Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Kuna maelfu ya Watanzania wanaoozea jela bila dhamana ambao waliswekwa humo enzi za jiwe pasipo ushahidi wowote wa mokosa yao. DPP aliyeteuliwa na jiwe akijisikia kuwaachia anasema tu sina mpango wa kuendelea na kesi na wanatoka bila fidia yoyote baada ya miaka mingi kuteseka gerezani.
Alisema mtanikumbuka kwa mema! JPM alikuwa hasikulizi kelele za chura! Bila ushahidi usio na chenga na sio wa kubumba wa allegations alichukulia ni majungu!
Sina uhakika kwa mama, maana kina mama saa nyingine wanakuzaga vijambo vidogo vidogo tu! Na wakipata comment mbaya juu ya mtu wanaweza kumfungia vioo bila sbb!
RIP our Hero, rest in eternal peace and power our iconic president hon Dr. JPM[emoji24][emoji120]!
 
Sidhani kama kuna kukurupuka. Hii isuue ni ya siku nyingi na watu wamepiga kelele sana na huyu mutu ni kwa vile mwenda zake alimlea. Mama amefanya anayotakiwa kufanya full stop.

Kiongozi kazi yake kuonesha njia katika safari ya maendeleo na iwapo katika safari hiyo wale anaowaongoza watapiga kelele ni lazima asimame achunguze kujua kinachoendelea!!! Huo ndio uongozi uliotukuka.
 
Kuwa na kiongozi yoyote ambaye atafanya maamuzi kwa hisia bila kuwa na ushahidi wa kutosha ili mradi tu kufurahisha watu wa kundi fulani ni kosa kubwa sana.


Take time to analyze evidence and make decisions. Hii ni principle kubwa sana kwa kiongozi yoyote ambaye anatakiwa kufanya maamuzi.

Kwa nini kiongozi atumie gossips za mitandaoni kufanya maamuzi ili kulidhisha kundi fulani? Hili ni kosa kubwa sana. Kiongozi makini husubiri kupata ushahidi ili aweze kufanya maamuzi sahih.

Angalia juu ya ishu ha Cuthbert Swai, na Ishu ya magari yenye namba za UN kufanya uhalifu. Yanatia akilini kukurupuka na kutoa maamuzi haraka?

Watanzania tujitafakari sana.
Hamkulalamika haya wakati anafanya mwendazake. mbona DED wa kisarawe alitumbuliwa tena kwenye mkutano wa hadhara kwa hisia tu kuwa alikuwa anakula kitumbua cha mwendazake na mkakaa kimya?
 
Kuwa na kiongozi yoyote ambaye atafanya maamuzi kwa hisia bila kuwa na ushahidi wa kutosha ili mradi tu kufurahisha watu wa kundi fulani ni kosa kubwa sana.


Take time to analyze evidence and make decisions. Hii ni principle kubwa sana kwa kiongozi yoyote ambaye anatakiwa kufanya maamuzi.

Kwa nini kiongozi atumie gossips za mitandaoni kufanya maamuzi ili kulidhisha kundi fulani? Hili ni kosa kubwa sana. Kiongozi makini husubiri kupata ushahidi ili aweze kufanya maamuzi sahih.

Angalia juu ya ishu ha Cuthbert Swai, na Ishu ya magari yenye namba za UN kufanya uhalifu. Yanatia akilini kukurupuka na kutoa maamuzi haraka?

Watanzania tujitafakari sana.
Kmlammko video zote zile zikionyesha Sebaya akionea watu akiwapiga na voice alizorekodiwa akitaka rushwa unasema gossip ?! We msengelema tutolee akili mavi pumbavu mshamba weweg
 
Hamkulalamika haya wakati anafanya mwendazake. mbona DED wa kisarawe alitumbuliwa tena kwenye mkutano wa hadhara kwa hisia tu kuwa alikuwa anakula kitumbua cha mwendazake na mkakaa kimya?

