Unajua kazi ya Dpp? Unajua kesi ambazo hazina dhamana?
Nimeshasema awali huna akili.Unayajua mamlaka ya Rais wa JMT?
Unavijua vigezo vya uteuzi na utenguzi wa maDC kama sponsor wako Sabaya??
Alisema mtanikumbuka kwa mema! JPM alikuwa hasikulizi kelele za chura! Bila ushahidi usio na chenga na sio wa kubumba wa allegations alichukulia ni majungu!
Sina uhakika kwa mama, maana kina mama saa nyingine wanakuzaga vijambo vidogo vidogo tu! Na wakipata comment mbaya juu ya mtu wanaweza kumfungia vioo bila sbb!
RIP our Hero, rest in eternal peace and power our iconic president hon Dr. JPM[emoji24][emoji120]!
Sidhani kama kuna kukurupuka. Hii isuue ni ya siku nyingi na watu wamepiga kelele sana na huyu mutu ni kwa vile mwenda zake alimlea. Mama amefanya anayotakiwa kufanya full stop.
Hamkulalamika haya wakati anafanya mwendazake. mbona DED wa kisarawe alitumbuliwa tena kwenye mkutano wa hadhara kwa hisia tu kuwa alikuwa anakula kitumbua cha mwendazake na mkakaa kimya?Kuwa na kiongozi yoyote ambaye atafanya maamuzi kwa hisia bila kuwa na ushahidi wa kutosha ili mradi tu kufurahisha watu wa kundi fulani ni kosa kubwa sana.
Take time to analyze evidence and make decisions. Hii ni principle kubwa sana kwa kiongozi yoyote ambaye anatakiwa kufanya maamuzi.
Kwa nini kiongozi atumie gossips za mitandaoni kufanya maamuzi ili kulidhisha kundi fulani? Hili ni kosa kubwa sana. Kiongozi makini husubiri kupata ushahidi ili aweze kufanya maamuzi sahih.
Angalia juu ya ishu ha Cuthbert Swai, na Ishu ya magari yenye namba za UN kufanya uhalifu. Yanatia akilini kukurupuka na kutoa maamuzi haraka?
Watanzania tujitafakari sana.
Kmlammko video zote zile zikionyesha Sebaya akionea watu akiwapiga na voice alizorekodiwa akitaka rushwa unasema gossip ?! We msengelema tutolee akili mavi pumbavu mshamba wewegKuwa na kiongozi yoyote ambaye atafanya maamuzi kwa hisia bila kuwa na ushahidi wa kutosha ili mradi tu kufurahisha watu wa kundi fulani ni kosa kubwa sana.
Take time to analyze evidence and make decisions. Hii ni principle kubwa sana kwa kiongozi yoyote ambaye anatakiwa kufanya maamuzi.
Kwa nini kiongozi atumie gossips za mitandaoni kufanya maamuzi ili kulidhisha kundi fulani? Hili ni kosa kubwa sana. Kiongozi makini husubiri kupata ushahidi ili aweze kufanya maamuzi sahih.
Angalia juu ya ishu ha Cuthbert Swai, na Ishu ya magari yenye namba za UN kufanya uhalifu. Yanatia akilini kukurupuka na kutoa maamuzi haraka?
Watanzania tujitafakari sana.
Hamkulalamika haya wakati anafanya mwendazake. mbona DED wa kisarawe alitumbuliwa tena kwenye mkutano wa hadhara kwa hisia tu kuwa alikuwa anakula kitumbua cha mwendazake na mkakaa kimya?
Kuwa na kiongozi yoyote ambaye atafanya maamuzi kwa hisia bila kuwa na ushahidi wa kutosha ili mradi tu kufurahisha watu wa kundi fulani ni kosa kubwa sana.
Take time to analyze evidence and make decisions. Hii ni principle kubwa sana kwa kiongozi yoyote ambaye anatakiwa kufanya maamuzi.
Kwa nini kiongozi atumie gossips za mitandaoni kufanya maamuzi ili kulidhisha kundi fulani? Hili ni kosa kubwa sana. Kiongozi makini husubiri kupata ushahidi ili aweze kufanya maamuzi sahih.
Angalia juu ya ishu ha Cuthbert Swai, na Ishu ya magari yenye namba za UN kufanya uhalifu. Yanatia akilini kukurupuka na kutoa maamuzi haraka?
Watanzania tujitafakari sana.
Hiyo kama kweli ilitokea mie siiungi mkono! Ni mbaya sana kuonewa i see!Kuna maelfu ya Watanzania wanaoozea jela bila dhamana ambao waliswekwa humo enzi za jiwe pasipo ushahidi wowote wa mokosa yao. DPP aliyeteuliwa na jiwe akijisikia kuwaachia anasema tu sina mpango wa kuendelea na kesi na wanatoka bila fidia yoyote baada ya miaka mingi kuteseka gerezani.
Imebaki kidogo Sana mvae chup kichwan maana malalamiko yenu yamezid wenzenu tulivumilia enz za dikteka jiweKuwa na kiongozi yoyote ambaye atafanya maamuzi kwa hisia bila kuwa na ushahidi wa kutosha ili mradi tu kufurahisha watu wa kundi fulani ni kosa kubwa sana.
