Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Kwanza kabisa huyu mama hana uchungu hata na madaraka aliyonayo coz ameyapata kwa bahati mbaya tu hajui hata uchungu wa kura za wananchi so hana haya na anayoyafanya wananchi huko wanalia ni mwanamke mzima lakini hata kutubembeleza hawezi hajui kuwa watu wanasubiri utatuzi wake.

Tukija kwenye uchaguzi unaofata Mama samia kura hana za wananchi ila atapata kura za wana ccm tunaoogopa kuwapa Chadema madaraka because they the worst maybe be ikitokea option nyingne lakini kwa mwana ccm damu hawezi kuwa Chadema madaraka kisa viongozi wake wameenda ndivyo sivyo.
Anao ccm wachache. Na upinzani wachache kama kina zitto.
 
Kwanza kabisa huyu mama hana uchungu hata na madaraka aliyonayo coz ameyapata kwa bahati mbaya tu hajui hata uchungu wa kura za wananchi so hana haya na anayoyafanya wananchi huko wanalia ni mwanamke mzima lakini hata kutubembeleza hawezi hajui kuwa watu wanasubiri utatuzi wake.

Tukija kwenye uchaguzi unaofata Mama samia kura hana za wananchi ila atapata kura za wana ccm tunaoogopa kuwapa Chadema madaraka because they the worst maybe be ikitokea option nyingne lakini kwa mwana ccm damu hawezi kuwa Chadema madaraka kisa viongozi wake wameenda ndivyo sivyo.
Hata yanguu hanaaa huyuu Mama tozo
 
Kwanza kabisa huyu mama hana uchungu hata na madaraka aliyonayo coz ameyapata kwa bahati mbaya tu hajui hata uchungu wa kura za wananchi so hana haya na anayoyafanya wananchi huko wanalia ni mwanamke mzima lakini hata kutubembeleza hawezi hajui kuwa watu wanasubiri utatuzi wake.

Tukija kwenye uchaguzi unaofata Mama samia kura hana za wananchi ila atapata kura za wana ccm tunaoogopa kuwapa Chadema madaraka because they the worst maybe be ikitokea option nyingne lakini kwa mwana ccm damu hawezi kuwa Chadema madaraka kisa viongozi wake wameenda ndivyo sivyo.
Ungejikita kumchambua,kumsimanga,kumnanga na kumzodoa uliyemlenga.Usichanganye mambo.Sasa hapo CDM inahusianaje na SSH?Au bila kuitaja CDM uzi wako hautasomwa?
 
Kwanza kabisa huyu mama hana uchungu hata na madaraka aliyonayo coz ameyapata kwa bahati mbaya tu hajui hata uchungu wa kura za wananchi so hana haya na anayoyafanya wananchi huko wanalia ni mwanamke mzima lakini hata kutubembeleza hawezi hajui kuwa watu wanasubiri utatuzi wake.

Tukija kwenye uchaguzi unaofata Mama samia kura hana za wananchi ila atapata kura za wana ccm tunaoogopa kuwapa Chadema madaraka because they the worst maybe be ikitokea option nyingne lakini kwa mwana ccm damu hawezi kuwa Chadema madaraka kisa viongozi wake wameenda ndivyo sivyo.

Huna lolote hana kura yako wewe: Samia atashinda kwa kishindo:
 
Hakuna raisi ambae ana uchungu wa kupigiwa kura wote huwa wanateleza tu
 
Naunga mkono hoja ingawa sio yeye peke yake ambaye hakushinda ni karibia viongozi wote tuoliowahi kupata Chama cha Mambuzi kina utamaduni wakutumia rafu kuhakikisha kinatangazwa mshindi kauli kama "goli la mkono" "tutatumia polisi" au ile anaambiwa aikaeli na yule askari "hamchukui nchi" na kwa katiba ilivyo wananchi pona yenu muombe Mungu muokote dodo kwenye mnazi kama mlivyopata Jiwe. Tofauti na hapo ni kupigwa. Katiba ya 1977 ndio tatizo.
 
Are you serious huoni kitu? Au wewe Kipofu?
mimi sioni mzee , kwangu sifa ya uchumi ni watu kuwa na pesa na mazingira mazuri ya kufanyia kazi , hasa sioni chochote kinachobadilika ,zaidi naona mfumuko tu wa bei, kila aliye kwenye nafasi kuniomba rushwa ninapofanya biashara zangu na wateja kulalamika hali ngumu walizinazo
 
Mnaojua lengo hasa la samia kwenye uchumi wa Tanzania, njooni mtuambie hapa, mimi sielwei elewi kabisa naona hakuna kinachoendelea.
Samia anaendesha nchi Kama "serikali ya mpito"

Hana vision Wala malengo yoyote. Yeye kaweka watu wake sehemu za Kula na Wanasiasa wapiga kelele kawapa ulaji, Basi.

Na too bad, Hana agenda.

Mwanzoni wakati anaingia madarakani alianzisha siasa za Jinsia ( Ikawa ni wanawake, wanawake, ) naona watu hawazielewi.

Akaja na siasa na Machief, kelele nyingi watu hawazielewi.

Sasa hivi, anazungumzia 4R hata mwenyewe sidhani Kama anajua ni Nini. Ila kwa mtazamo wa haraka haraka naona, ni siasa za kuziba nyufa. Kila anayepiga kelele, mtupie kipande Cha mkate.
 
Samia anaendesha nchi Kama "serikali ya mpito"

Hana vision Wala malengo yoyote. Yeye kaweka watu wake sehemu za Kula na Wanasiasa wapiga kelele kawapa ulaji, Basi.

Na too bad, Hana agenda.

Mwanzoni wakati anaingia madarakani alianzisha siasa za Jinsia ( Ikawa ni wanawake, wanawake, ) naona watu hawazielewi.

Akaja na siasa na Machief, kelele nyingi watu hawazielewi.

Sasa hivi, anazungumzia 4R hata mwenyewe sidhani Kama anajua ni Nini. Ila kwa mtazamo wa haraka haraka naona, ni siasa za kuziba nyufa. Kila anayepiga kelele, mtupie kipande Cha mkate.
Umenena vyema! She is Not Visionary Leader!
Mara alianza pia siasa za kufurahisha wafanyabiashara! Yaani hakika nchi iko chini ya kichwa cha mwenda wazmu!
 
mimi sioni mzee , kwangu sifa ya uchumi ni watu kuwa na pesa na mazingira mazuri ya kufanyia kazi , hasa sioni chochote kinachobadilika ,zaidi naona mfumuko tu wa bei, kila aliye kwenye nafasi kuniomba rushwa ninapofanya biashara zangu na wateja kulalamika hali ngumu walizinazo
Hali ngumu unayo wewe tu, wengine hela tunazo na mambo yanaenda, kwani lini uliona uchumi unaenda vizuri?
 
Back
Top Bottom