Yule alikuwa DAS na sio DED aliyehongwa cheo kwa kuhamia ccm!!!
 
Kuwa na kiongozi yoyote ambaye atafanya maamuzi kwa hisia bila kuwa na ushahidi wa kutosha ili mradi tu kufurahisha watu wa kundi fulani ni kosa kubwa sana.


Take time to analyze evidence and make decisions. Hii ni principle kubwa sana kwa kiongozi yoyote ambaye anatakiwa kufanya maamuzi.

Kwa nini kiongozi atumie gossips za mitandaoni kufanya maamuzi ili kulidhisha kundi fulani? Hili ni kosa kubwa sana. Kiongozi makini husubiri kupata ushahidi ili aweze kufanya maamuzi sahih.

Angalia juu ya ishu ha Cuthbert Swai, na Ishu ya magari yenye namba za UN kufanya uhalifu. Yanatia akilini kukurupuka na kutoa maamuzi haraka?

Watanzania tujitafakari sana.

FB_IMG_1620966240504.jpg


FB_IMG_1620966243945.jpg


FB_IMG_1620966247236.jpg


FB_IMG_1620966235068.jpg
 

Attachments

  • 2773202-4821ae9e9d8f0edd3dfa37412ea0253e.mp4
    4.5 MB
Hi
Kuna maelfu ya Watanzania wanaoozea jela bila dhamana ambao waliswekwa humo enzi za jiwe pasipo ushahidi wowote wa mokosa yao. DPP aliyeteuliwa na jiwe akijisikia kuwaachia anasema tu sina mpango wa kuendelea na kesi na wanatoka bila fidia yoyote baada ya miaka mingi kuteseka gerezani.
Hiyo kama kweli ilitokea mie siiungi mkono! Ni mbaya sana kuonewa i see!
 
Mwendazake hakuwa anafuata rule of law. Ametumbua watu wengi bila kufuata utaratibu (bila evidence -maneno ya barabarani) na wengine kupelekwa mahakamani bila evidence e.g. CEO wa MSD. Mama siyo tu anakutumbua na pia anakupa adhabu baada ya kujitetea. Anatumbua unajitetea na kupewa punishment
 
Kuwa na kiongozi yoyote ambaye atafanya maamuzi kwa hisia bila kuwa na ushahidi wa kutosha ili mradi tu kufurahisha watu wa kundi fulani ni kosa kubwa sana.


Take time to analyze evidence and make decisions. Hii ni principle kubwa sana kwa kiongozi yoyote ambaye anatakiwa kufanya maamuzi.

Kwa nini kiongozi atumie gossips za mitandaoni kufanya maamuzi ili kulidhisha kundi fulani? Hili ni kosa kubwa sana. Kiongozi makini husubiri kupata ushahidi ili aweze kufanya maamuzi sahih.

Angalia juu ya ishu ha Cuthbert Swai, na Ishu ya magari yenye namba za UN kufanya uhalifu. Yanatia akilini kukurupuka na kutoa maamuzi haraka?

Watanzania tujitafakari sana.
Imebaki kidogo Sana mvae chup kichwan maana malalamiko yenu yamezid wenzenu tulivumilia enz za dikteka jiwe
 
Hamkulalamika haya wakati anafanya mwendazake. mbona DED wa kisarawe alitumbuliwa tena kwenye mkutano wa hadhara kwa hisia tu kuwa alikuwa anakula kitumbua cha mwendazake na mkakaa kimya?
Acha ujinga, yule das kavuruga ndoa za wanawake wengi sana wasiojitambua! Kutumbuliwa kwake kulistahiri!
 
Alitakiwa amtumbue kama ana ushahidi
Tumia akili kidogo uliyobakiwa nayo kutambua kuwa Rais hakurupuki Bali hutumia mawazo na ushauri wa wasaidizi wake pamoja na vyombo vyake vya uchunguzi kufanya maamuzi!
Hadi kuviagiza vyombo vyake vya uchunguzi kumchunguza kwa maana anahitaji ushahidi na mashahidi ili Sheria ichukue mkondo wake.
Acha kujifanya mjuaji wa kila kitu!
 