Take time to analyze evidence and make decisions. Hii ni principle kubwa sana kwa kiongozi yoyote ambaye anatakiwa kufanya maamuzi.
Kwa nini kiongozi atumie gossips za mitandaoni kufanya maamuzi ili kulidhisha kundi fulani? Hili ni kosa kubwa sana. Kiongozi makini husubiri kupata ushahidi ili aweze kufanya maamuzi sahih.
Angalia juu ya ishu ha Cuthbert Swai, na Ishu ya magari yenye namba za UN kufanya uhalifu. Yanatia akilini kukurupuka na kutoa maamuzi haraka?
Watanzania tujitafakari sana.
Acha ujinga, yule das kavuruga ndoa za wanawake wengi sana wasiojitambua! Kutumbuliwa kwake kulistahiri!Hamkulalamika haya wakati anafanya mwendazake. mbona DED wa kisarawe alitumbuliwa tena kwenye mkutano wa hadhara kwa hisia tu kuwa alikuwa anakula kitumbua cha mwendazake na mkakaa kimya?
Tumia akili kidogo uliyobakiwa nayo kutambua kuwa Rais hakurupuki Bali hutumia mawazo na ushauri wa wasaidizi wake pamoja na vyombo vyake vya uchunguzi kufanya maamuzi!Alitakiwa amtumbue kama ana ushahidi
Zamu kwa zamu tulieniMama mwenye nyumba anashikwa masikio mitandaoni kwa masilahi ya kundi fulani. Wakati anaingia alitaka kubalance viongozi wake kwa uwiano sawa kati ya wavaa vibarakashia na wale wa misaraba. Hili swala liliwashitua sana wavaa misaraba kwan ni kitu ambacho hawakukitarajia wala kukizoea. Wakaingia mitandaoni na baada ya hapo mama akarudi kule kule kwa wenye misaraba 10 au 15 huku vibarakashia wakiwa 1 au 2 ktk teuzi zake. Sasa hivi kuna kundi lingine ambalo linapigania masilahi na uhai wa chama chao mitandaoni, mama mwenye nyumba ameonekana kuwaelewa na kufanya yale wanayoyataka. Yetu macho wengine tunachangia tu lkn hatuna cha kupoteza.
Na wewe acha usenge, hata sabaya naye kaua, katesa na kufilisi watu wengi waliokuwa wanaonyesha kupenda siasa za upinzani. Kusimamishwa kwake na kuchunguzwa kunastahiliAcha ujinga, yule das kavuruga ndoa za wanawake wengi sana wasiojitambua! Kutumbuliwa kwake kulistahiri!
Una uhakika na unachokinena hapa??Kuwa na kiongozi yoyote ambaye atafanya maamuzi kwa hisia bila kuwa na ushahidi wa kutosha ili mradi tu kufurahisha watu wa kundi fulani ni kosa kubwa sana.
Take time to analyze evidence and make decisions. Hii ni principle kubwa sana kwa kiongozi yoyote ambaye anatakiwa kufanya maamuzi.
Kwa nini kiongozi atumie gossips za mitandaoni kufanya maamuzi ili kulidhisha kundi fulani? Hili ni kosa kubwa sana. Kiongozi makini husubiri kupata ushahidi ili aweze kufanya maamuzi sahih.
Angalia juu ya ishu ha Cuthbert Swai, na Ishu ya magari yenye namba za UN kufanya uhalifu. Yanatia akilini kukurupuka na kutoa maamuzi haraka?
Watanzania tujitafakari sana.
We kumbe mtheeenge,,kwiyo hata ayo machache uliyoyahainisha unayaona ya kawaida punguwani mkubwa wewe,,,Kuwa na kiongozi yoyote ambaye atafanya maamuzi kwa hisia bila kuwa na ushahidi wa kutosha ili mradi tu kufurahisha watu wa kundi fulani ni kosa kubwa sana.
Take time to analyze evidence and make decisions. Hii ni principle kubwa sana kwa kiongozi yoyote ambaye anatakiwa kufanya maamuzi.
Kwa nini kiongozi atumie gossips za mitandaoni kufanya maamuzi ili kulidhisha kundi fulani? Hili ni kosa kubwa sana. Kiongozi makini husubiri kupata ushahidi ili aweze kufanya maamuzi sahih.
Angalia juu ya ishu ha Cuthbert Swai, na Ishu ya magari yenye namba za UN kufanya uhalifu. Yanatia akilini kukurupuka na kutoa maamuzi haraka?
Watanzania tujitafakari sana.
Heh, usenge tena!? Kama wamefilisiwa kwa mujibu wa sheria sioni shida! Hata hivyo kwa siasa za wapinga vyote walioionesha miaka ya hivi karibuni...kufirisiwa lilikuwa fungu laoπ!Na wewe acha usenge, hata sabaya naye kaua, katesa na kufilisi watu wengi waliokuwa wanaonyesha kupenda siasa za upinzani. Kusimamishwa kwake na kuchunguzwa kunastahili