Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Kwenye mfano wako wa ndege kuendeshwa autopilot kuna mahali umeongopa kidogo. Kwa mujibu wa sheria za usafiri wa anga za FAA au federation of aviation authority marubani hawatoki hovyo kwenye chumba kile hata kama ndege ipo in auto mode kwa ajili ya usalama zaidi.
 
The beautiful one is not yet born.

But remember that, "any government is an organ of exploitation by its nature".
By Mikhail Bhakunin

Kwa hiyo usitarajie lolote lile la maana sana hata kama rubani atakuwa nani.
 
Hawatoki hovyo maana
yake ni nini? Ukirudia kusoma ulichoandika utamuelewa vizuri mleta hoja. Na muhimu katika dhana ya autopilot ni kwamba ndege itajiemdesha yenyewe!! Sasa ndo hivyo ukimpata Rubani mlevi ndege inadondoka na abiria wote wanakufa. Watanganyika wanadondoka
 
hawatoki wote! mmoja anaweza kuja kwa abiria akasalimia. Nilisafiri na ethopian Airline DSM to Bangkok, niliona kitu hicho na nilimuuliza akanieleweha hivyo.
 
hawatoki wote! mmoja anaweza kuja kwa abiria akasalimia. Nilisafiri na ethopian Airline DSM to Bangkok, niliona kitu hicho na nilimuuliza akanieleweha hivyo.
Ahaa sawa japo sio kila kampuni ya ndege zote..Off topic hiyo safari ilikuwa ni direct flight au mlipitia kwanza ethiopia then bangkok kutokea dar
 
Hama nchi.
Kule Burundi mbona kuna pilot
 
Acheni ujinga wenu muwe wazalendo kwa kutetea nchi ; huyu mama anaiuza nchi kwa waarabu kimya kimya akishirikiana na Vasco Dagama na ndio maana mkwere hajatoa neno toka sakata la bandari lianze!!
Hakuna chombo au mamlaka ya serikali yenye uwezo wa kuuza au kubinafsisha bandari za Tanzania.

Sheria ya Bandari kifungu cha 5 na cha 12 kinaipa mamlaka TPA kukodisha maeneo ya bandari au kuingia mikataba na watoa huduma bandari katika maeneo ya bandari kwa ajili ya kuchagiza shughuli za bandari kuleta ufanisi.

Bandari zitaendelea kumilikiwa na serikali na hakuna uuzaji wowote wa bandari, ni suala la kwenda kupangisha maeneo mahsusi ya bandari yaliyokubaliwa katika mkataba.
 
Kitendo cha Rais Samia kuanza uongozi kama kumkomoa marehemu ilikuwa ni inshara mbaya sana

Taifa likiwa kwenye maombolezo yeye alizidisha kidonda kwenye maumivu
Kwa kutumia lugha za kuudhi dhidi ya wasaidizi wa marehemu haikuwa ishara nzuri

Alifanya mambo mengi kama vile anagombana na marehemu

Alifanya safari nyingi zisizo na mpangilio nafikiri alienda mara nyingi zaidi uarabuni


Ni jukumu letu watanganyika kumuombea asimalize vibaya kwasababu kuna ishara mbaya sana zinatembea juu ya nchi ya TANGANYIKA

Tuiombee TANGANYIKA ipo kwenye mkono wa majaribio mabaya kuwahi kutokea

Nchi ya TANGANYIKA bado haijaanua matanga toka 2021

Je ni nani ataanua matanga? Wazee waliochiwa mji waludharau msiba ndio maana maombolezo hayajaisha na hayataisha mpaka apatikane atakeyeanua matanga
 
Kumbe hata uanachama wa caf hatuna Tanganyika wala shirikisho la mpira wala league ya mpira
mai god
 
Alijiona yeye ndo raisi kuliko wote walimdanganya anaupiga mwingi kumbe kapiga WIGI. Hovyo Kabisa.

Msiba wa Magufuli Bado uanendelea mpaka Yale aliyoyasimamia yapate Mtu wake. Naona Hata Wapinzani wameanza kumkubali sasa.

Namwona Samia katika Wakati Mgumu sana na frustrated siku za usoni.
 
Nalikuwa kijana sasa ni mzee sijawahi kuona mwenye haki ameachwa wala mzao wake akiomba chakula

TANGANYIKA bado inaomboleza

 
Hivi huu ujasiri wa kuwaambia watanzania wamuombee sa100 mnautoa wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…