Alikuwa anakenua meno akisikia eti anaupiga mwingi.
Endeleeni kujidanganya na kujifarijiAlijiona yeye ndo raisi kuliko wote walimdanganya anaupiga mwingi kumbe kapiga WIGI. Hovyo Kabisa.
Msiba wa Magufuli Bado uanendelea mpaka Yale aliyoyasimamia yapate Mtu wake. Naona Hata Wapinzani wameanza kumkubali sasa.
Namwona Samia katika Wakati Mgumu sana na frustrated siku za usoni.
Unapokodisha sehemu yoyote ya Bandari bila Ukomo ni sawasawa na kuiuza ; acha kupotosha watu nyie mafisadi!!! Mnapindisha pindisha maneno kuwachanganya wananchi.Hakuna chombo au mamlaka ya serikali yenye uwezo wa kuuza au kubinafsisha bandari za Tanzania
Nyie ndio mnapotosha wananchi maana hakuna mahali kwenye mkataba kinasema nchi imeuzwa....na ikumbukwe kwamba mkataba huo unatoa fursa kuweza kurekebishwa muda wowote kwa manufaa ya nchi.Unapokodisha sehemu yoyote ya Bandari bila Ukomo ni sawasawa na kuiuza ; acha kupotosha watu nyie mafisadi!!! Mnapindisha pindisha maneno kuwachanganya wananchi.
Ile ni kauli ya Picha KUONESHAA NAMNA GANI HALI YA UBINAFSISHAJI NA UKOPAJI ILIVYOKUWA MBAYAAA MNOOO...!! sasa leo sula la bandari pale ni zaidi ya Kuuza nchiii... ni jambo la ovyooo sanaaaa yani kauza na watu piaaa..Hakuna mtu anaweza kuuza nchi, hebu tufikirie mpaka sasa nchi gani umesikia imeuzwa? Sisi tunataka maendeleo na maendeleo yana gharama zake, miongoni mwa gharama zake ni kuleta wawekezaji ambao wengine wanatupiga au kupata misaada yenye masharti magumu. Sasa hawa ambao tunaingia nao mkataba wa keundesha baadhi ya gati za bandari hapa Dar wamekuja na matakwa yao, kizuri zaidi huo mkataba umewekwa wazi kila mwenye uwezo wa kuusoma na kuukosoa yupo huru, tushukuru kuwa tumepata viongozi wawazi, huko nyuma kuna mambo yalikuwa yanafnywa hata bunge halishirikishwi. Diplomasia ya uchumi ni miongoni mwa ilani za CCM, na swala hili la bandari ni miongoni mwa athari ya kukuwa kwa dilpomasia ya uchumi Tanzania, tumepata kiongozi mwenye maono ambaye anaka tuwe na uhusiano wa muda mrefu wenye kunufaisha nchi zinazoshirikiana. Leo hii Tanzania ina uhusiano na Israel na hata tuna ubalozi huko, nchi ambayo huko nyuma raisi wa awamu ya kwanza Mwalimu Nyerere aliuvunja uhusiano wa kidiplomasia kutokakana na vita baina ya waarabu na Israili, na hata leo hii waarabu nao wana uhusiano mzuri na Israili, hivyo haya mambo ya chuki kwa watu amabo tumeaminishwa ni waovu hayana msingi. Kwa nyakati zetu hizi ili tuendelee lazima tuwe na pesa, teknoloji na railimali, sasa sis tuna rasilimali pekee wacha tuungane na wenye pesa na teknoloji nasi tusonge mbele. Miaka 50 iliyopita Dubai kilikuwa ni kijii cha wavuvi tu ambapo sisi Tanzania tulikuwa na nchi yenye neema, lakini sasa hivi tumeachwa mbali sana.
Hiyo ni Mo ambapo hizo kampuni zitapewa mikopo na credit guarantee Ili ziweze kuzalisha Baadhi ya bidhaa ndani ya Nchi.Heee uwekezaji makampuni kumi kwa shilingi bilioni 1.8 huu ni wendawazimu.
Hivi huyu G. Teri anafanya nini hapo TIC?
siyo uknda wa ziwa, Tanganyika nzimaHabari za jumapili.
Niko busy kidogo kwenye ujenzi wa taifa uku Mwanza, ila shughuri zangu zinanifanya nisafiri sana mikoa ya hapa kanda ya ziwa.
Uku kipindi cha nyuma, Samia angalau raia walikuwa wanamnena kwa mazuri.
Sasahivi hali imebadirika sana, sijui ni uku au hata uko kwenu wakuu hali ipo hivyo? Yaani kitaa watu sahivi hawamuelewi Samia, yaani hawamuelewi ata kidogo. Kisa eti anauza mali za Tanganyika kwa waarabu.
2025 Samia ana kazi kubwa sana kuvuna kura mikoa ya; Mwanza,Kagera,Mara,Geita,Shinyanga na Simiyu.
Ngoja waje ma chawasiyo uknda wa ziwa, Tanganyika nzima
Uku kwetu watu wanamfagilia sana sababuHabari za jumapili.
Niko busy kidogo kwenye ujenzi wa taifa uku Mwanza, ila shughuri zangu zinanifanya nisafiri sana mikoa ya hapa kanda ya ziwa.
Uku kipindi cha nyuma, Samia angalau raia walikuwa wanamnena kwa mazuri.
Sasahivi hali imebadirika sana, sijui ni uku au hata uko kwenu wakuu hali ipo hivyo? Yaani kitaa watu sahivi hawamuelewi Samia, yaani hawamuelewi ata kidogo. Kisa eti anauza mali za Tanganyika kwa waarabu.
2025 Samia ana kazi kubwa sana kuvuna kura mikoa ya; Mwanza,Kagera,Mara,Geita,Shinyanga na Simiyu.
Hasa wanawake. Nilikuwa nafahamu wanawake tena kijijini kabisa walikuwa ni Magufuli damu damu, sasa hivi hawataki kabisa kusikia hili jina Samia. Kusema ukweli sijui ni kwa nini amechukiwa namna hii tena baada ya muda mfupi sana. Nadhani ugumu wa maisha umechangia.siyo uknda wa ziwa, Tanganyika nzima
Diiipiii imekuja na mazonge mengi na yote kasukumiwa yeyeHabari za jumapili.
Niko busy kidogo kwenye ujenzi wa taifa uku Mwanza, ila shughuri zangu zinanifanya nisafiri sana mikoa ya hapa kanda ya ziwa.
Uku kipindi cha nyuma, Samia angalau raia walikuwa wanamnena kwa mazuri.
Sasahivi hali imebadirika sana, sijui ni uku au hata uko kwenu wakuu hali ipo hivyo? Yaani kitaa watu sahivi hawamuelewi Samia, yaani hawamuelewi ata kidogo. Kisa eti anauza mali za Tanganyika kwa waarabu.
2025 Samia ana kazi kubwa sana kuvuna kura mikoa ya; Mwanza,Kagera,Mara,Geita,Shinyanga na Simiyu.