Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Mnaposema anaupiga mwingi sijui ni kwenye sekta gani maana kila kona hali tete.

Gharama za maisha zipo juu, umeme wa majanga nchi nzima ina mgawo, gharama za vyakula kila kitu juu.
 
Hili nalo wakalitazame.

NCHI HALI TETE KILA MAHALI.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Tunapotea mara ngapi?
 
Great thinkers

Kwa msaada wa Video hii.(Modes DON'T edit)

1. Gari ni Tanzania
2. Dereva ni samia
3. Abiria ni wapiga kura.
4. Anayechukua video ni Sukuma gang.
5. Waliopo Ng'ambo wakimwongoza Dereva ni Msoga gang(Wahuni) na Baraza la mawaziri.
6. Maji ni lundo la Matatizo Nchini..
Your browser is not able to display this video.
 
Nchi ipo ktk mtanziko mkubwa sana.
Kitakachoweza kutunusuru kwa sasa ni kuitisha uchaguzi mkuu tu ili tuchague viongozi wa kutuvusha hapa!
 
Hiyoo imeenda imeendaaa
 
Kwa wanaonifuatilia hapa JF mimi nilikuwa mpiga debe ya saa100 baada ya jiwe kudondoka! Sasa nimejirudi, nimetafakari, na nimeamua kuwa huyu si rais ni bonge la mchongo wa mafisadi wa nje na ndani ya nchi tutakwisha tukimpa mitano tena.
1. Ufisadi kumbe uko kwenye damu. Huyu ni Binti wa Mzee Ruksa ambaye alianzisha ufisadi kupitia mkewe |Siti miaka ile. Na huyu yuko na genge la msoga alilolikataa jiwe ili watufilisi.
Ruksa ndiye aliyetutumbukiza kwenye kiza kinene cha kuuza raslimali za mbuga zetu alipoanzia na Loliondo, Bintiye anamalizia tu.
2. Nyie wazanzibar endeleeni kugugumia chini chini tu maanake huyo mtalii mwanaye ruksa wa kiume amepania kumaliza zanzibar yote. Yule Simai aliyejiuzulu kumbe ni dili la pombe ambalo Hussein alicheza na wabara wenzie na kusababisha biashara ya utalii idorore.
3. Familia ya Mwinyi (ruksa) ni majambazi madalali ya raslimali zetu JMT iondoshwe come 2025 la sivyo----
 
Jibu hoja zilizowekwa acha mbwembwe za kutetea chama. Kazi hiyo muachie Makonda
 
Kwa siku nyingine tena tupo gizani baada ya umeme kukatwa. Hakuna ratiba yoyote ya siku ya wiki wala saa. Umeme unakatwa na kurudishwa na Wahusika wakiamua au tuseme kama wapendavyo na bila taarifa. Hakuna tamko lolote kuhusu hali hii kutoka kwa kiongozu wa nchi, na imeishia wateuøe wake kila kuchao wanakuja na matamko mbalimbali kinzani ya lini adha hii itafikia tamati. Kee hii nchi Rais kweli yupo na anafahamu uhalisia wa maisha haya ya mateso matupu kwa Raia wake? Huyu Rais kama kweli yupo kwanini anajificha na haonyeshi kuguswa wala kujali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…