Kwa mara ya kwanza naweza kujikuta sipingi kura 2025
Alisema mtanikumbuka kwa mema! JPM alikuwa hasikulizi kelele za chura! Bila ushahidi usio na chenga na sio wa kubumba wa allegations alichukulia ni majungu!
Sina uhakika kwa mama, maana kina mama saa nyingine wanakuzaga vijambo vidogo vidogo tu! Na wakipata comment mbaya juu ya mtu wanaweza kumfungia vioo bila sbb!
RIP our Hero, rest in eternal peace and power our iconic president hon Dr. JPM[emoji24][emoji120]!
kuna process za kumtoa mahali. kuna taratib ma sheria.. si kufukuza watu kama mbwa.Kama anauhakika na hizo allegations kwa nini asimtumbue nq kuteua wengine?
Nyie tuchunguzeni tu, mtakapomaliza kutuchunguza, nchi itakuwa low income country tena chini ya somalia na south sudan! Yetu macho kushuhudia mnaanza tembeza bakuli[emoji34][emoji34]!
Alitakiwa amtumbue kama ana ushahidi
Kuwa na kiongozi yoyote ambaye atafanya maamuzi kwa hisia bila kuwa na ushahidi wa kutosha ili mradi tu kufurahisha watu wa kundi fulani ni kosa kubwa sana.
Take time to analyze evidence and make decisions. Hii ni principle kubwa sana kwa kiongozi yoyote ambaye anatakiwa kufanya maamuzi.
Kwa nini kiongozi atumie gossips za mitandaoni kufanya maamuzi ili kulidhisha kundi fulani? Hili ni kosa kubwa sana. Kiongozi makini husubiri kupata ushahidi ili aweze kufanya maamuzi sahih.
Angalia juu ya ishu ha Cuthbert Swai, na Ishu ya magari yenye namba za UN kufanya uhalifu. Yanatia akilini kukurupuka na kutoa maamuzi haraka?
Watanzania tujitafakari sana.
Naona unahangaika Sana kubadili ID na kutetea jambo moja katika angle tofauti tofautiUngekuwa karibu ningekupiga kwenzi
Tatizo nililoliona kwenu nyinyi pingapinga kwanza hamjui kujenga hoja, mna MIHEMKO Sana.Kuwa na kiongozi yoyote ambaye atafanya maamuzi kwa hisia bila kuwa na ushahidi wa kutosha ili mradi tu kufurahisha watu wa kundi fulani ni kosa kubwa sana.
Take time to analyze evidence and make decisions. Hii ni principle kubwa sana kwa kiongozi yoyote ambaye anatakiwa kufanya maamuzi.
Kwa nini kiongozi atumie gossips za mitandaoni kufanya maamuzi ili kulidhisha kundi fulani? Hili ni kosa kubwa sana. Kiongozi makini husubiri kupata ushahidi ili aweze kufanya maamuzi sahih.
Angalia juu ya ishu ha Cuthbert Swai, na Ishu ya magari yenye namba za UN kufanya uhalifu. Yanatia akilini kukurupuka na kutoa maamuzi haraka?
Watanzania tujitafakari sana.
Kama anauhakika na hizo allegations kwa nini asimtumbue nq kuteua wengine?
Ninaandika hapa nikiwa timamu na mwanaCCM.Kuwa na kiongozi yoyote ambaye atafanya maamuzi kwa hisia bila kuwa na ushahidi wa kutosha ili mradi tu kufurahisha watu wa kundi fulani ni kosa kubwa sana.
Take time to analyze evidence and make decisions. Hii ni principle kubwa sana kwa kiongozi yoyote ambaye anatakiwa kufanya maamuzi.
Kwa nini kiongozi atumie gossips za mitandaoni kufanya maamuzi ili kulidhisha kundi fulani? Hili ni kosa kubwa sana. Kiongozi makini husubiri kupata ushahidi ili aweze kufanya maamuzi sahih.
