Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Sidhani kama kuna kukurupuka. Hii isuue ni ya siku nyingi na watu wamepiga kelele sana na huyu mutu ni kwa vile mwenda zake alimlea. Mama amefanya anayotakiwa kufanya full stop.
Yaani Kuna madogo wengi na Ali hapo bado. Hajui kuwa dunia yapita
 
Ilitakiwa muda kama huu Mtu awe lupango huko.Avunjwe kama wanavyo gonjwa wengine.
 
Kuna wengine zaidi ya Saambaya wanaosubiriwa kutenguliwa. Sasa wao ndio wanaopiga kelele kumtisha Mama asiwatengue na si kwamba ni Watetezi wa Saambaya.

Nigewashauri badala ya kuja humu mitandaoni kulalamika na kumkosoa Mama ni bora wajitokeze hadharani na kuwataka radhi wale wote waliowakosea. Huenda ikawa pona yao kwani Mama anaweza sema kwakuwa wameyafahamu na kuyajutia makosa yao basi nimewasamehe na kazi iendelee.
 
Kuwa na kiongozi yoyote ambaye atafanya maamuzi kwa hisia bila kuwa na ushahidi wa kutosha ili mradi tu kufurahisha watu wa kundi fulani ni kosa kubwa sana.


Take time to analyze evidence and make decisions. Hii ni principle kubwa sana kwa kiongozi yoyote ambaye anatakiwa kufanya maamuzi.

Kwa nini kiongozi atumie gossips za mitandaoni kufanya maamuzi ili kulidhisha kundi fulani? Hili ni kosa kubwa sana. Kiongozi makini husubiri kupata ushahidi ili aweze kufanya maamuzi sahih.

Angalia juu ya ishu ha Cuthbert Swai, na Ishu ya magari yenye namba za UN kufanya uhalifu. Yanatia akilini kukurupuka na kutoa maamuzi haraka?

Watanzania tujitafakari sana.
Urais ni taasisi kama ilivyokuwa kwa jiwe wakati akitumbua muraa!!
 
Alitakiwa amtumbue kama ana ushahidi

Ushahidi sio wa kutafuta, ni kwakuwa huyo mama anatumia tabia ya ccm ya kufichiana uovu. Lakini huyo mama akikubali ushahidi uwekwe wazi, anafungwa hata wiki ijayo. Huyo dogo mpaka bomu la soweto kwenye mkutano wa Cdm huko Arusha anajua taarifa zake. Huyo dogo ni muovu kama yule dhalimu unayelinda hilo kaburi lake.
 
Kuwa na kiongozi yoyote ambaye atafanya maamuzi kwa hisia bila kuwa na ushahidi wa kutosha ili mradi tu kufurahisha watu wa kundi fulani ni kosa kubwa sana.


Take time to analyze evidence and make decisions. Hii ni principle kubwa sana kwa kiongozi yoyote ambaye anatakiwa kufanya maamuzi.

Kwa nini kiongozi atumie gossips za mitandaoni kufanya maamuzi ili kulidhisha kundi fulani? Hili ni kosa kubwa sana. Kiongozi makini husubiri kupata ushahidi ili aweze kufanya maamuzi sahih.

Angalia juu ya ishu ha Cuthbert Swai, na Ishu ya magari yenye namba za UN kufanya uhalifu. Yanatia akilini kukurupuka na kutoa maamuzi haraka?

Watanzania tujitafakari sana.
Ukitaka asubiri mpaka lini ?
 
Mama mwenye nyumba anashikwa masikio mitandaoni kwa masilahi ya kundi fulani. Wakati anaingia alitaka kubalance viongozi wake kwa uwiano sawa kati ya wavaa vibarakashia na wale wa misaraba. Hili swala liliwashitua sana wavaa misaraba kwan ni kitu ambacho hawakukitarajia wala kukizoea. Wakaingia mitandaoni na baada ya hapo mama akarudi kule kule kwa wenye misaraba 10 au 15 huku vibarakashia wakiwa 1 au 2 ktk teuzi zake. Sasa hivi kuna kundi lingine ambalo linapigania masilahi na uhai wa chama chao mitandaoni, mama mwenye nyumba ameonekana kuwaelewa na kufanya yale wanayoyataka. Yetu macho wengine tunachangia tu lkn hatuna cha kupoteza.

Amka ww kumekucha utalowesha godoro. Muda wa kutengeneza dhahania umepita, sasa hivi ukatafute kazi ya halali, lile kundi lenu la watu wasiojulikana limeondoka na yule dhalimu.
 
Nyakarungu vipi yaani yote yaliyosemwa hayana analysis kweli? Au una mahaba na sabaya& mwendazake?
By the way unateseka ukiwa wapi mura.
 
Kuwa na kiongozi yoyote ambaye atafanya maamuzi kwa hisia bila kuwa na ushahidi wa kutosha ili mradi tu kufurahisha watu wa kundi fulani ni kosa kubwa sana.


Take time to analyze evidence and make decisions. Hii ni principle kubwa sana kwa kiongozi yoyote ambaye anatakiwa kufanya maamuzi.

Kwa nini kiongozi atumie gossips za mitandaoni kufanya maamuzi ili kulidhisha kundi fulani? Hili ni kosa kubwa sana. Kiongozi makini husubiri kupata ushahidi ili aweze kufanya maamuzi sahih.

Angalia juu ya ishu ha Cuthbert Swai, na Ishu ya magari yenye namba za UN kufanya uhalifu. Yanatia akilini kukurupuka na kutoa maamuzi haraka?

Watanzania tujitafakari sana.
We unajuaje, je kama alikua anachunguzwa muda mrefu leo ndo majibu yamepatikana na maamuzi yakafata? Au ulitaka hadi aje mlango kwako agonge akwambie uchunguzi wa tuhuma za Sabaya umekamilika??? Mkuu unateseka ukiwa Bomang'ombe au wapi???

Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
 
Kuwa na kiongozi yoyote ambaye atafanya maamuzi kwa hisia bila kuwa na ushahidi wa kutosha ili mradi tu kufurahisha watu wa kundi fulani ni kosa kubwa sana.


Take time to analyze evidence and make decisions. Hii ni principle kubwa sana kwa kiongozi yoyote ambaye anatakiwa kufanya maamuzi.

Kwa nini kiongozi atumie gossips za mitandaoni kufanya maamuzi ili kulidhisha kundi fulani? Hili ni kosa kubwa sana. Kiongozi makini husubiri kupata ushahidi ili aweze kufanya maamuzi sahih.

Angalia juu ya ishu ha Cuthbert Swai, na Ishu ya magari yenye namba za UN kufanya uhalifu. Yanatia akilini kukurupuka na kutoa maamuzi haraka?

Watanzania tujitafakari sana.
Ulitaka ushahidi gani hata punguani ana ushahidi jinsi jambazi sabaya alivyo jambazuka.Ulitaka ushahidi waje kukuonesha wewe? Urais NI taasisi zaidi ya taasisi mama anajua kila kitu kuliko ujuavyo wewe punguani.
 
Back
Top Bottom