Anao ccm wachache. Na upinzani wachache kama kina zitto.Kwanza kabisa huyu mama hana uchungu hata na madaraka aliyonayo coz ameyapata kwa bahati mbaya tu hajui hata uchungu wa kura za wananchi so hana haya na anayoyafanya wananchi huko wanalia ni mwanamke mzima lakini hata kutubembeleza hawezi hajui kuwa watu wanasubiri utatuzi wake.
Tukija kwenye uchaguzi unaofata Mama samia kura hana za wananchi ila atapata kura za wana ccm tunaoogopa kuwapa Chadema madaraka because they the worst maybe be ikitokea option nyingne lakini kwa mwana ccm damu hawezi kuwa Chadema madaraka kisa viongozi wake wameenda ndivyo sivyo.
Hata yanguu hanaaa huyuu Mama tozoKwanza kabisa huyu mama hana uchungu hata na madaraka aliyonayo coz ameyapata kwa bahati mbaya tu hajui hata uchungu wa kura za wananchi so hana haya na anayoyafanya wananchi huko wanalia ni mwanamke mzima lakini hata kutubembeleza hawezi hajui kuwa watu wanasubiri utatuzi wake.
Tukija kwenye uchaguzi unaofata Mama samia kura hana za wananchi ila atapata kura za wana ccm tunaoogopa kuwapa Chadema madaraka because they the worst maybe be ikitokea option nyingne lakini kwa mwana ccm damu hawezi kuwa Chadema madaraka kisa viongozi wake wameenda ndivyo sivyo.
Ungejikita kumchambua,kumsimanga,kumnanga na kumzodoa uliyemlenga.Usichanganye mambo.Sasa hapo CDM inahusianaje na SSH?Au bila kuitaja CDM uzi wako hautasomwa?Kwanza kabisa huyu mama hana uchungu hata na madaraka aliyonayo coz ameyapata kwa bahati mbaya tu hajui hata uchungu wa kura za wananchi so hana haya na anayoyafanya wananchi huko wanalia ni mwanamke mzima lakini hata kutubembeleza hawezi hajui kuwa watu wanasubiri utatuzi wake.
Tukija kwenye uchaguzi unaofata Mama samia kura hana za wananchi ila atapata kura za wana ccm tunaoogopa kuwapa Chadema madaraka because they the worst maybe be ikitokea option nyingne lakini kwa mwana ccm damu hawezi kuwa Chadema madaraka kisa viongozi wake wameenda ndivyo sivyo.
Kwanza kabisa huyu mama hana uchungu hata na madaraka aliyonayo coz ameyapata kwa bahati mbaya tu hajui hata uchungu wa kura za wananchi so hana haya na anayoyafanya wananchi huko wanalia ni mwanamke mzima lakini hata kutubembeleza hawezi hajui kuwa watu wanasubiri utatuzi wake.
Tukija kwenye uchaguzi unaofata Mama samia kura hana za wananchi ila atapata kura za wana ccm tunaoogopa kuwapa Chadema madaraka because they the worst maybe be ikitokea option nyingne lakini kwa mwana ccm damu hawezi kuwa Chadema madaraka kisa viongozi wake wameenda ndivyo sivyo.
Buchani na kwenye daladala la mbagala.hao wananchi ulikutana nao wapi wakakwambia?
Kulamba asaliMnaojua lengo hasa la samia kwenye uchumi wa Tanzania, njooni mtuambie hapa, mimi sielwei elewi kabisa naona hakuna kinachoendelea.
Are you serious huoni kitu? Au wewe Kipofu?Mnaojua lengo hasa la samia kwenye uchumi wa Tanzania, njooni mtuambie hapa, mimi sielwei elewi kabisa naona hakuna kinachoendelea.
Kasome ilani ya CCM ya 2020 ndo anatekeleza hayoMnaojua lengo hasa la samia kwenye uchumi wa Tanzania, njooni mtuambie hapa, mimi sielwei elewi kabisa naona hakuna kinachoendelea.
mimi sioni mzee , kwangu sifa ya uchumi ni watu kuwa na pesa na mazingira mazuri ya kufanyia kazi , hasa sioni chochote kinachobadilika ,zaidi naona mfumuko tu wa bei, kila aliye kwenye nafasi kuniomba rushwa ninapofanya biashara zangu na wateja kulalamika hali ngumu walizinazoAre you serious huoni kitu? Au wewe Kipofu?
Samia anaendesha nchi Kama "serikali ya mpito"Mnaojua lengo hasa la samia kwenye uchumi wa Tanzania, njooni mtuambie hapa, mimi sielwei elewi kabisa naona hakuna kinachoendelea.
Umenena vyema! She is Not Visionary Leader!Samia anaendesha nchi Kama "serikali ya mpito"
Hana vision Wala malengo yoyote. Yeye kaweka watu wake sehemu za Kula na Wanasiasa wapiga kelele kawapa ulaji, Basi.
Na too bad, Hana agenda.
Mwanzoni wakati anaingia madarakani alianzisha siasa za Jinsia ( Ikawa ni wanawake, wanawake, ) naona watu hawazielewi.
Akaja na siasa na Machief, kelele nyingi watu hawazielewi.
Sasa hivi, anazungumzia 4R hata mwenyewe sidhani Kama anajua ni Nini. Ila kwa mtazamo wa haraka haraka naona, ni siasa za kuziba nyufa. Kila anayepiga kelele, mtupie kipande Cha mkate.
Hali ngumu unayo wewe tu, wengine hela tunazo na mambo yanaenda, kwani lini uliona uchumi unaenda vizuri?mimi sioni mzee , kwangu sifa ya uchumi ni watu kuwa na pesa na mazingira mazuri ya kufanyia kazi , hasa sioni chochote kinachobadilika ,zaidi naona mfumuko tu wa bei, kila aliye kwenye nafasi kuniomba rushwa ninapofanya biashara zangu na wateja kulalamika hali ngumu walizinazo
Hongera Chief naona unatoboa sasa!🤣🤣🤣Hali ngumu unayo wewe tu, wengine hela tunazo na mambo yanaenda, kwani lini uliona uchumi unaenda vizuri?
Hadi masikioHongera Chief naona unatoboa sasa!🤣🤣🤣