Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Mademu wa Sabaya mnahangaika kweli kweli. Kama vipi kufeni tu hamna faida yoyote
 
Kuwa na kiongozi yoyote ambaye atafanya maamuzi kwa hisia bila kuwa na ushahidi wa kutosha ili mradi tu kufurahisha watu wa kundi fulani ni kosa kubwa sana.


Take time to analyize evidence and make decisions. Hii ni principle kubwa sana kwa kiongozi yoyote ambaye anatakiwa kufanya maamuzi.

Kwa nini kiongozi atumie gossips za mitandaoni kufanya maamuzi ili kulidhisha kundi fulani? Hili ni kosa kubwa sana. Kiongozi makini husubiri kupata ushahidi ili aweze kufanya maamuzi sahih.

Angalia juu ya ishu ha Cuthbert Swai, na Ishu ya magari yenye namba za UN kufanya uhalifu. Yanatia akilini kukurupuka na kutoa maamuzi haraka?

Watanzania tujitafakari sana.

Unadhani TISS wana kazi gani?? Hilo swala si la jana wala juzi, toka mwaka jana una uhakika halikiwahi kufuatiliwa??

Hayo mengine mbwembwe tu, kilichomgharimu ni kwenda kupiga porojo kwenye media!! Una makosa lukuki halafu unakwenda kwenye media kuharibu tena kwa kujiamini!! The guy is stupid, angebaki zake Hai ale mtori yasingemkuta hayo!!
 
Ndio maana hajafukuzwa, kasimamishwa kupisha uchunguzi. Muwe mnasoma mnaelewa, na kuhusu ushahidi unataka ushahidi upi zaidi. Yeye mwenyewe Sabaya kajitakia haya alitakiwa asome alama za nyakati, by the way. Uchunguzi ukikamilika uwenda akasafishwa kama hatakuwa na kosa na pengine kurudishwa kwenye nafasi yake. Mungu ibariki Tanzania.
Alitakiwa amtumbue kama ana ushahidi
 
Sidhani kama una akili timamu.
Wewe ungekuwa na akili timamu ungefahamu DPP kuna watu wengi amewasekwa rumande bila dhamana kwa maneno ya kusikia tu bila ushahidi wowote huku familia zao zikisambaratika bila kujua hatma za watu wao

Sponsor wako ametenguliwa tu kutoka ofisini ndio unapiga mayowe yote haya kama mjusi aliyebanwa mkia na mlango.
 
Kuwa na kiongozi yoyote ambaye atafanya maamuzi kwa hisia bila kuwa na ushahidi wa kutosha ili mradi tu kufurahisha watu wa kundi fulani ni kosa kubwa sana.


Take time to analyize evidence and make decisions. Hii ni principle kubwa sana kwa kiongozi yoyote ambaye anatakiwa kufanya maamuzi.

Kwa nini kiongozi atumie gossips za mitandaoni kufanya maamuzi ili kulidhisha kundi fulani? Hili ni kosa kubwa sana. Kiongozi makini husubiri kupata ushahidi ili aweze kufanya maamuzi sahih.

Angalia juu ya ishu ha Cuthbert Swai, na Ishu ya magari yenye namba za UN kufanya uhalifu. Yanatia akilini kukurupuka na kutoa maamuzi haraka?

Watanzania tujitafakari sana.
Hivi una akili kweli wewe?
Unathubutu kusema Mh. Rais amekurupuka na hana ushahidi wa kumsimamisha kazi?
Sabaya sio mtumishi wa serikali, ni mteule wa Rais. Hivyo muda na saa yeyote, ana mamlaka ya kutengua uteuzi wake bila hata ushauri wa mtu.
Lakini tukiachana na hayo, Mh. Samia hakuwa anaishi ulaya, ana mjua Sabaya kuliko unavyo dhani.
Na kwa taarifa yako, wakati wa mwenda zake, Mh. Mpango alisha tumwa kumkanya huyo dogo mnae mtetea, Mzee Mkuchika alisha tumwa, na siku chache kabla ya kifo cha Jpm kulikuwa na tume ina mchunguza huyo jambazi wenu kuhusu fujo alizo fanya Arusha.
Siyo hayo tuu aliwahi kuitwa Dodoma huyo jambazi wenu akaelezee pesa anazo nyanganya wafanya biashara.
Hivyo kama hamna vielelezo msiwe mna kurupuka kuweka urojo hapa.
 
