Samia anaendesha nchi Kama "serikali ya mpito"
Hana vision Wala malengo yoyote. Yeye kaweka watu wake sehemu za Kula na Wanasiasa wapiga kelele kawapa ulaji, Basi.
Na too bad, Hana agenda.
Mwanzoni wakati anaingia madarakani alianzisha siasa za Jinsia ( Ikawa ni wanawake, wanawake, ) naona watu hawazielewi.
Akaja na siasa na Machief, kelele nyingi watu hawazielewi.
Sasa hivi, anazungumzia 4R hata mwenyewe sidhani Kama anajua ni Nini. Ila kwa mtazamo wa haraka haraka naona, ni siasa za kuziba nyufa. Kila anayepiga kelele, mtupie kipande Cha mkate.