Ni kukosa tu Shukran angekua hawajali wanyonge kwanini Aongeze minimum wages kwa asilimia 20?Ukimsikiliza Mama kwa makini ni kama hapendi hoja za wanyonge kiasi cha kuwaambia polisi wawanyamazishe kwenye mikutano yake. Aidha kiongozi anayekubalika na Wanyonge yeye anamsukasuka na asiyependwa na wanyonge yeye ndio amamkumbatia sijui kwanini?
Shida za watu anaona ni makelele. Ni Raisi wa ajabu kuwahi kutawala TanzaniaUkimsikiliza Mama kwa makini ni kama hapendi hoja za wanyonge kiasi cha kuwaambia polisi wawanyamazishe kwenye mikutano yake. Aidha kiongozi anayekubalika na Wanyonge yeye anamsukasuka na asiyependwa na wanyonge yeye ndio amamkumbatia sijui kwanini?
Hata Mimi naona hivyo hivyoMama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani.
Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari.
Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi.
Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena.
Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
Sukuma gang mnauumiiiiiaaaaaaHata Mimi naona hivyo hivyo
Ccm ilimpata baba wa taifa tuShida za watu anaona ni makelele. Ni Raisi wa ajabu kuwahi kutawala Tanzania
sawa.Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani.
Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari.
Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi.
Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena.
Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
Hakuna Rais hapo chenga tu.Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani.
Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari.
Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi.
Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena.
Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hamieni Burundi
MAMA KANYAGA TWENDE [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tumeumia sana tena sana. Kuna shetani wa kike sijui kwenye biblia anaitwaje.
Hivi wewe unavyolinda kaburi huwa unapigwa viboko na uvccm wenzako?Huku Dp world,huku umeme unakatika,huku bandari imeuzwa,huku ngororo wamasai huko katiba mara mafuta mara jamhuri ya twitter huko mara, tutaipindua nchi na meza yake.
Mama watoto ni hatari dawa yao mwendo kama ule wa marehemu baba walshazoea kuzungumzia vyumbani na kuchezea varandani
Hayo ni mapunda bila viboko hayaendi.
Safarini Gibraltar.
Mlinyooka dadadekii!Hivi wewe unavyolinda kaburi huwa unapigwa viboko na uvccm wenzako?
Sasa ni zamu yenu kina sukuma gang na baadooooMlinyooka dadadekii!
Nawaangalia halafu nacheka inhhhhhhh.Sasa ni zamu yenu kina sukuma gang na baadoooo