbwa.
 
Acha uvivu,kafsnye kazi.Ukiwa mvivu,hutaki kufanyakazi,wasubiri shemegi akuletee,utalalamika kila kitu.
 
Pamoja, umemaliza kila kitu, blessed
 
Dunia nzima huwa Hakuna Makamu wa Rais smart. Lazima Rais ateue msaidizi atakaemburuza,
 
Rais Samia Ni kiongozi atakayekumbukwa na Taifa Hili kwa maendeleo makubwa aliyoyaleta katika Taifa hili
Yataje, maendeleo ya kukaa gizani mda huu? Wewe upo Burundi nini? Praise team where are you reporting from?
 
Ukikopaa sanaa mikopo ikikuzidi
Unashindwa kulipaa
Benk inakamata dhamana inauzaa


Hata huyo naye anatupeleka hukooo.☝️👆👆👆👆👆
 
Sasa Hayati Rais Magufuli ameingiaje hapa? Mbona bado unahangaika naye tu karibu miaka miwili hayupo lakini bado unaweweseka tu. Vipi alikuacha na mimba yake nini!! tupo sisi tunaweza kukusaidia kulea mimba hiyo. Pole sana.
Alinipa mimba mufilisi....
Mimba ya ukabili, wizi, udini, majivuno, uongo.... hahahah kweli MUNGU wa mbinguni yupo
 
Alinipa mimba mufilisi....
Mimba ya ukabili, wizi, udini, majivuno, uongo.... hahahah kweli MUNGU wa mbinguni yupo
Naona hiyo mimba inakusumbua njoo basi tukusaidie kuilea mimba yako usije ukafa na stress kwa kuhangaika na marehemu ambaye amelala na hawezi kujitetea ila tupo sisi kwa ajili ya kumtetea kwa kuonyesha mazuri aliyoiachia nchi yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…