Mama mwenye nyumba anashikwa masikio mitandaoni kwa masilahi ya kundi fulani. Wakati anaingia alitaka kubalance viongozi wake kwa uwiano sawa kati ya wavaa vibarakashia na wale wa misaraba. Hili swala liliwashitua sana wavaa misaraba kwan ni kitu ambacho hawakukitarajia wala kukizoea. Wakaingia mitandaoni na baada ya hapo mama akarudi kule kule kwa wenye misaraba 10 au 15 huku vibarakashia wakiwa 1 au 2 ktk teuzi zake. Sasa hivi kuna kundi lingine ambalo linapigania masilahi na uhai wa chama chao mitandaoni, mama mwenye nyumba ameonekana kuwaelewa na kufanya yale wanayoyataka. Yetu macho wengine tunachangia tu lkn hatuna cha kupoteza.
Zamu kwa zamu tulieni
 
Acha ujinga, yule das kavuruga ndoa za wanawake wengi sana wasiojitambua! Kutumbuliwa kwake kulistahiri!
Na wewe acha usenge, hata sabaya naye kaua, katesa na kufilisi watu wengi waliokuwa wanaonyesha kupenda siasa za upinzani. Kusimamishwa kwake na kuchunguzwa kunastahili
 
Kuwa na kiongozi yoyote ambaye atafanya maamuzi kwa hisia bila kuwa na ushahidi wa kutosha ili mradi tu kufurahisha watu wa kundi fulani ni kosa kubwa sana.


Take time to analyze evidence and make decisions. Hii ni principle kubwa sana kwa kiongozi yoyote ambaye anatakiwa kufanya maamuzi.

Kwa nini kiongozi atumie gossips za mitandaoni kufanya maamuzi ili kulidhisha kundi fulani? Hili ni kosa kubwa sana. Kiongozi makini husubiri kupata ushahidi ili aweze kufanya maamuzi sahih.

Angalia juu ya ishu ha Cuthbert Swai, na Ishu ya magari yenye namba za UN kufanya uhalifu. Yanatia akilini kukurupuka na kutoa maamuzi haraka?

Watanzania tujitafakari sana.
Una uhakika na unachokinena hapa??
 
Kuwa na kiongozi yoyote ambaye atafanya maamuzi kwa hisia bila kuwa na ushahidi wa kutosha ili mradi tu kufurahisha watu wa kundi fulani ni kosa kubwa sana.


Take time to analyze evidence and make decisions. Hii ni principle kubwa sana kwa kiongozi yoyote ambaye anatakiwa kufanya maamuzi.

Kwa nini kiongozi atumie gossips za mitandaoni kufanya maamuzi ili kulidhisha kundi fulani? Hili ni kosa kubwa sana. Kiongozi makini husubiri kupata ushahidi ili aweze kufanya maamuzi sahih.

Angalia juu ya ishu ha Cuthbert Swai, na Ishu ya magari yenye namba za UN kufanya uhalifu. Yanatia akilini kukurupuka na kutoa maamuzi haraka?

Watanzania tujitafakari sana.
We kumbe mtheeenge,,kwiyo hata ayo machache uliyoyahainisha unayaona ya kawaida punguwani mkubwa wewe,,,

Ivi nyinyi wasukuma mmerogwa au mnafanya kusudi!!!!!?.
 
Na wewe acha usenge, hata sabaya naye kaua, katesa na kufilisi watu wengi waliokuwa wanaonyesha kupenda siasa za upinzani. Kusimamishwa kwake na kuchunguzwa kunastahili
Heh, usenge tena!? Kama wamefilisiwa kwa mujibu wa sheria sioni shida! Hata hivyo kwa siasa za wapinga vyote walioionesha miaka ya hivi karibuni...kufirisiwa lilikuwa fungu lao😜!
 
Back
Top Bottom