Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Hayati alisema tumuombee, mimi na wewe tunajua nini kilitokea.

Maisha yapo on autopilot maombi hayana impact yoyote.
Ni wachache na wajingawajinga wasioelewa umhimu wa maombi!!

Not, maombi ama kuombewa hakumfanyi mtu aishi milele, kuna waliowahi kufufuliwa kipindi cha Yesu na mitume, lakini Bado walikufa!! We jamaa ni wawapi
 
Cheo ni kikubwa kuliko uwezo wake
Upewe wewe Kama unaona mama Hawezi.. Mlizoea Kufokewa badala ya kujituma na kufuata miongozo kwa kuheshimiana na kuongozana. Mama Hafoki ila ujumbe unafika na tena ukiwa na impact kubwa,..
 
Shida ni kukosea au kurekebisha makosa???
Kama amerekebisha ndani ya muda mfupi sehemu zote alizokuwa amekosea sioni shida na zaidi namuona Kama kiongozi bora zaidi kuwai kuwa nae hapa Tanzania.

Nakushauri kama hujaridhika nae nenda chato kajifukie na fedhuli wenu
 
Andika hivi: ...kuna hayo makosa ambayo... siyo "kuna hizo makosa ambazo"

Pia narekebisha kuwa alitamka "bunge la katiba" badala ya "bunge la bajeti" siyo Bunge la Jamhuri. Ilitokea mara moja wakati anamwapisha Philip Isdori Mpango na mara mbili akiwaapisha Mawaziri na Manaibu Mawaziri ikulu ya Chamwino, Dodoma.

Alijisahihisha kwa kujiuliza: "hivi nina maradhi gani na katiba?" Kisha akasema: "tusahau kwanza."
 
Sasa ulitaka ashinde nani ? Mbeligiji ? Hauko serious.
Wewe kweli ni jinga MATAGA wahedi.Hujui hata kwanini Lissu yupo Ubeligiji.Tundu Lissu ni Mtanzania halisi tena huenda ni Mtanzania zaidi ya Jiwe ambaye hatujui kama ni Mrundi au Mtanzania.Manake ana roho mbaya kuliko hata lucifer.Shame on you!
 
JMT ,............KZ Iendeleeeeee.........
Sio hayo tu, namna mama anaenda kwa sasa sioni Kama anazungukwa na watu makini. Hizi tengua teua nyingi kwa wakati mmoja na kubadili karibu kila kitu inaonyesha hakuwa anakubaliana na marehemu kwa Mambo mengi jambo ambalo sio zuri kwake kwa sasa kutokana na Imani ya watu kwa marehemu. Na mimi sitashangaa kusikia Kuwa tuna lock down.Naamini mama anawaamini sana wanaomshauri kuliko yeye mwenyewe kwa sababu simuoni mama ninayemjua, namuona mama mwingine anayejaribu kufanya vitu vipya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…