Mama kanyaga hao kima!👏👏👏
nby6543.jpg
 
Kuwa na kiongozi yoyote ambaye atafanya maamuzi kwa hisia bila kuwa na ushahidi wa kutosha ili mradi tu kufurahisha watu wa kundi fulani ni kosa kubwa sana.


Take time to analyize evidence and make decisions. Hii ni principle kubwa sana kwa kiongozi yoyote ambaye anatakiwa kufanya maamuzi.

Kwa nini kiongozi atumie gossips za mitandaoni kufanya maamuzi ili kulidhisha kundi fulani? Hili ni kosa kubwa sana. Kiongozi makini husubiri kupata ushahidi ili aweze kufanya maamuzi sahih. D

Angalia juu ya ishu ha Cuthbert Swai, na Ishu ya magari yenye namba za UN kufanya uhalifu. Yanatia akilini kukurupuka na kutoa maamuzi haraka?

Watanzania tujitafakari sana.
Marehemu alikuwa anafuata sheria ? yeye hakufanya tena na kuita binadamu majipu. mkafurahi sebuse mama anatumia demokrasia uchunguzi ufanyike, mkurugenzi wa jiji Dar hakutumbuliwa akafa, OCD Njombe alitumbuliwa akazirai tena wote hadharani bila staha ,huoni mama anafuata misingi ya utumishi wa umma?
 
Kuwa na kiongozi yoyote ambaye atafanya maamuzi kwa hisia bila kuwa na ushahidi wa kutosha ili mradi tu kufurahisha watu wa kundi fulani ni kosa kubwa sana.


Take time to analyize evidence and make decisions. Hii ni principle kubwa sana kwa kiongozi yoyote ambaye anatakiwa kufanya maamuzi.

Kwa nini kiongozi atumie gossips za mitandaoni kufanya maamuzi ili kulidhisha kundi fulani? Hili ni kosa kubwa sana. Kiongozi makini husubiri kupata ushahidi ili aweze kufanya maamuzi sahih.

Angalia juu ya ishu ha Cuthbert Swai, na Ishu ya magari yenye namba za UN kufanya uhalifu. Yanatia akilini kukurupuka na kutoa maamuzi haraka?

Watanzania tujitafakari sana.
Ni uchunguzi unafanyika akionekana hana tatizo atapata teuzi wala usiwe na hofu....au huviamini vyombo vya uchunguzi?.
 
Kuna watu wanaamini wengi tunaosema kuhusu Ole Sabaya ni wanachadema. Hapo ndipo wanapokosea sana. Hakuna binadamu anayependa kuona mwenzake ananyanyaswa au kuonewa. Ndipo sasa hili kundi kubwa linalomwandama sabaya lilipoibuka kwa sababu ya kutetea haki ya watanzania wanaonyanyasika na kuonewa.
 
Kuwa na kiongozi yoyote ambaye atafanya maamuzi kwa hisia bila kuwa na ushahidi wa kutosha ili mradi tu kufurahisha watu wa kundi fulani ni kosa kubwa sana.


Take time to analyize evidence and make decisions. Hii ni principle kubwa sana kwa kiongozi yoyote ambaye anatakiwa kufanya maamuzi.

Kwa nini kiongozi atumie gossips za mitandaoni kufanya maamuzi ili kulidhisha kundi fulani? Hili ni kosa kubwa sana. Kiongozi makini husubiri kupata ushahidi ili aweze kufanya maamuzi sahih.

Angalia juu ya ishu ha Cuthbert Swai, na Ishu ya magari yenye namba za UN kufanya uhalifu. Yanatia akilini kukurupuka na kutoa maamuzi haraka?

Watanzania tujitafakari sana.
Kwa nini msiweke hiyo video na sisi tuone
 
Unamuongelea Mwendazake ?

Sababu enzi zake ilikuwa inategemea ameamkaje (maneno yake mwenyewe)....

Kiongozi ukituhumiwa ni vema upishe uchunguzi ili tubaini vinginevyo (hili mbona lipo wazi kabisa....)
 