Angalia juu ya ishu ha Cuthbert Swai, na Ishu ya magari yenye namba za UN kufanya uhalifu. Yanatia akilini kukurupuka na kutoa maamuzi haraka?
Watanzania tujitafakari sana.
Wamerudishwa kimajungu tu na kutaka kujikomba mtu apendwe!Hivi Kabwe mkurugenzi wa jiji la Dar alitumbuliwa sio kwa allgetion? Ni nani ambaye Magu alimtumbua angalau uchunguzi ukafanyika? Wengi walitumbiliwa na ikaishia hapo na ili kujua ndugu yenu huyu alikuwa anatumbua kwa majungu na wapeleka majungu mlikuwa ni ninyi, wengi wa aliowatumbua wamerudi kazini awamu hii. Umejifunza jambo japo? Je kingekuwepo na proper procedures katika kuwatumbua unafikiri leo wangwruso?
Huu ndio ulikuwa upumbavu wa mwenda zake.
Angemtumbua moja kwa moja angekuwa amemnyima haki ya kusikilizwa.Kama anauhakika na hizo allegations kwa nini asimtumbue nq kuteua wengine?
Ugoro wa makuyuniKuwa na kiongozi yoyote ambaye atafanya maamuzi kwa hisia bila kuwa na ushahidi wa kutosha ili mradi tu kufurahisha watu wa kundi fulani ni kosa kubwa sana.
Take time to analyze evidence and make decisions. Hii ni principle kubwa sana kwa kiongozi yoyote ambaye anatakiwa kufanya maamuzi.
Kwa nini kiongozi atumie gossips za mitandaoni kufanya maamuzi ili kulidhisha kundi fulani? Hili ni kosa kubwa sana. Kiongozi makini husubiri kupata ushahidi ili aweze kufanya maamuzi sahih.
Angalia juu ya ishu ha Cuthbert Swai, na Ishu ya magari yenye namba za UN kufanya uhalifu. Yanatia akilini kukurupuka na kutoa maamuzi haraka?
Watanzania tujitafakari sana.
Hujui unavhoandika hapa ni utumbo ulio sawa na pumbaKuwa na kiongozi yoyote ambaye atafanya maamuzi kwa hisia bila kuwa na ushahidi wa kutosha ili mradi tu kufurahisha watu wa kundi fulani ni kosa kubwa sana.
Take time to analyze evidence and make decisions. Hii ni principle kubwa sana kwa kiongozi yoyote ambaye anatakiwa kufanya maamuzi.
Kwa nini kiongozi atumie gossips za mitandaoni kufanya maamuzi ili kulidhisha kundi fulani? Hili ni kosa kubwa sana. Kiongozi makini husubiri kupata ushahidi ili aweze kufanya maamuzi sahih.
Angalia juu ya ishu ha Cuthbert Swai, na Ishu ya magari yenye namba za UN kufanya uhalifu. Yanatia akilini kukurupuka na kutoa maamuzi haraka?
Watanzania tujitafakari sana.
Baba yako dikteta alipomtumbua marehemu Kabwe kwenye mkutano wa hadhara pale Kigamboni ulikuwa bado mtoto mdogo eti?Kuwa na kiongozi yoyote ambaye atafanya maamuzi kwa hisia bila kuwa na ushahidi wa kutosha ili mradi tu kufurahisha watu wa kundi fulani ni kosa kubwa sana.
Take time to analyze evidence and make decisions. Hii ni principle kubwa sana kwa kiongozi yoyote ambaye anatakiwa kufanya maamuzi.
Kwa nini kiongozi atumie gossips za mitandaoni kufanya maamuzi ili kulidhisha kundi fulani? Hili ni kosa kubwa sana. Kiongozi makini husubiri kupata ushahidi ili aweze kufanya maamuzi sahih.
Angalia juu ya ishu ha Cuthbert Swai, na Ishu ya magari yenye namba za UN kufanya uhalifu. Yanatia akilini kukurupuka na kutoa maamuzi haraka?
Watanzania tujitafakari sana.