Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Unaweza kunionyesha ni ukurasa wa ngapi wa ilani ya ccm umetaja kuwa chato ujengwe uwanja wa ndege?

Any way mama atatawala hadi 2035 ,atake asitake tutamlazimisha tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] katiba sio msaafu
[emoji2][emoji1][emoji1][emoji16][emoji38][emoji28][emoji1787][emoji1787]
 
Mmetafutiwa na ajira huko Oman. Mambo ni moto [emoji3][emoji3][emoji3].

Kula viza mwanawane ukale madinnari tu [emoji3][emoji15]
 
Wa kupanua uelewa ni Mimi au wewe? Hao Rwanda, USA na Uingereza waliingia makubaliano kama haya ya kwenu? Waliwatumia wabunge na wahandisi wa Habari kupenyeza ajenda zao?

Uliona wahandisi wao wa Habari wakipewa escorts za ving'ora?! Huoni hata dalili za rushwa na ushawishi usiona wa kawaida kwenye mchakato huu?

Haya... mbona huku tunaambiwa ni bandari zote... Huko kwingineko mbona unataja taja tu mara dry port, mara 8 mara 2... Kuwa na aibu asee! Panua mawazo! Mnatuuzia mbwa badala ya mbuzi!
 
Kulikuwa na Sababu chache sana Kuirudisha CCM madarakan 2015

Udhaifu wa Vyama mbadala vya siasa.

...na ahadi ya kuisafisha nyumba nzima ya Tanzania. Ahadi hiyo ililetwa na Filosofia ya kuwa Tunaweza kufanya majambo yetu wenyewe bila shuruti.

Itaendelea👇

====================
Kuhusu mada👇

Hakuna muda wowote aliopewa na Mtanzania, Hakuna. Anamalizia muda waliopewa 2015

....na baada ya Uhamisho wa nguvu wa Wamasai na Uhalalishaji wa Utumwa wa Fikra, sidhani kuna aliyekuwa na akili timamu atakaye taka CCM ile ya Mkapa na Kikwete irudi.

Marehemu B.Mkapa(R.I.P)kwaajili ya ile $100milioni na J.M Kikwete kwa ajili ya mikataba na ufisadi uliotawala awamu zao Ikumbukwe, wana mazuri yao, ila Wananchi hawapendi kusikia Wakulu wanahusishwa na Rushwa

CCM inahitaji mapinduzi, Tanzania inahitaji Uzalendo kwamba, sera zetu ziende sambamaba na fikra za kuwa tunajiamulia kufanya mambo yetu wenyewe....ni heshima tuliyoijenga, tuliyokuwa nayo na tunayohitaji kudumisha.

Watanzania tunaweza.

Aluta Continua
 
Vipi umerudisha kadi ya CCM? Sa100 ameuza nchi kwa wajomba zake Oman
 
Vunjeni tuu kwani nani kawakataza? Ila chini ya Samia kamwe Bandari haitakuwa shamba la bibi lisilo.na Mwenyewe
Wacha unafiki.
Mwezi uliopita ulibandika uzi hapa, kama kawaida yako, kusifia ripoti ya World Bank kuhusu Ufanisi mzuri wa Bandari ya Tanzania....hiyo ilikuwa 23may2023!

Tanzania tumewekeza takribani Trillioni 2 Shilingi katika kuboresha Miundombinu Bandarini hapo...Hakuna sehemu ripoti hiyo iliyodai Bandari ilikuwa Shamba la bibi, vilevile Mabarawa alisifia ongezeko la mapato....yaani nyuma ya sura zao walikuwa wanajua wanaenda kuigawa Bandari halafu wanakuja na hoja dhaifa kama 'Ufanisi' na 'Utendaji' ebo!


Isitoshe ulileta Uzi wa kupotosha kuwa mkataba huu uiliridhiwa na Hayati Magufuli na hivyo kutaka kuaminisha kadamnasi kuwa haya ni muendelezo wa Hayati....kwamba Bandari ilihitaji marekebisho na maboresho, sawa....ikiwa ina maana Hayati aliyaona mambo ya 'ajabu ajabu' na inaelweka ni jambo lililomuhudhi sana kama Raisi kuona kuwa Bandari inachezewa....unajua hilo....halafu unajitanua hapa kudai hayati ndie aliyeifanya Bandari kuwa shamba la bibi! Are you serious?
 
Fala wewe msukuma pumbafu!
 
Nasikia wajuvi wanasema mama kaamua kutupiga mnada uarabuni. Kama ulikuwa hujui anatupeleka wapi basi sasa unajua anakotupeleka.
 
Katiba ibadilishwe ikitokea dharula watu tuingie kwenye uchaguzi.
Huu utaratibu wa kurithi nafasi kubwa kama hizo ni hatari sana.
 

Yalikuwa ni maandalizi ya kupelekwa ujombani Uarabuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…