Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Kaburi la mume wenu limezungushiwa mabati kama kibanda cha mkaa, nyie mnapiga porojo JF.Ungekuwa karibu ningekupiga kwenzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaburi la mume wenu limezungushiwa mabati kama kibanda cha mkaa, nyie mnapiga porojo JF.Ungekuwa karibu ningekupiga kwenzi
Tatizo lipo wapi?Mleta mada kajiunga tarehe 2/10/2020 ni uharo wa shetani Magufuli na shoga wa Sabaya
Unateseka sana!
Yaani Kuna madogo wengi na Ali hapo bado. Hajui kuwa dunia yapitaSidhani kama kuna kukurupuka. Hii isuue ni ya siku nyingi na watu wamepiga kelele sana na huyu mutu ni kwa vile mwenda zake alimlea. Mama amefanya anayotakiwa kufanya full stop.
Tupo. Atusikilize .Tuna ID fake asije kusikiliza misukule tu. labda wale verified userHivi waliopo mitandaoni sio watanzania?
Hawana haki ya kusikilizwa?
Alitakiwa amtumbue kama ana ushahidi
Urais ni taasisi kama ilivyokuwa kwa jiwe wakati akitumbua muraa!!Kuwa na kiongozi yoyote ambaye atafanya maamuzi kwa hisia bila kuwa na ushahidi wa kutosha ili mradi tu kufurahisha watu wa kundi fulani ni kosa kubwa sana.
Take time to analyze evidence and make decisions. Hii ni principle kubwa sana kwa kiongozi yoyote ambaye anatakiwa kufanya maamuzi.
Kwa nini kiongozi atumie gossips za mitandaoni kufanya maamuzi ili kulidhisha kundi fulani? Hili ni kosa kubwa sana. Kiongozi makini husubiri kupata ushahidi ili aweze kufanya maamuzi sahih.
Angalia juu ya ishu ha Cuthbert Swai, na Ishu ya magari yenye namba za UN kufanya uhalifu. Yanatia akilini kukurupuka na kutoa maamuzi haraka?
Watanzania tujitafakari sana.
Huyu lazima ateseke, tumwombee asife tu!Kama ambavyo Dicteta alivyotutesa ndio na wewe uteseke. pmbv
Kumbe inawauma eeeh kumbe inawakera?
Alitakiwa amtumbue kama ana ushahidi
Ukitaka asubiri mpaka lini ?Kuwa na kiongozi yoyote ambaye atafanya maamuzi kwa hisia bila kuwa na ushahidi wa kutosha ili mradi tu kufurahisha watu wa kundi fulani ni kosa kubwa sana.
Take time to analyze evidence and make decisions. Hii ni principle kubwa sana kwa kiongozi yoyote ambaye anatakiwa kufanya maamuzi.
Kwa nini kiongozi atumie gossips za mitandaoni kufanya maamuzi ili kulidhisha kundi fulani? Hili ni kosa kubwa sana. Kiongozi makini husubiri kupata ushahidi ili aweze kufanya maamuzi sahih.
Angalia juu ya ishu ha Cuthbert Swai, na Ishu ya magari yenye namba za UN kufanya uhalifu. Yanatia akilini kukurupuka na kutoa maamuzi haraka?
Watanzania tujitafakari sana.
Mama mwenye nyumba anashikwa masikio mitandaoni kwa masilahi ya kundi fulani. Wakati anaingia alitaka kubalance viongozi wake kwa uwiano sawa kati ya wavaa vibarakashia na wale wa misaraba. Hili swala liliwashitua sana wavaa misaraba kwan ni kitu ambacho hawakukitarajia wala kukizoea. Wakaingia mitandaoni na baada ya hapo mama akarudi kule kule kwa wenye misaraba 10 au 15 huku vibarakashia wakiwa 1 au 2 ktk teuzi zake. Sasa hivi kuna kundi lingine ambalo linapigania masilahi na uhai wa chama chao mitandaoni, mama mwenye nyumba ameonekana kuwaelewa na kufanya yale wanayoyataka. Yetu macho wengine tunachangia tu lkn hatuna cha kupoteza.
wewe ni hamnazoHow?
We unajuaje, je kama alikua anachunguzwa muda mrefu leo ndo majibu yamepatikana na maamuzi yakafata? Au ulitaka hadi aje mlango kwako agonge akwambie uchunguzi wa tuhuma za Sabaya umekamilika??? Mkuu unateseka ukiwa Bomang'ombe au wapi???Kuwa na kiongozi yoyote ambaye atafanya maamuzi kwa hisia bila kuwa na ushahidi wa kutosha ili mradi tu kufurahisha watu wa kundi fulani ni kosa kubwa sana.
Take time to analyze evidence and make decisions. Hii ni principle kubwa sana kwa kiongozi yoyote ambaye anatakiwa kufanya maamuzi.
Kwa nini kiongozi atumie gossips za mitandaoni kufanya maamuzi ili kulidhisha kundi fulani? Hili ni kosa kubwa sana. Kiongozi makini husubiri kupata ushahidi ili aweze kufanya maamuzi sahih.
Angalia juu ya ishu ha Cuthbert Swai, na Ishu ya magari yenye namba za UN kufanya uhalifu. Yanatia akilini kukurupuka na kutoa maamuzi haraka?
Watanzania tujitafakari sana.
Ulitaka ushahidi gani hata punguani ana ushahidi jinsi jambazi sabaya alivyo jambazuka.Ulitaka ushahidi waje kukuonesha wewe? Urais NI taasisi zaidi ya taasisi mama anajua kila kitu kuliko ujuavyo wewe punguani.Kuwa na kiongozi yoyote ambaye atafanya maamuzi kwa hisia bila kuwa na ushahidi wa kutosha ili mradi tu kufurahisha watu wa kundi fulani ni kosa kubwa sana.
Take time to analyze evidence and make decisions. Hii ni principle kubwa sana kwa kiongozi yoyote ambaye anatakiwa kufanya maamuzi.
Kwa nini kiongozi atumie gossips za mitandaoni kufanya maamuzi ili kulidhisha kundi fulani? Hili ni kosa kubwa sana. Kiongozi makini husubiri kupata ushahidi ili aweze kufanya maamuzi sahih.
Angalia juu ya ishu ha Cuthbert Swai, na Ishu ya magari yenye namba za UN kufanya uhalifu. Yanatia akilini kukurupuka na kutoa maamuzi haraka?
Watanzania tujitafakari sana.
Yule mwenye bluu ndie mgonjwa aghali zaidi Africa ya Mashariki.Mama kanyaga hao kima!👏👏👏
View attachment 1784595
Yule mwenye bluu ndie mgonjwa aghali zaidi Africa ya Mashariki.Mama kanyaga hao kima!👏👏👏
View attachment 1784595