Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,830
- 6,315
???..Umeshanoa 😁😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
???..Umeshanoa 😁😁😁😁
Acha kujichekesha tafuta pesa ujifunze kumaindi kupandishwa kodi na tozo.Hahaha. Embu endelea na mambo mengine.
Endelea na mambo mengine.Acha kujichekesha tafuta pesa ujifunze kumaindi kupandishwa kodi na tozo.
Nimekumbuka kweliSa100 aliwahi kusema viatu vya Magufuli havimtoshi,vinampwaya
Magufuli ni shetani, ni zaidi ya Lucifer, huko alipo afe Mara ya Pili mshenzi kabisa.Ni yale yale yliokuwa yanatumia vyeti fake.
Hapo kila likisikia jina Magufuli mavi yanavurugika tumboni.
Tukiwaomba chadema watuletee wanaweza wakatuletea chizi (#dishlimetilt), kwa jinsi wasivyo na maana wale.2. Kwani CCM ndio ina dhamana pekee ya kuleta Rais wa Tanzania ?
Endelea kutetea ujinga.Endelea na mambo mengine.
😂😂😂Ameandaa TOZO ya PUMZI, hiyo hatoweza fanikisha, maana atakuwa ameshatimuliwa.
Ndiyo mkawauwa, kuwatia vilema kuwabambikia kesi Na kuwaibia kura ili mbaki madarakani?Ukweli ni kuwa nchi yetu Ina wapinzani wa hovyo.
Una ushahidi? Miili ya juzi pale Tanga pia ilitupwa na magufuli pia? Kwa taarifa yako muuaji mkuu alikuwa Mbowe na genge lake.Ndiyo mkawauwa, kuwatia vilema kuwabambikia kesi Na kuwaibia kura ili mbali madarakani?
Unao ushahidi? Hebu tuambie Azory Gando Na wenzake wako wapi?Una ushahidi? Miili ya juzi pale Tanga pia ilitupwa na magufuli pia? Kwa taarifa yako muuaji mkuu alikuwa Mbowe na genge lake.
Kwa nini chadema wanaweza kukuletea chizi? Kwa hiyo CCM hawawezi kufanya hivyo?Tukiwaomba chadema watuletee wanaweza wakatuletea chizi (#dishlimetilt), kwa jinsi wasivyo na maana wale.
Ata wewe ni tahaira japo hujijui tu.Mataahira wenzako watakuelewa.
Nimekupuuza ulivyoanza assumption za kipato.Endelea kutetea ujinga.
kwahiyo kwa sasa mnakula rahaa.Hata sisi kipindi cha mwendazake tulikuwa tunalalamika hivi
Nipuuze tu. Nilikudharau toka mwanzo ulivyokuwa unatetea hizi tozo.Nimekupuuza ulivyoanza assumption za kipato.
Kwenye hili, Akili yako haijatulia ndo maana nasisitiza endelea na mambo mengine.Nipuuze tu. Nilikudharau toka mwanzo ulivyokuwa unatetea hizi tozo.