Kuwa na kiongozi yoyote ambaye atafanya maamuzi kwa hisia bila kuwa na ushahidi wa kutosha ili mradi tu kufurahisha watu wa kundi fulani ni kosa kubwa sana.


Take time to analyize evidence and make decisions. Hii ni principle kubwa sana kwa kiongozi yoyote ambaye anatakiwa kufanya maamuzi.

Kwa nini kiongozi atumie gossips za mitandaoni kufanya maamuzi ili kulidhisha kundi fulani? Hili ni kosa kubwa sana. Kiongozi makini husubiri kupata ushahidi ili aweze kufanya maamuzi sahih.

Angalia juu ya ishu ha Cuthbert Swai, na Ishu ya magari yenye namba za UN kufanya uhalifu. Yanatia akilini kukurupuka na kutoa maamuzi haraka?

Watanzania tujitafakari sana.
Alisema mtanikumbuka kwa mema! JPM alikuwa hasikulizi kelele za chura! Bila ushahidi usio na chenga na sio wa kubumba wa allegations alichukulia ni majungu!
Sina uhakika kwa mama, maana kina mama saa nyingine wanakuzaga vijambo vidogo vidogo tu! Na wakipata comment mbaya juu ya mtu wanaweza kumfungia vioo bila sbb!
RIP our Hero, rest in eternal peace and power our iconic president hon Dr. JPM😭🙏!
 
Wewe ungekuwa na akili timamu ungefahamu DPP kuna watu wengi amewasekwa rumande bila dhamana kwa maneno ya kusikia tu bila ushahidi wowote huku familia zao zikisambaratika bila kujua hatma za watu wao

Sponsor wako ametenguliwa tu kutoka ofisini ndio unapiga mayowe yote haya kama mjusi aliyebanwa mkia na mlango.
Unajua kazi ya Dpp? Unajua kesi ambazo hazina dhamana?
 
Kuwa na kiongozi yoyote ambaye atafanya maamuzi kwa hisia bila kuwa na ushahidi wa kutosha ili mradi tu kufurahisha watu wa kundi fulani ni kosa kubwa sana.


Take time to analyze evidence and make decisions. Hii ni principle kubwa sana kwa kiongozi yoyote ambaye anatakiwa kufanya maamuzi.

Kwa nini kiongozi atumie gossips za mitandaoni kufanya maamuzi ili kulidhisha kundi fulani? Hili ni kosa kubwa sana. Kiongozi makini husubiri kupata ushahidi ili aweze kufanya maamuzi sahih.

Angalia juu ya ishu ha Cuthbert Swai, na Ishu ya magari yenye namba za UN kufanya uhalifu. Yanatia akilini kukurupuka na kutoa maamuzi haraka?

Watanzania tujitafakari sana.
Umekula Maharage ya wapi mwenzetu..Wewe unakijua kilicho mezani kwa mkubwa ?!?
 
Kuwa na kiongozi yoyote ambaye atafanya maamuzi kwa hisia bila kuwa na ushahidi wa kutosha ili mradi tu kufurahisha watu wa kundi fulani ni kosa kubwa sana.


Take time to analyze evidence and make decisions. Hii ni principle kubwa sana kwa kiongozi yoyote ambaye anatakiwa kufanya maamuzi.

Kwa nini kiongozi atumie gossips za mitandaoni kufanya maamuzi ili kulidhisha kundi fulani? Hili ni kosa kubwa sana. Kiongozi makini husubiri kupata ushahidi ili aweze kufanya maamuzi sahih.

Angalia juu ya ishu ha Cuthbert Swai, na Ishu ya magari yenye namba za UN kufanya uhalifu. Yanatia akilini kukurupuka na kutoa maamuzi haraka?

Watanzania tujitafakari sana.
Hata hueleweki unasema nini Ila ulieleweka unataka kusema na ulichoandika sio ulichotaka kuandika
Zaidi jiulize SSH na Jiwe Nani anachukua uamuzi kwa hisia tu.
Dogo sio angesimamishwa kupisha uchunguzi angefukuzwa na leo angeonekana mahakamani enzi za jiwe

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom